Wednesday, January 16, 2013

Rais wa Benin awasili nchini kwa ziara ya kikazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akimlaki kwa furaha Rais wa Benin na Mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika, Mhe. Thomas Boni Yayi mara baada ya Rais huyo kuwasili  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam tarehe 15 Januari 2013  kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
Picha zaidi za mapokezi ya Mhe. Rais Yayi
Mhe. Rais Yayi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali waliofika kumlaki alipowasili nchini. Pichani  Rais Yayi akisalimiana na Balozi Vincent Kibwana, Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), akiongea na Mwandishi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Bw. Stanley Ganzel kuhusu ziara ya Mhe. Rais Yayi wa Benin hapa nchini.

Kikundi cha Burudani kilichofika Uwanjani hapo wakati wa mapokezi ya Mhe. Rais Yayi.

Tuesday, January 15, 2013

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


220px-Coat of arms of Tanzania.svg f1f71


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Benin ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (UA), Mhe. Boni Yayi anatarajiwa kuwasili hapa nchini leo Jumanne tarehe 15 Januari, 2013 saa 2.00 usiku kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.

Mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Mhe. Yayi atapokelewa na Mwenyeji wake Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akiwa nchini Mhe. Yayi anatarajiwa kufanya mazungumzo na mwenyeji wake Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu, Dar es Salaam tarehe 16 Januari, 2013 ambapo mbali na kuzungumzia masuala ya ushirikiano kuhusu nchi hizi mbili, viongozi hawa watazungumzia masuala muhimu kuhusu Bara la Afrika.

Mhe. Yayi alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika wakati wa Mkutano wa 18 wa Wakuu wa Nchi wa Umoja huo   uliofanyika Addis Ababa, Ethiopia mwezi Januari 2012 na atamaliza muda wake wa uenyekiti wakati wa Mkutano wa 20 wa Wakuu wa Nchi wa Umoja huo utakaofanyika Addis Ababa tarehe 27 na 28 Januari 2013.

Mhe. Yayi anatarajiwa kuondoka nchini tarehe 16 Januari 2013.




Imetolewa na:

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,

Dar es Salaam.

15 Januari, 2013.

  

Sunday, January 13, 2013

SADC Troika Organ concludes its two-days Summit



SADC Troika Organ concludes its two-days Summit

Prepared by Tagie Daisy Mwakawago 

The SADC Troika Organ on Politics, Defence and Security Cooperation last Friday concluded its two-days Summit chaired by H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania.  The chief agenda of the Summit was to review and consider the political and security situation in the region, in particular the latest developments in the Democratic Republic of Congo, the Republic of Madagascar and the Republic of Zimbabwe.

The two-days Summit began with Ministerial-Level meeting led by Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation on the 9th of January, 2013 in Hyatt Regency- Kilimanjaro Hotel in Dar es Salaam and later followed by the meeting of the Heads of State and Government on the 10th of January, under the Chairmanship of President Kikwete. 

While discussing the Democratic Republic of Congo (DRC), the Summit received a progress report on the deployment of the Neutral International Force (NIF) in the eastern DRC.  It also welcomed the pledges made by the Republic of Malawi, Republic of Namibia, Republic of South Africa and the United Republic of Tanzania to contribute to the deployment of NIF and urged those who have not yet done so, to do so as a matter of urgency.

The Heads of States and Government also noted with appreciation the good collaboration between SADC and the International Conference for the Great Lakes Region (ICGLR) on the developments in the Eastern DRC.

Further, the Summit called for an urgent attention to the grave humanitarian situation in the Eastern DRC and expressed its readiness to work with the UN and welcomed its support for the deployment of the NIF through the UN Framework Concept for an intervention Brigade in the eastern DRC.

After receiving brief from President Andry Rajoelina of Madagascar regarding the current transition and political developments in that country, the Summit re-emphasized the need to implement a roadmap as a viable mechanism for ending political crisis in Madagascar.  Further, the Summit commended President Kikwete and former President Joaquim Chissano of Mozambique as SADC Mediator for their diligent efforts towards finding solutions and restoring constitutional normalcy in the country.  President Kikwete currently sits as a Chairperson of the Organ on Politics, Defence and Security Cooperation.

In respect to Zimbabwe, the Summit commended President Zuma of South Africa as the SADC Facilitator on Zimbabwe Political Dialogue for for his efforts in engaging political stakeholders in the country and for overseeing that peaceful, credible, free and fair upcoming elections take place in Zimbabwe.

In concluding, the Heads of State and Government thanked President Kikwete and the people of the United Republic of Tanzania for their warm hospitality provided during the meeting.

The Organ Troika is consisted of the Heads of State and Government of Southern Africa Development Community (SADC) that are President Kikwete as Chair (Tanzania), President Hifikepunye Pohamba (Namibia), President Jacob Gedleyihlekisa Zuma (South Africa), and President Armando Emilio Guebuza as current chair of the SADC (Mozambique). The Summit was also attended by the Executive Secretary of SADC, Dr. Tomaz Augusto Salomão.

End.



Zanzibar marks 49 years of Revolution, Shein urges hard work



Zanzibar President Dr. Ali Mohamed Shein inspects the Guard of Honor during the 49th anniversary of the Isles Revolution.


Zanzibar marks 49 years of Revolution, President Shein urges hard work 

Zanzibar yesterday set aside their political differences when they marched together in Amaan Stadium to celebrate the 49th anniversary of the Isles Revolution. 

The colourful celebrations were characterised by the tradition guards of honour, dancing and chanting Mapinduzi Daima (revolution forever).  The nation despite the economic hardships expressed optimism as people turned up in large numbers to celebrate its 49th year since revolution. 

Celebrations began at midnight as crowds mainly youths took to the streets of the Stone Town, with cars motorbikes and moored ships at Malindi port honking horns to mark the revolution anniversary.  In a keynote speech, President Ali Mohamed Shein said people of Zanzibar should work hard and be committed to build and develop the Islands. 

Dr. Shein also urged Zanzibaris to cooperate with security forces in enhancing security and stability in the Islands, which has in recent months recorded incidents of crime and unrest.  "The government will not spare anybody creating division and instability.  We need peace, stability and hard work for our development," Dr. Shein said amid cheers from the people braving the scorching sun. 

He mentioned other achievements since the Government of National Unity (GNU) which was formed two years ago as improvement in health, infrastructures such as roads, water and electricity, education and economy growth. 

The Zanzibar president said in a live broadcast speech that Zanzibar still has to overcome several challenges including mitigating unemployment among the youths, strive to improve tourism and agriculture for food security and minimize heavy reliance of food from abroad.  "Increasing cloves production is among the nation's priority," he said. 

The ceremony was attended by government officials led by the President of the United Republic of Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, leaders from political parties, a host of security and defence officers, along with foreign envoys and representatives of non-governmental organizations. 

Retired presidents Amani Karume and Dr. Salmin Amour, and religious leaders were also at the celebration. However, Mr. Said Soud from the Tanzania Association for Farmers Party (AFP) prayed that several Muslim leaders in jail be released "as soon as possible for nation building.  It is not good to have religious leaders behind bars for long. 


Source:  article by Issa Yusuf  - www.dailynews.co.tz



Tanzania and China seek to improve Consular Affairs


Ambassador Rajab Gamaha (right), Deputy Permanent Secretary of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation welcomes the Chinese Delegation from the People's Republic of China during their meeting on Friday January 13, 2013.  Listening on is Mr. Qzu Xuejun (2nd right), Deputy Director of Consular Affair Department in China, Mr. Lin Zhiyong, Chinese Commercial Representative and Mr. zHon Chunling (left), Consellor of International Cooperation at the Department of the Ministry of Trade in China. 

Ambassador Gamaha, Deputy Permanent Secretary in a round discussion with the delegation from the Government of the People's Republic of China (left) which was attended also by Deputy Director of Africa Affairs from the Ministry of Foreign Affairs in China, and Representatives from the Chinese Embassy in Tanzania and representatives from the Tanzania's government (right).  

Representatives from the Tanzania Government which are Mr. Paul Chagonja (left), Commissioner of Police - Operation and Training Police Headquarter, Mr. Germanus Muhumwe (2nd left), ACP CID - Coordinator from CID Headquarter DSM,  and Mr. Barnabas Mwakalima (3rd left), Superintendant of Police -Commanding Officer Prevention Unit in Police Headquarter DSM.  Others are Ms. Samira Diria (2nd right), Acting Director of the Department of Asia Australasia and Mr. Charles Faini (right), Foreign Service Officer  from the Department of the Asia Australasia in the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation. 


Mr. Qzu Xuejun from the Republic of China explains the need for the Chinese Nationals to know the local laws and requirements when they reside in Tanzania. 

Ambassador Rajab (right), emphasize the bilateral cooperation that exist between the two countries; where he commended the very spirit that has been shown through the Citizens of both countries.


Tanzania and China seek to improve Consular Affairs

by TAGIE DAISY MWAKAWAGO 

The Deputy Permanent Secretary of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation, Ambassador Rajab Gamaha recently met with the delegation from the People's Republic of China at the Ministry Office in Dar es Salaam.  The main goal of the meeting was to exchange views on local laws and requirements in respect to both countries especially now that there is a significant number of citizens residing in both countries. 

"There are more than 30,000 Chinese Nationals living in Tanzania, and approximately a thousand or less Tanzanians living in China," said Ambassador Gamaha.  Adding that, it is in that spirit that the Government's priority has never changed in respect to maintain peace and security among its citizens and other Nationals.  
  
However, Ambassador Gamaha cautioned that any criminal elements will be taken before proper authorities just like any other country in the world.  "When something happens, it is not that Chinese or any other National was a target; but rather it is like a disgruntled criminal breaking a law, where he eventually ought to be brought to justice," he said.

In his response, Mr. Qzu Xuejun, said that the Chinese and Tanzania Governments have enjoyed a good cooperation for years, and that his Government wished to push forward the bilateral relation that exists especially in consular relations.  

"There have been significant Chinese Nationals assuming residence in Tanzania and we seek your Government's assistance in educating us about local laws and requirements so that we improve our consular relations.  We want our Citizens to be dully abided citizens," he said.  Mr. Xuejun is a Deputy Director of Consular Affair Department from the People's Republic of China.

Agreeing with Mr. Xuejun, the Deputy Permanent Secretary said that both Governments have a duty to protect national security of the other; a duty that the Tanzania Government has implemented and fulfilled for years.  

In the latter, Ambassador Gamaha told the Chinese delegation that the Ministry of Foreign Affairs will coordinate their request as a focal point Ministry; however, the Ministry of Home Affairs will be the proper channel to handle the matter including providing policy guidelines of local laws and requirements. 


End. 

Saturday, January 12, 2013

Naibu Waziri azindua kituo cha mafunzo ya kompyuta Unguja


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) (katikati) akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Jambiani, Wilaya ya Kusini, Unguja kwa ajili ya kuzindua Kituo cha Mafunzo ya Kompyuta ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar hivi karibuni.

Mhe. Maalim akizindua rasmi Kituo cha Mafunzo ya Kompyuta kilichopo Jambiani, Wilaya ya Kusini, Unguja.

Hafla hiyo ya uzinduzi wa Kituo cha Mafunzo ya Kompyuta ilipambwa na Kikundi cha Mazoezi.

Mhe. Maalim pia aliweka jiwe la msingi la chumba cha kuhifadhia vifaa vya Kompyuta kama inavyoonekana.

Rais Kikwete aongoza Kikao cha Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama - SADC; Rais Andry Rajoelina wa Madagascar ahudhuria


Rais Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kulia), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), akiwa katika picha ya pamoja na Rais Andry Rajoelina (kulia) wa Madagascar  wakati wa Kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Ikulu ijumaa tarehe 11 Januari, 2013 mjini Dar es Salaam.  Wengine katika picha ni Rais Hifikepunye Pohamba (kushoto) wa Namibia na Rais Armando Guebuza Msumbiji.  (Picha na Freddy Maro wa Ikulu)


Friday, January 11, 2013

Rais wa Madagascar awasili kuhudhuria mkutano wa SADC-TROIKA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), (kushoto) akisalimiana na Mhe. Andry Rajoelina, Rais wa Madagascar mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Januari, 2013. Mhe. Rais Rajoelina yupo nchini  kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano unaoendelea wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC-TROIKA).
Mhe. Rais Rajoelina akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili.
Mhe. Rais Rajoelina akiwa amefuatana na Mhe. Membe mara baada ya kupokelewa.
Mhe. Rais Rajoelina akipita katikati ya Gwaride  lililoandaliwa kwa heshima yake huku akisindikizwa na Mhe. Membe
Mhe. Rais Rajoelina akiwa na Mhe. Membe wakifurahia burudani ya ngoma za utamaduni zilizokuwepo Uwanjani hapo mara baada ya kuwasili.


Thursday, January 10, 2013

Rais Zuma awasili kuhudhuria SADC-TROIKA

Rais wa Afrika Kusini, Mhe. Jacob Zuma akiteremka kutoka kwenye ndege mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC

Mhe. Zuma akisalimiana na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mathayo David Mathayo ambaye alikuwa Uwanjani hapo kwa ajili ya kumpokea

Mhe. Rais Zuma akifuatana na Mhe. Mathayo mara baada ya kuwasili


Gwaride la Heshima kwa ajili ya Mhe. Rais Zuma

Mhe. Rais Zuma akipita katikati ya Gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake.


Marais wa SADC-TROIKA wawasili nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) (kushoto) akisalimiana na Mhe. Armando Emillio Guebuza, Rais wa Msumbiji mara baada ya Rais huyo kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo. Mhe. Guebuza ni miongoni mwa Marais wanaohudhuria Mkutano Maalum wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC-TROIKA) unaofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 10 Januari, 2013.

Mhe. Guebuza (kushoto) akifuatana na Waziri Membe mara baada ya kuwasili

Mhe. Rais Guebuza wakati alipokuwa akiteremka kwenye ndege mara baada ya kuwasili nchini.


Mhe. Rais Guebuza akiangalia ngoma za utamaduni (hazipo pichani) zilizokuwa zikitoa burudani kiwanjani hapo mara baada ya kuwasili.

Moja ya kikundi cha utamaduni kilichokuwa kikitoa burudani kwa Mhe. Rais Guebuza alipowasili nchini.


Mahojiano na Mhe Balozi Mwanaidi Sinare Maajar Part 1



Mhe. Balozi Mwanaidi Sinare Maajar, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, akiwa katika mahojiano na Bw. Mubelwa Bandio tarehe 8 Januari, 2013 katika Ofisi za Balozi mjini Washington, DC.  (Picha na swahilivilla.blog)




Dar hosts a two-day SADC’s Troika Summit


Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation, greets his counterpart-Ministers from the Republic of Namibia, the Republic of Mozambique and South Africa prior to the commencement of the Ministerial-level Meeting of the SADC's Political, Defence and Security Organ (the Troika Summit).  The Meeting took place yesterday in Hyatt Regency - Kilimanjaro Hotel in Dar es Salaam.  

Hon. Membe gives his opening remarks during the Ministerial-Level Meeting of the SADC's Troika Summit. Others are General Davis Mwamunyange (right), Chief of Defence Forces and Dr. Tomaz A. Salomão (left), Executive Secretary of the Southern African Development Cooperation (SADC).  The two-days Troika Summit will discuss political developments in Madagascar, security in Eastern Democratic Republic of Congo (DRC) and general elections in Zimbabwe scheduled to take place later this year.

Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation, briefs members of press after the completion of the Ministerial-Level Meeting of SADC's Troika Summit.  Listening on is Dr. Tomaz A. Salomão (left), Executive Secretary of the Southern African Development Cooperation (SADC).  President Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania is scheduled to lead the Troika Summit later this afternoon which will be attended by other member State Heads from SADC's Troika which are Mozambique, South Africa and Namibia. 


(All photos are by Khalfan Said of the Guardian Newspaper)


Wednesday, January 9, 2013

Waziri Membe apokea Nakala ya Hati za Utambulisho za Balozi Mteule wa Msumbiji nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe-Mb., akipokea Nakala ya Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Msumbiji hapa nchini Mhe.Vicente M. Veloso. Hafla hiyo ilifanyika Ofisini kwa Mhe. Waziri Membe leo. 

Mhe. Balozi Veloso aliye kushoto akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John M. Haule huku Mhe. Membe akishuhudia.

 Mhe. Membe akifafanua jambo kwa Mhe. Balozi Veloso wakati wa mazungumzo yao mara baada ya Balozi huyo kuwasilisha Nakala ya Hati zake za Utambulisho 

Mhe. Membe akimsikiliza Balozi Veloso huku Afisa kutoka Ubalozi wa Msumbiji hapa nchini, Bi. Helena Sitore akinukuu mazungumzo yao.


Tuesday, January 8, 2013

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

220px-Coat of arms of Tanzania.svg f1f71


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika-SADC (TROIKA) ataongoza kikao cha Wakuu wa Nchi tatu zinazounda Asasi hiyo kinachotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam Alhamisi tarehe 10 Januari, 2013.

Pamoja na mambo mengine, kikao hicho kitajadili maendeleo ya hali ya siasa nchini Madagascar na hali ya usalama Mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Viongozi wanaotarajiwa kuhudhuria kikao hicho ni Rais Hifikepunye Pohamba wa Namibia ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Troika, Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini na Rais Armando Emilio Guebuza wa Msumbiji.

Aidha, kikao hicho kitatanguliwa na kikao cha Mawaziri kitakachofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency (Kilimanjaro) ya jijini Dar es Salaam tarehe 09 Januari, 2013.

Nchi tatu za TROIKA ni Afrika Kusini, Namibia na Tanzania, ambaye ndiye Mwenyekiti. Nchi ya Msumbiji inashiriki kama Mwenyekiti wa sasa wa SADC.


IMETOLEWA NA: WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, DAR ES SALAAM.

08 JANUARI, 2013


Utekelezaji wa Ilani ya CCM katika Serikali ya Awamu ya Nne



220px-Coat of arms of Tanzania.svg f1f71

Wizara ya Mambo ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa leo jioni itaelezea mafanikio yake katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Nne ikiwa ni sehemu kuu ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Ratiba ya vipindi vitakavyorushwa leo jioni kwa muda wa nusu saa ni kama ifuatavyo:


ITV   ............ saa 12:30 hadi saa 1:00 jioni  


TBC  ............ saa 1:00 hadi 1:30 jioni


Star TV   ............. saa 1:00 hadi 1:30 jioni
   



Friday, January 4, 2013

RAIS KIKWETE AONANA NA MSHAURI WA KIJESHI WA UMOJA WA MATAIFA


jwun2 cf082
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (wa tatu kushoto mstari wa mbele) akiwa atika picha ya pamoja na Luteni Generali Babacar Gaye (wa tatu kulia mstari wa mbele), Mshauri Mkuu wa Kijeshi wa Umoja wa Mataifa, baada ya kuonana naye Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 4, 2013.  Wengine ni Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb) (kushoto mbele), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, akifuatiwa na Jenerali Davis Mwamunyange, Mkuu wa Majeshi Tanzania.  Wa pili kulia ni Mhe. Balozi Tuvako Manongi, Balozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa na wengine ni maafisa waandamizi katika JWTZ na Umoja wa Mataifa. (picha na Ikulu)

SERIKALI KUWATUMIA WATAALAMU WA KITANZANIA WALIOKO UGHAIBUNI (DIASPORA) NA NDANI YA NCHI KATIKA KUINUA MAENDELEO YA TAIFA



220px-Coat of arms of Tanzania.svg f1f71
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inakusudia kuwatumia wataalamu wa Kitanzania walioko ndani ya nchi na wale walioko ughaibuni (Diaspora) katika kutekeleza mipango yake kadhaa yenye umuhimu kwa Taifa.

Hapo awali, Serikali iliwatumia zaidi wataalamu kutoka nchi nyingine, ambapo kwa sasa lengo ni kuona kwamba wataalamu wa nchi nyingine wanatumika pale tu ambapo wataalamu wa Kitanzania walio ndani na nje ya nchi hawajapatikana kufanya kazi husika.
Katika kutekeleza azma hiyo, Serikali itapenda kupata wataalamu wa Kitanzania kwenye maeneo yafuatayo:-

(i)   Mfumo mzima wa utafutaji, uchimbaji, uongezaji thamani na usambazaji wa gesi asilia  na mafuta.

(ii)  Kuimarisha matumizi salama ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kuboresha utendaji wa Serikali na utoaji wa huduma kwa wananchi.

(iii)  Kuboresha utekelezaji wa malengo ya Serikali na kupima matokeo kupitia mfumo unaokusudiwa kuhakikisha tunapata matokeo  makubwa na ya haraka katika maeneo ya kipaumbele na kimkakati katika maendeleo ya Taifa.

Wataalamu watakaojitokeza na kukubaliwa kufanya kazi Serikalini katika maeneo haya, watafanya kazi kwa mikataba ya muda mfupi, lakini inayoweza kuongezwa iwapo utendaji utaridhisha.

Mwito unatolewa kwa Wataalamu wa Kitanzania popote walipo, ughaibuni au ndani ya nchi, kujitokeza na kuleta wasifu wao (CV’s) pamoja na maelezo ya kwa nini wanafikiri wao ni aina ya watu tunaowatafuta. 

Tumia anuani ifuatayo:-

Katibu Mkuu Kiongozi
Ofisi ya Rais, Ikulu
S.L.P. 9120
DAR ES SALAAM.

Dar es Salaam upbeat on Smart Partnership meeting


The Government has promised to ensure success of the Smart Partnership Dialogue for the benefit of the country and its partners.

The Chief Secretary, Ambassador Ombeni Sefue, told a news conference in Dar es Salaam recently that preparations of the International Smart Partnership Dialogue scheduled in May, this year in Dar es Salaam were going on well. "We are doing a lot to make sure that the dialogue is held and concluded successfully," he said.

He said that the government was working closely with countries that have had earlier hosted a similar meeting to get their experience and learn from them.

The main objective of Smart Partnership Dialogue is to enhance the government's engagement with all sectors in enhancing information, knowledge and expertise in finding solutions to sustainable development challenges.
The theme for the Global 2013 Smart Partnership Dialogue is 'Leveraging Technology for Africa's Socio-Economic Transformation :The Smart Partnership Way'.

The Smart Partnership International Dialogues are held once every two years between Malaysia and countries in Southern Africa and are jointly organised by the Commonwealth Partnership for Technology Management (CPTM) and the Malaysian Industry-Government Group for High Technology (MIGHT).
Tanzania National Business Council (TNBC) has been designated as the hub for Smart Partnership Dialogue and has been tasked to undertake the National Smart Partnership Dialogue, commencing from the District, Regional up to National level in January 2013; as a stepping stone to the International Smart Partnership Dialogue.

Ambassador Sefue who also doubles as the Chairman of the TNBC Executive Committee said that the government also works with experts in and outside the country to make sure that the theme on the role of technology in attaining fast social economic development as chosen by President Jakaya Kikwete succeeds.
He said that as a country, Tanzania has set herself to make the dialogue a success for the benefit of the people of Tanzania and nation at large. He said TNBC as an avenue for connecting the government and the private sector has a lot of experience in coordinating such dialogues and was sure that the council will perform better in this particular job.

The dialogue is a brainchild of the Commonwealth Partnership for Technology Management. It creates a platform for key decision makers in both public and private sectors from various countries to come together and look for solutions to social and economic problems bedevilling their nations.

 

Thursday, January 3, 2013

President Kikwete congratulates Cuba for its Liberation Day after the Revolution


Jakaya Kikwete - Doug Pitt Named Goodwill Ambassador Of Tanzania Hosted by President Kikwete

His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to His Excellency Raul Castro, President of the Republic of Cuba, on the occasion of Commemoration of the Liberation Day of Cuba after the Revolution.

The message reads as follows;

His Excellency Raul Castro,
The Republic of Cuba,
Havana,
CUBA.

Your Excellency,

On behalf of the Government and people of the United Republic of Tanzania and on my own behalf, I wish to extend sincere congratulations to you and to the Government and the people of Cuba on the occasion of your country’s Liberation Day after the Revolution.

We in Tanzania greatly appreciate the friendly ties of friendship and partnership which have existed between our two countries and people, over the years. I wish to take this opportunity to reaffirm our continued commitment to further strengthening these relations and cooperation, for the mutual benefit of our people.

As we mark this important day, let me also wish Your Excellency’s personal good health and continued peace and prosperity for the people of Cuba”.


Issued by: Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, Dar es Salaam.

03rd January, 2012