Thursday, December 8, 2011

Waziri Membe akutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Canada

Mhe. Membe akiwa kwenye mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada Mhe. Deepak Obhrai (jushoto) baada ya kuwasili nchini Tanzania kuhudhuria sherehe za miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara. Kulia ni Balozi wa Canada nchini Tanzania Mhe. Robert Orr.

Thursday, December 1, 2011

Waziri Membe Atembelea Makumbusho ya Oman

Waziri Membe akisaini kitabu cha wageni kwenye Makumbusho ya Kijeshi ya Oman

Waziri Membe atembelea Makumbusho ya Kijeshi ya Oman maarufu kama Sultan's Armed Forces Museum

Waziri Membe na ujumbe wake wakipata maelezo kutoka kwa Meja Ali Abdalla Al-Azidi

Wednesday, November 30, 2011

Membe akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman

Mhe. Bernard Membe akiwasilisha ujumbe maalum kutoka kwa Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenda kwa Mtukufu Sultan Qaboos wa Oman kwa Mhe. Yousef Alawi Bin Abdallah Waziri Anayeshughulikia Mambo ya Nje wa Oman mjini Muscat leo.
Waziri Membe akiwa na ujumbe wake Mjini Muscat leo tarehe 30.11.2011. Waliombatana na Waziri ni Bw. Abdallah Kilima, (Wa pili kushoto) Kaimu Balozi wa Tanzania Oman na Bw. Christopher Mvula (wa Kwanza Kushoto), Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ujumbe wa Serikali ya Oman

Mhe. Bernard Membe akiwa kwenye mazungumzo na mwenyeji wake Mhe. Yousef Alawi Bin Abdallah Waziri Anayeshughulikia Mambo ya Nje wa Oman mjini Muscat leo tarehe 30.11.2011



Monday, November 28, 2011

Hon. Membe bids farewell to Amb. Sorensen

Hon. Bernard Membe with H.E. Bjarne Henneberg Sorensen.

Hon. Bernard K. Membe, Minister for Foreign Affairs and International Cooperation has praised the outgoing Danish Ambassador to Tanzania H.E. Bjarne Henneberg Sorensen for a job well done in enhancing bilateral relations between his country and Tanzania.

Hon. Membe expressed his appreciation to Ambassador Sorensen at his office in Dar es salaam this morning, when the Danish Envoy visited the Minister to bid him farewell.

Hon. Membe said "Tanzania has enjoyed excellent relations with Denmark since indepence and indeed your tour of duty strengthened our relations". 

During Ambassador Sorensen's tour of duty, H.E Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania visited Denmark twice in 2007 and 2009 followed by reciprocal visit by Her Majesty Queen Margreth II of Denmark to Tanzania in 2008.

"The two visits of our leaders is a manifestation of our growing relations over the years" Minister Membe emphasized.

Ambassador Sorensen also facilitated the launch of Africa Commission's Young Entrepreneurs Initiative known as Youth-to-Youth Fund in Tanzania aiming at unleashing Tanzanian entrepreneurship especially among young people in the country.

On his part, Ambassador Sorensen thanked Minister Membe and the entire Foreign Ministry Staff for enabling him to carryout his dutues during his four-years stay in the country.

He said he is leaving for retirement and he could have never wished for a better place to retire han inTanzania.
"I will forever cherish the experiences in serving Tanzania" he added.

H.E Sorensen has served as Danish Ambassador to Tanzania from March 2007 to November 2011. He will be retiring from Civil Service in December 2011, after being an ambassador for 25 years inside and out of his country. Ambassador Sorensen will be replaced by H.E Ambassador Johnny Flentoe.

   



Saturday, November 26, 2011

Foreign Affairs bids goodbye to Sorensen, Danish Ambassador to Tanzania



H.E Bjarne Henneberg Sorensen, outgoing Ambassador of Denmark to Tanzania

Hon. Samia Suluhu (MP), Minister of State Vice President's Office delivering a farewell speech during the dinner organized by the Ministry of Foreign Affairs in honor of Ambassador Sorensen.


Amb. Sorensen delivering his farewell message to the chief guest,  Foreign Affairs officials and his fellow diplomats in attendance during the short ceremony held at the Hilton Double Tree here in Dar es salaam today.


Amb. Sorensen in conversation with the Chief Guest Hon. Samia Suluhu, Minister of Union Matter in the Office of the Vice President during his farewell dinner at the Hilton Double Tree in Dar es salaam. In his speech Amb. Sorensen thanked the Ministry of Foreign Affairs and the Government at large for facilitating him in carrying his diplomatic duties while in Tanzania. 

Tuesday, November 22, 2011

Russia's Director for Africa Visits MFAIC today

Hon. Bernard Membe, Minister for Foreign Affairs and International Cooperation in a group picture with H.E Alexandr Rannikh (far right) Ambassador of Russia to Tanzania  and Sergey Kryukov (far left), Director of Africa in the Ministry of Foreign Affairs of the Russian Federation, and Grace Shangali, Acting Director of Europe and America in the Ministry of Foreign Affairs in Tanzania.


Hon. Bernard Membe receiving Surgey Kryukov Russian Director For Africa when visited the ministry early today.


Monday, November 21, 2011

Balozi Mdogo wa Oman Zanzibar akabidhi nakala za Utambulisho Leo

Mhe. Bernard Membe, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akipokea nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Mhe. Mansour Bin Nasir Al - Busaeedi Balozi mdogo wa Oman Zanzibar ofisini kwake leo mchana. 

Waziri Membe kwenye mazungumzo na Balozi mdogo wa Oman Zanzibar Mhe. Mansour Bin Nasir Al-Busaeedi baada ya kukabidhi nakala za Hati za Utambulisho kwa Waziri Membe leo mchana tarehe 21.11.2011



Waziri Membe kwenye picha ya pamoja na Balozi Mdogo wa Oman Zanzibar Mhe. Mansour Bin Nasir Al-Busaeedi na Balozi Mohamed Hamza Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje Zanzibar.

Friday, November 18, 2011

Professor Chris Maina Peter Member of the UN International Law Commission


Professor Chris Maina Peter

By ASSAH MWAMBENE in New York
A Tanzanian distinguished Professor Chris Maina Peter was yesterday voted Member of the United Nations’ International Law Commission   (ILC) by the 66th UN General Assembly here.

Announcing the results here yesterday, the President of the 66th  United Nations General Assembly, Ambassador Nassir Abdulaziz Al-Nasser said Prof Peter is among the 34 members voted in the commission out of 49 candidates who had vied for the seats.A former Kenyan Attorney General, Amos Wako has also been voted member of the Commission

Prof Chris Maina Peter, who is currently a Professor of Law at the University of Dar es salaam, was among13 contestants from the African continent who were vying for the nine slots reserved for the African countries in the UN's legal body.

When asked for a comment, Prof Peter who is currently in Ethiopia for official engagement said " I am delighted for the honor and more so to my government for seconding my candidacy and a spirited campaigns."

Other countries that  fielding candidates from Africa were from South Africa, Kenya, Sudan, Libya, Algeria, Cameroon, Egypt, Malawi, Mozambique, Nigeria, Mali and  Cote d'Ivoire. .

Prof Peter will serve in the Commission for the period of five years effective January next year.

Prof Chris Maina Peter was born on 14th April 1954 and holds Ph D in Law from the University of Konstanz in Germany.

He once served as a Member of the United Nations Committee on the Elimination of the Racial Discrimination (CERD), United Nations High Commissioner for Human Rights, Geneva, Switzerland.

Prof. Peter has also published widely in the area of. Human Rights, Humanitarian Law, Public International Law and Good Government.

Thursday, November 17, 2011

Minister Membe meets US Foreign Secretary of National Academy of Sciences and President of Tanzania Academy of Sciences

Hon. Bernard Membe Minister for Foreign Affairs and International Cooperation greets Mr. Michael Clegg, Foreign Secretary of National Academy of Sciences in the United States of America when he paid him a visit at the ministry in Dar es salaam this afternoon 17.11.2011

Hon. Membe explaining the importance of science and technology in Tanzania, and government's appreciation of the role played by the Tanzania Academy of Science as an institution to his visitor from the USA National Academy of Sciences when he visited the ministry today 17.11.2011

Professor Mathew Luhanga, President of the Tanzania Academy of Sciences - TAAS explaining operations of TAAS during a meeting with his counterpart from the National Academy of Sciences in the USA Mr. Clegg and Hon. Membe when the two scientists visited the minister in his office today 17.11.2011

Wednesday, November 16, 2011

ITALIAN FESTIVAL IN DAR-ES-SALAAM FROM 18TH TO 20TH NOVEMBER-2011


The Embassy of Italy in Tanzania is organizing an Italian Festival in Dar-es-Salaam from 18th to 20th November 2011.

The aim of Festival Italiano is to attract the attention on everything which is Italian, i.e. to create a focus point where Tanzanians as well as foreigners living in this Country could have an overview of the Italian presence in Tanzania in the different fields: industrial development, trade, culture, development cooperation, etc.

The beginning of the festival will be marked by a charity concert that will be held at the Residence of the Italian Ambassador in the evening of Friday 18th November. The entrance to the concert by Marco Castelli quartet from Venice will be at Tsh 70,000 that’s shall also include the taste of Italian Food.

“The beneficiary of the concert receipts will be the FALMI Group, which implements health and education projects in the region of Kigoma, in Kasulu district and I am very pleased to support such noble cause” stated HE Perluigi Velardi, Italian Ambassador to Tanzania

Saturday 19th to Sunday 20th November an exhibition will be organized at Forodhani Slipway, where both Italian investors in Tanzania and Tanzanian entrepreneurs doing business with Italy shall participate to promote products and services of both nations.

The Italian companies will have a chance to display and sell their local production and to promote their activities in Tanzania, whilst Italian NGOs could promote their development projects in favour of the Tanzanian population. The Tanzanian entrepreneurs doing business with Italy would also be offered a chance to exhibit their imports and promote their products and services to the public at large.

The festival would also offer the occasion to the general public to enjoy Italian films (with subtitles in English language) and to experience the sight, sounds and taste of Italian culture and cuisine.

“It should be noticed that this year Italy celebrates its 150 years anniversary, whereas Tanzania, shall soon celebrate 50 years of its Independence, hence the celebration of these important milestone of the respective Countries during festival Italiano. The Entrance to the Exhibition is Free” said Roberta Cocconi, Commercial Attaché of the Italian Embassy in Dar es Salaam.

The festival Italiano is Sponsored by Consorzio Italy, Qatar Airways, Dorotea Liguria, The Slipway, Eventlites, Hugo Domingo, Tanzania Printers, ultimate security and 361 Degrees

Makamu wa Rais akutana na Mabalozi wa Sudan na Japan

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohamed Ali, wakati alipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo leo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohamed Ali, wakati alipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo leo.
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi mpya wa Japan nchini Tanzania, Masaki Okada, wakati alipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzona kujitambulisha leo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi mpya wa Japan nchini Tanzania, Masaki Okada, wakati alipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo na kujitambulisha leo.
Picha na Muhidin Sufiani - Ofisi ya Makamu wa Rais.

From Angola Press


Tanzania to open embassy in Angola


Dar es Salaam – The government of the United Republic of Tanzania will open embassy in Angola and its Minister of Foreign Affairs and International Cooperation, Bernard Membe, will soon visit Luanda to explore business and investments opportunities.

This was said to Angop last weekend in Dar es Salaam by the top diplomat of Tanzania, Bernard Membe, in the ambit of the festivities of the 36th anniversary of the Angolan independence.


“President Jakaya Kikwete agreed to open the embassy in Luanda”, said Bernard Membe.

In addition, the official said that Angola is one of the African countries that is recording a fast economic growth, as well as the betterment of the people’s well-being.

The Tanzanian minister appealed his fellow countrymen to invest in Angola when the embassy is officially opened.

He said that Angola is rebuilding the railway that will link Zambia and it might also connect Tanzania.


On his turn, the Angolan ambassador to Tanzania, Ambrósio Lukoki, guaranteed that the executive of Angola is encouraging in a gradual and sustained way the direct participation of private investment in the national economy, strengthening its regulating role of providing the growth of public and private partnership.







Tuesday, November 15, 2011

TANZANIA YAISHUKURU JUMUIYA YA KIMATAIFA

Balozi Rajabu Gamaha,Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,akihutubia mwishoni mwa wiki mkutano wa Baraza kuu la 66 la Umoja wa Mataifa.

Katika Mkutano huo, Marais wa Mahakama za Kimataifa za Makosa ya jinai za Mauaji ya Kimbari Rwanda (ICYR) na Mauaji ya halaiki ya iliyokuwa Yugoslavia ya zamani ( (ICYT) waliwasilisha taarifa zao za mwaka mbele ya wajumbe wa mkutano huo. katika hotuba yake, Balozi Gamaha pamoja na mambo mengine aliishukuru Jumuiya ya Kimataifa kwa kuendelea kuiamini Tanzania kwamba inastahili kuwa mwenyeji wa Tawi la Mfumo wa Kimataifa wa kushughulikia umaliziaji wa mashauri ya masalia ya Mahakama ya Kimataifa ya Rwanda. Jukumu hilo linakwenda sambamba na uhifadhi na utunzaji wa nyaraka na kumbukumbu zote muhimu zinazohusu mahakama hiyo. Mahakama ya Kimataifa ya mauaji ya Kimbari ( ICTR) iliyoko Mkoani Arusha inatarajiwa kumaliza kazi zake mwaka 2014. Na mfumo huo wa kimataifa wakushughulikia umaliziaji wa mashauri ya masalia ambao tawi lake litakuwa pia Mkoani Arusha utaanza kazi 2012.

Na Mwandish Maalum

New York

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeishukuru Jumuiya ya Kimataifa kwa kuiamini kwa mara nyingine, kwamba inastahili kuwa tawi la Mfumo wa Kimataifa wa kushughulikia Umaliziaji wa Mashauri ya Masalia ya Mahakama ya kimataifa ya mauaji ya kimbari ya Rwanda( ICTR).

Shukrani hizo zimetolewa mwishoni mwa wiki na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha, wakati Mkutano Baraza Kuu la 66 la Umoja wa Mataifa ulipopokea na kujadili taarifa za mwaka za utendaji kazi wa Mahakama za Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari Rwanda (ICTR) na Mauaji ya halaki ya iliyokuwa Yugoslavia ya Zamani (ICTY).

Mwaka jana Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa, lilipitisha azimio namba 1966 la kuanzisha Mfumo wa Kimataifa wa kushugulikia umalizaji wa mashauri ya masalia ( International Residual Mechanism) ikihusisha pia uhifadhi wa nyaraka na kumbukumbu muhimu za mahakama hizo mbili.

Kupitia Azimio hilo, Arusha-Tanzania ambayo imekuwa Makao Makuu ya ICTR ndiyo inatakayoendelea na jukumu hilo na The Hague , Uholanzi itakuwa tawi la ICTY

Naibu Katibu Mkuu Balozi Rajabu Gamaha, akaeleza kwamba kutokana na jumuia hiyo kuendelea kuiamini Tanzania kubeba jukumu hilo. Tanzania imejiandaa na iko tayari kutekeleza wajibu huo.

“Kwa niaba ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na watu wake, ninatoa shukrani za dhati kwa jumuia ya kimataifa kwa kuiamini Tanzania kwa mara nyingine, kwamba tunastahili kulibeba jukumu hili, tumejiandaa na tuko tayari.” Akasema Balozi Gamaha.

Akaeleza kuwa Serikali ya Tanzania imekuwa ikifuatilia kwa karibu azimio lililopitisha kuanzishwa kwa mfumo huo, mfumo utakaohakikisha kwamba haki inatendeka na hukumu zinatolewa kwa watuhumiwa waliobaki.

Akasisitiza kwamba, serikali kama ilivyotoa ushirikiano kwa mahakama ya ICTR, itatoa ushirikiano wote wa kiutawala na kiutendaji kwa Mfumo huo unaotarajiwa kuanza kazi zake Julai mosi mwaka 2012.

Akizungumzia kipindi cha mpito kuelekea kumaliza kazi kwa mahakama hiyo na kuanza kazi kwa Mfumo. Naibu Katibu Mkuu ameelezea masikitiko ya Tanzania kuhusu suala zima la uondokaji wa wataalamu wenye uzoefu na ambao wameitumikia mahakama hiyo kwa muda mrefu.

Balozi Rajabu Gamaha, amesema uamuzi wa wafanyakazi wenye ujuzi wakiwa wamesheheni kumbukumbu na historia ya mahakama hiyo kuondoka kwenda kutafuta kazi sehemu nyingine siyo tu kutaathiri kipindi hiki cha mpito bali kutapoteza hazina na kumbukumbu walizonazo watumishi hao.

Akatumia fursa hiyo kuuomba Umoja wa Mataifa na jumuia ya kimtaifa kuendelea kutoa ushirikiano kwa mahakama hiyo ikiwa ni pamoja na kutafuta njia muafaka na kuendelea kuwa na watumishi wazoefu kuelekea kipindi cha mpito.

Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda inatakiwa kukamilisha kazi zake si zaidi ya Desemba 31, 2014

Awali akiwasilisha taarifa yake, Rais wa Mahakama ya Rwanda Jaji Khalida Rachid Khan, ameelezea baadhi ya changamoto zinazoikabili mahakama hiyo katika kipindi hiki cha mpito kuwa ni pamoja na kuondoka kwa wafanyakazi wanaokwenda kutafuta kazi za kudumu.

“ pamoja na mafanikio mengi yakiwamo ya kukamilisha baadhi ya kesi zikiwamo utoaji wa hukumu za kihistoria kwa watuhumiwa kadhaa katika kipindi hiki cha mwaka mmoja. Tuna tatizo kubwa la wafanyakazi kuondoka.”

Na kufafanua kwamba wafanyakazi hao wanaondoka kwenda kutafuta kazi za kudumu na zenye maslahi mazuri kwa kutambua kwamba mahakama hiyo inamaliza muda wake na hivyo kutokuwa na uhakika wa hatima yao ya baadaye.

Akaeleza changamoto nyingine kuwa ni ile ya kushindwa kuwafikishwa mbele ya mkondo wa sheria watuhumiwa tisa wa mauaji ya kimbari.

Miongoni mwa watuhumiwa hao, wapo watatu wanaosadikiwa kuwa ni watuhumiwa muhimu ambao wametajwa kuwa ni Felicien Kabuga, Protais Mpiranya na Augustin Bizimana.

Akatumia fursa hiyo kuzitaka nchi za Maziwa Makuu kutoa ushirikiano wa kuwakamata na kuwafikisha mahakamani watuhumiwa ambao wanasadikiwa kuwa katika nchi hizo.

Baadhi ya wazungumzaji wengine waliozungumza wakati mkutano huo, akiwamo Mwakililishi wa Jumuia ya Ulaya, wamesema watatoa ushirikiano wa karibu kwa Mfumo wa wa kimataifa wa kushughulikia umalizaji wa mashauri ya masalia ya mahakama ya Rwanda (ICTR) huku wakitoa msisitizo wa Nchi za Maziwa Mkuu kuwakamata wahutumiwa waliobakia.

RAIS KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO TOKA KWA MABALOZI WA UFARANSA NA USWISi IKULU JIJINI DAR LEO

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea hati ya utambulisho toka kwa Balozi mteule wa Ufaransa nchini Tanzania Mh Marcel Escure leo Ikulu jijini Dar es salaam.

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi mteule wa Ufaransa Mh Marcel Escure baada ya kupokea hati zake za utambulisho leo Ikulu jijini Dar es salaamBaada ya Kupokea hati ya utambulisho

Rais Dkt Jakaya Kikwete akimtambulisha balozi mteule wa Uswisi nchini Tanzania Mh Oliver Chave kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa Balozi Rajabu Gamaha ambaye anafuatiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Marekani Bi. Grace Shangali na Mkurugenzi Msaidizi katika idara hiyo.

Rais Dkt Jakaya Kikwete akiongea na balozi mteule wa Uswisi nchini Tanzania Mh Oliver Chave baada ya kupokea hati ya utambulisho. Picha na Ikulu.

Sunday, November 13, 2011

ZIARA YA DKT. SHEIN UARABUNI


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt. Ali Mohamed Shein,akizungumza na mwenyeji wake Sheikh Saud Bin Saqr Al Qasimi Kiongozi wa Ras Al Khaimah,wakati alipowasili katika kasri ya kiongozi huyo Mjini Ras Al Kahimah, jana akiwa katika ziara ya kukuza uhusiano wa mashirikiano na kukuza maendeleo ya sekta mbali mbali za maendeleleo kama Afya, Elimu, Biashara nyenginezo za maendeleo.
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein akiagana na Daktari Bingwa wa upasuaji  Dr J.M.Gauer, kutoka nchini Switzerland, katika hospitali ya  Ras Al Khaimah, alipotembelea akiwa katika ziara ya kukuza uhusiano na ushirikiano wa  sekta mbali mbali za maendeleo, ikiwemo Afya, Elimu, Biashara na nyinginezo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt. Ali Mohamed Shein akikaribishwa  na  Naibu Mtendaji Mkuu wa kampuni ya ujenzi ya Rak Ceramics, Abdalla Massaad,wakati alipotembelea  kuona vifaa mbali mbali  vya ujenzi huko Ras Al Khaimah,akiwa katika ziara ya kukuza uhusiano na mashirikiano katika sekta za maendeleo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Naibu Mtendaji Mkuu wa kampuni ya ujenzi ya Rak Ceramics, Abdalla Massaad,wakati alipotembelea  kuona vifaa mbali mbali  vya ujenzi huko Ras Al Khaimah,akiwa katikam ziara ya kukuza uhusiano na mashirikiano katika sekta za maendeleo.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein,pamoja na ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Hospitali ya Ras Al Khaimah,walipoitembelea hospitali hiyo wakiwa katika ziara ya kukuza uhusianao na ushirikiano katika sekta za maendeleo.
Picha na Ikulu, Zanzibar.