Wednesday, July 10, 2019

KATIBU MKUU JUMUIYA YA MADOLA AFANYA MAZUNGUMZO NA PROF. KABUDI

Katibu Mkuu wa jumuiya ya Madola Bi. Patricia Scotland akisalimiana na waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) katika ofisi za Sekretarieti za jumuiya hiyo zilizopo London,Uingereza. July 9, 2019.
Katibu Mkuu wa jumuiya ya Madola Bi. Patricia Scotland akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) katika ofisi za Sekretarieti za jumuiya hiyo zilizopo London,Uingereza. July 9, 2019.
Katibu Mkuu wa jumuiya ya Madola Bi. Patricia Scotland akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) katika ofisi za Sekretarieti za jumuiya hiyo zilizopo London,Uingereza. July 9, 2019.
 Katibu Mkuu wa jumuiya ya Madola Bi. Patricia Scotland (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) alipomtembelea katika ofisi za Sekretarieti za jumuiya hiyo zilizopo London,Uingereza. Kulia ni Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza Dkt. Asha-Rose Migiro. July 9, 2019.




No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.