Sunday, April 20, 2014

Waziri Membe awa Mgeni Rasmi Tamasha la Pasaka

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akiwa na mkewe Mama Dorcas Membe wakiwasili kwenye Uwanja wa Taifa kwa ajili ya kushiriki Tamasha la Pasaka. Mhe. Membe alikuwa mgeni rasmi kwenye Tamasha hilo lililofanyika siku ya Pasaka tarehe 20 Aprili, 2014.
Mhe. Membe na mkewe wakisalimiana na Waandaaji wa Tamasha la Pasaka akiwemo Kiongozi wao Bw. Alex Msama (wa  kwanza kushoto) mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Taifa.
Mhe. Membe akiwa ameongozana na Mwandaaji wa Tamasha la Pasaka  Bw. Msama kuingia uwanjani.
Mhe. Membe akisalimia umati wa watu (hawapo pichani)  waliohudhuria Tamasha hilo.
Umati wa Watu waliohudhuria Tamasha la Pasaka.
Mwandaaji wa Tamsha la Pasaka Bw. Msama nae akisalimia watu waliohudhuria
Mama Membe akibadilishana mawazo na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Bibi Angela Kairuki ambaye pia alishiriki kwenye Tamasha la Pasaka.
Mmoja wa Waimbaji wa Nyimbo za Injili, Bi. Upendo Nkone akitumbuiza wakati wa Tamasha la Pasaka.
Mhe. Membe akimpongeza Bi. Nkone mara baada ya kutumbuiza.
Mmoja wa Wachungaji waliohudhuria Tamasha la Pasaka akisoma risala maalum kwa Mgeni Rasmi, Mhe. Membe.
Mhe. Membe akitoa hotuba wakati wa Tamasha la Pasaka.
Umati wa watu wakishangilia wakati Mhe. Membe (hayupo pichani) akihutubia.
Balozi Mbelwa Kairuki (katikati), Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa naye pia alikuwepo kwenye Tamasha la Pasaka.
Mhe. Membe akiwa na Bw. Richard Kasesera ambaye pia alihudhuria Tamasha la Pasaka.

Picha na Reginald Philip.

Saturday, April 19, 2014

Waziri Mkuu ahitimisha Maonesho ya miaka 50 ya Muungano

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.  Mizengo Peter Kayanza Pinda akiongozana na Mhe. Ummy A. Mwalimu (Mb), Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais alipowasili katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufunga rasmi Maonesho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar  rasmi
 19 Aprili, 2014
Waziri Mkuu, Mhe. Pinda, akihutubia wananchi waliohudhuria sherehe za ufungaji wa Maonesho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Wananchi kutoka  vitongoji mbalimbali vya Jiji la Dar es Salaam wakimsikiliza Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Peter Pinda alipokuwa akihutubia kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Mhe. Pinda akiangalia burudani iliyokuwa ikitolewa na moja ya kikundi cha ngoma (hawapo pichani) kilichokuwa kikitumbuiza wakati wa ufungaji wa maonesho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Wengine katika picha ni Mhe.  Mwigulu Nchemba, Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Ummy Mwalimu, Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais na Mhe. Raymond Mushi, Mkuu wa Wilaya ya Ilala  ambaye pia alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Kikundi cha Ngoma kikitoa Burudani mbele ya mgeni rasmi Mhe. Pinda (hayupo pichani) wakati wa sherehe za ufungaji wa Maonesho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Mkumbwa Ally akipokea Cheti cha Ushiriki wa Wizara kwenye Maonesho ya miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene akizungumza na Maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Taasisi zake alipotembelea Banda la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Wananchi wakiwa katika Banda la maonesho la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Picha na Reginald Philip.

Thursday, April 17, 2014

Waziri Membe akabidhi rasmi Tuzo ya Mhe. Rais Kikwete

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akitoa maelezo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kabla ya kumkabidhi Tuzo ya Heshima ya Kiongozi Mwenye Mchango Mkubwa ziadi katika Maendeleo Barani Afrika kwa mwaka 2013 aliyoipokea kwa niaba ya Mhe. Rais Kikwete tarehe 9 Aprili, 2014 Jijini Washington D.C, Marekani. Heshima hiyo kwa Rais Kikwete ilitolewa na Jarida Maarufu la Kimataifa la African Leadership Magazine Group.
Mhe. Rais Kikwete na Wajumbe wengine waliokuwepo akiwemo Mkurugenzi wa Mawasiliano, Ikulu, Bw. Salvatory Rweyemamu wakimsikiliza Mhe. Membe.
Mhe. Membe akimkabidhi rasmi Mhe. Rais Kikwete Tuzo yake. 
Mhe. Rais Kikwete akionesha Tuzo hiyo mara baada ya kuipokea kutoka kwa Mhe. Membe.

Picha na Reginald Phillip.


Wednesday, April 16, 2014

Katibu Mkuu amwakilisha Waziri kumpokea Rais Mstaafu wa Zanzibar alipotembelea Maonesho ya miaka 50 ya Muungano

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule akimkaribisha Rais Mstaafu wa Zanzibar, Mhe. Amani Abeid Karume (katikati) kuzungumza na wananchi alipotembelea maonesho ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yanayofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 15 hadi 19 Aprili, 2014. Bw. Haule alikuwa mwenyeji wa Mhe. Karume Viwanjani hapo kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushrikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.).

Mhe. Karume akizungumza viwanjani hapo. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maonesho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Mhe. Karume na Bw. Haule wakisikiliza maelezo kutoka kwa Maafisa walipotembelea Banda la maonesho la Benki Kuu ya Tanzania Viwanjani hapo.





President Kikwete congratulates Queen Margrethe II of Denmark


PRESS RELEASE

H.E President Jakaya Mrisho Kikwete of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.M Queen Margrethe II of Denmark on the occasion of her 74th birthday on 16th April 2014.

“Your Majesty Queen Margrethe II,

   Amalienborg Palace,

   COPENHAGEN,

   Denmark.

It is my pleasure on behalf of the people and the Government of the United Republic of Tanzania to congratulate Your Majesty on the occasion of your 74th birthday.

As you celebrate your 74th birthday allow me to take this opportunity to express my sincere appreciation on the excellent relations that happily exist between our two countries and peoples. 

The celebration of your birthday offers us yet another opportunity to reaffirm our commitment to continue working closely together in enhancing the existing bilateral ties between our two countries. I am confident that the bonds of friendship, co-operation and partnership that our two countries enjoy will continue to grow in greater heights for mutual benefit.

Please accept, Your Majesty, my best wishes for your continued good health, peace and prosperity for the people of Denmark”.

Issued by: The Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation of the United Republic of Tanzania, 

Dar es Salaam.

16th April 2014

 

Tuesday, April 15, 2014

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar alipotembelea Banda la Maonesho la Wizara

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Seif Sharrif Hamad, akisaini Kitabu cha Wageni alipotembelea Banda la Maonesho la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Maonesho ya Miaka 50 ya  Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yanafanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 15 hadi 16 Aprili, 2014 na kuzihusisha Wizara na Taasisi za Muungano.  Lengo la maonesho hayo ni kuwaeleza wananchi mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha miaka 50 ya Muungano, changamoto na namna ya kuzikabili pamoja na matarajio ya baadaye kuhusu Muungano huo.
Mhe. Makamu wa Rais akimsikiliza Balozi Silima Haji ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje Zanzibar akimweleza majukumu ya Idara hiyo kwa upande wa Zanzibar katika kudumisha Muungano.
Mhe. Hamad akifurahia jambo wakati akipata maelezo  kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Mkumbwa Ally alipotembelea Banda la Maonesho la Wizara. Bw. Mkumbwa aliezea kuhusu mafanikio ya Wizara katika kipindi cha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Balozi Silima akitoa maelezo kuhusu Sera ya Mambo ya Nje kwa mmoja wa wananchi waliotembelea Banda la Wizara.
Baadhi ya Maafisa kutoka Wizarani na Taasisi za Wizara wakiwa katika Sare nadhifu za Maonesho ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

UTEUZI NA UHAMISHO WA MABALOZI



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amefanya uteuzi wa Mabalozi ili kujaza nafasi    zilizoachwa wazi na Mabalozi wastaafu kwa mujibu wa sheria.

Mabalozi wateule na aliyehamishwa kituo ni kama ifuatavyo:






Balozi Dora Mmari Msechu, ameteuliwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Stockholm, Sweden. Hadi uteuzi huu unafanyika Balozi Dora Mmari Msechu ni Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Anachukua nafasi ya Balozi Mohamed M.H. Mzale ambaye amestaafu.





Lt. Gen. Wynjones Matthew Kisamba, ameteuliwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Moscow, Urusi. Hadi utaeuzi huu unafanyika, Lt. Gen. Wynjones Matthew Kisamba alikuwa Mkuu wa Utendaji Kivita na Mafunzo, Makao Makuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania. Anachukua nafasi ya Balozi Jaka Mwambi.




 
 








Kadhailika, Mheshimiwa Rais amemteua Ndugu Joseph Edward Sokoine kuwa Balozi na Mkurugenzi  wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kabla ya Uteuzi huu, Bw. Sokoine alikuwa Afisa Mambo ya Nje Mkuu na Mkuu wa Utawala kayika ubalozi wa Tanzania, Ottawa, Canada.

Umetolewa na

(John M. Haule)
KATIBU MKUU
WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
15 APRILI, 2014




Thursday, April 10, 2014

Mhe. Membe apokea Tuzo ya Utumishi Bora wa Umma Afrika kwa niaba ya Rais Kikwete

Balozi wa Nigeria nchini Marekani, Prof. Adebowele Adufye akizungumza machache kabla ya kumkabidhi  Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Tuzo ya Kiongozi Mwenye mchango Mkubwa Zaidi katika Maendeleo ya Bara la Afrika kwa  mwaka 2013. Mhe. Membe alipokea Tuzo hiyo kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete. Katika maelezo yake, Balozi Adufye alimwelezea Rais Kikwete kama Kiongozi wa kuigwa Barani Afrika kutokana na uadilifu wake katika uongozi. Hafla hiyo ilifanyika Jijini Washington D.C, Marekani katika Hoteli ya St. Regis na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali mashuhuri akiwemo Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai ambaye yupo nchini Marekani kwa majukumu mengine ya Kiserikali.
Mhe. Membe akipokea Tuzo ya Kiongozi Mwenye mchango Mkubwa Zaidi katika Maendeleo ya Bara la Afrika kwa  mwaka 2013. Mhe. Membe alipokea Tuzo hiyo kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kutoka kwa Balozi wa Nigeria nchini Marekani, Mhe. Prof. Adebowele Adufye.
Mhe. Membe akiwaonesha wageni waalikwa Tuzo hiyo mara baada ya kuipokea kwa niaba ya Mhe. Rais Kikwete.

Mhe. Naibu Spika, Job Ndugai nae akifurahia Tuzo hiyo.
Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula nae akifurahia Tuzo hiyo ya Mhe. Rais Kikwete.
Mhe. Waziri Membe akizungumza mara baada ya kupokea Tuzo kwa niaba ya Mhe. Rais Kikwete ambaye amepewa Tuzo ya Kiongozi Mwenye mchango Mkubwa Zaidi katika Maendeleo ya Bara la Afrika kwa  mwaka 2013 na Taasisi ya Uchapishaji ya African Leadership Magazine. Mhe. Membe alimwelezea Rais Kikwete kama Kiongozi ambaye Watanzania wanajivunia kuwa nia kutokana na uongozi wake uliotukuka.
Naibu Spika, Mhe. Job Ndugai, Mhe. Balozi Mulamula pamoja na wajumbe wengine wakifuatilia hotuba ya Mhe. Membe (hayupo pichani) wakati wa hafla ya upokeaji Tuzo ya Kiongozi Mwenye mchango Mkubwa Zaidi katika Maendeleo ya Bara la Afrika kwa  mwaka 2013 ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.
Mkurugenzi wa Mawasiliano-Ikulu, Bw. Salvatory Rweyemamu akiwa na Bi. Mindi Kasiga, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa pamoja na wajumbe wengine wakati wa hafla ya upokeaji Tuzo ya Kiongozi Mwenye mchango Mkubwa Zaidi katika Maendeleo ya Bara la Afrika kwa  mwaka 2013.  
Bw. John Kennedy Opara (kulia) ambaye ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Mahujaji Wakiristo wa Nigeria ambaye pia ni Mshauri wa Rais Goodluck Jonathan wa nchi hiyo kuhusu Uhusiano wa Kidini akiwa na Dkt. Kingsley Moghalu, Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Nigeria ni baadhi ya Waafrika ambao walipewa heshima pamoja na Rais Kikwete wakati wa hafla hiyo.
Wajumbe wakifuatilia matukio.
Hafla ikiendelea.

Wajumbe wakifuatilia matukio mbalimbali ya utoaji Tuzo kwa Mhe. Rais Kikwete.
Wageni waalikwa wakiwa wamefurika ukumbini wakati wa hafla ya utoaji Tuzo kwa Mhe. Rais Kikwete
Picha ya Pamoja
Mhe. Membe akiwa na Balozi Mulamula pamoja na Bw. Hamza Mwamoyo wa Sauti ya Marekani (VOA) mara baada ya mahojiano kuhusu Tuzo hiyo.
Mhe. Membe (katikati) na Mwenyekiti wa CCM, DMV, Bw. George Sebo (kulia) walipofika kumpongeza kwa niaba ya Rais Kikwete mara baada ya kupokea Tuzo.
 ------------------------------------------------------------------------
 
KEY NOTE ADDRESS BY HONORABLE BERNARD KAMILLIUS MEMBE, (MP) MINISTER FOR FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL COOPERATION OF TANZANIA ON THE OCCASION OF RECEIVING THE AFRICA POLITICAL LEADER OF THE YEAR AWARD ON BEHALF OF HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
WASHINGTON, DC 09-04-2014
______________________________________________

Dr. Ken Giami, Chief Executive Officer of the African Leadership Magazine,

Hon. Saada Mkuya Salum, Minister for Finance of the United Republic of Tanzania

Her Excellency Liberata Mulamula, Ambassador of the United Republic of Tanzania

Senior Government Officials,

Members of the Diplomatic Corps,

Members of the Public Service Sector,

Editors of the African Leadership Magazine,

Distinguished guests and friends of Africa

Ladies and Gentleman:

I commend the Chief Executive Officer Dr. Ken Giami and his entire team for convening this Award ceremony and for organizing it so well to everybody’s satisfaction.  I also thank the organizers for inviting me to participate and deliver a key note address on the theme “Efficient Public Service delivery as key to Africa’s Economic Growth and Development”  I will try to limit myself with Tanzania’s example as you suggested, however you will bear with me when I speak for Africa as we stand as one.

The proposed subject is indeed an important matter to all of us especially at this juncture when countries such as Tanzania are at the verge of economic transformation.

          Throughout my remarks, I will put an emphasis on people’s centered development and economic growth.


Ladies and Gentlemen;

It is with no doubt, efficient public service delivery in Tanzania has brought significant progress in the overall well-being of its citizens.  However, the experience has shown that the master key to sustainable Economic Growth and Development is the partnership which the public sector must, of necessity forge with the Private Sector.  This is why we in Tanzania have for number of years embraced the notion of public private partnerships (PPP).  This has been working across all sectors that play a big role in the development of Tanzania.  The combination of the two propels economic growth and development forward.  In Tanzania for example we have achieved a target on universal primary education enrolment as well as on gender parity with regard to number of boys and girls in primary and secondary school enrolment.  We are now working to create gender parity of female-male in tertiary education.

Since education is carried out by both public and private sector, we in the government made a decision that student loans should not only be accessible to public school students, but also to all private school students.  This public service delivery in education coupled with the partnership with the private sector in education, has made a huge difference.

Since we are in the ICT era, I must also mention that new schools in Tanzania have triggered an explosion in the demand for secondary school education.  A 400 percent increase in enrolment in only four years has taxed the educational infrastructure.  The schools cannot cope with the numbers of new students, and the country now needs 85,000 more teachers.  As a result, the Tanzania government has launched a powerful public-private partnership scheme called “Tanzania Beyond Tomorrow”.  International technology brands and important not-for-profit organisations are taking part in the scheme exploiting e-Learning to expand the capacity of the secondary schools.  Trials are taking place in Mbezi Beach, an up-market suburb of Dar-es-Salaam.  Our goal is to roll out this project nationwide through national fibre-optic network.


Ladies and Gentlemen;

          On environmental sustainability, we are doing very well on providing safe and clean water in rural and urban areas.  A total of 2,390,000 villagers have been provided with clean water during the past one year.  Previously, the number of people provided with water in rural areas was at between 300,000 to 500,000 people annually.  An important factor in this development has been the  success in increasing efficiency in the procurement process, reducing the time required to procure a contractor from an average of 295 days to 95 days only in implementation of water projects.

We have also made significant achievement in the provision of health facilities in the country.  In the past five years, we have been building more dispensaries and health centers with the aim of ensuring that there is a health delivery facility within a radius of 5 kilometers from where people live.  We are also training Doctors, Nurses and Mid-wives so that pregnant women can now deliver under the care of trained health personnel in a move to improve maternal health. New two medical colleges of medicine have been built in Tanzania for the purpose of increasing the number of Doctors and Nurses.  The two schools at Mloganzira in Kisarawe and Dodoma have the capacity to produce approximately 15,000 medical students annually in various fields.

Ladies and Gentlemen;

          Another area that has consumed most of our time and resources in the past few years, is the area of infrastructure development.  Road and railway infrastructure is key to economic growth and trade facilitation in the country and in the continent at large.  The Government has during the 2013/14 fiscal year increased spending in infrastructure to 2.16 trillion Tanzanian shillings compared to 1.94 trillion Tanzanian shillings in the previous financial year.  Tanzania has built close to 4,000 kms of road network in the last 8 years.  This development facilitates trade, shortens the number of travelling days and motor vehicles would now live longer.  There are port development projects which are capital and labour intensive which are as well underway.

Ladies and Gentlemen,

          Recent Gas discoveries are leading the way in Tanzania’s economic transformation.  Tanzania’s gas discoveries todate are at 46 trillion cubic feet and more are expected.  We do have other renewable resources that are largely untapped; these are hydro, solar, wind and biomass.  Our renewable industry is understandably at its infancy because of lack of finance providers, service companies and a regulatory framework.  I seize this opportunity to welcome those interested to invest in this area.


          Our Government knows that if we are to achieve our goal we must have the ease of doing business.  Transparency in managing these resources is what we have resolved to do.  We believe that transparency will enable the business environment to develop and thrive.  Without transparency, we will have weak governance, corruption and poor oversight.  Whereas better governance and transparency drives up standards, engages communities and creates a level playing field that will benefit all companies.

          That is why I said from the beginning that public service delivery and partnership with private sector is imperative.  Partnership is about improving the business environment, and Tanzania remains committed to working with our partners and help each other in implementing more transparent, whether on open data, tax or trade policies, or on land and extractive transactions.

          Agriculture is the mainstay of Tanzania’s livelihood.  Close to 80% of our people live and depend on agriculture.  The Government is determined to transform our agriculture into mechanized and commercial agriculture.  The discovery of gas will put in place fertilizer industries which will create and improve productivity.  Agriculture will continue to create more jobs to the millions of unemployed youth.  Should be known, Tanzania, has 44 million hectares of arable land and up to now only 6.3 hectares (24%) are under crop production.  34 percent of our export earnings come from agriculture.




CONCLUSION

          So yes! Efficient public service delivery is key to economic growth and development.  Tanzania’s growth levels have reached and sustained at 7%.  Export of goods and services in the country, in the East African market and European countries is tripling. 

          Partnership with private sector and other countries is a master key.  Not only does partnership provide resources, but it enables partners to help each other creating conducive climate for trade and investment with good governance and transparency being its top priorities.  That is what Tanzania has been trying to do and will die trying! 

As I finish, I hope to see you in Tanzania, if not for investment opportunities that we can offer then for leisure as a tourist.  Let me also take this opportunity once again to thank you for selecting His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete as a winner for this year and this award is dedicated to Tanzania and Africa at large.  We have work to do in improving the lives of our people, let’s do it.  Our gratitude to Africa Leadership Magazine you are doing a wonderful job of speaking for Africa by Africans.  You remain a good example of what young people in Africa can do in the world, best wishes in keeping the African dream alive.

          Thanks for your very kind attention!