Tuesday, February 21, 2023

MAANDALIZI YA MKUTANO WA KAWAIDA WA 43 WA BARAZA LA MAWAZIRI WA EAC YAENDELEA BUJUMBURA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine akipokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Mhe. Dkt. Jilly Maleko mara baada ya kuwasili Ubalozini hapo kwa ajili ya kupokea taarifa ya nchi kuhusu  maandalizi ya Mkutano wa 43 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaotarajiwa kufanyika jijini Bujumbura tarehe 23 Februari 2023. Balozi Sokoine ataongoza Ujumbe wa Tanzania kwenye Mkutano wa Makatibu Wakuu wa Jumuiya hiyo utakaofanyika tarehe 22 Februari 2022
Mhe. Balozi Maleko akimkaribisha Ubalozini, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Amina Khamis Shaaban
B
Balozi Sokoine akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Ubalozi wa Tanzania nchini Burundi huku Balozi Dkt. Maleko akishuhudia.
 
Balozi Sokoine akimsikiliza Kiongozi wa Ujumbe wa Tanzania kweynye Mkutano wa EAC, Ngazi ya Wataalam, Balozi Stephen Mbundi wakati akitoa taarifa kuhusu maandalizi ya agenda mbalimbali za mkutano zilizojadiliwa katika kikao cha wataalam kilichofanyika kuanzaia tarehe 19 hadi 21 Februari 2023.


Sehemu ya viongozi watakaoshiriki Mkutano wa Makatibu Wakuu wakiwemo Naibu Makatibu Wakuu na Naibu Gavana kikao cha kupokea taarifa ya nchi ya maandalizi ya Mkutano wa 43 wa Baraza la Mawaziri wa EAC kutoka kwa wataalam
Sehemu nyingine ya viongozi kwenye kikao hicho
 
Sehemu ya Wakurugenzi kutoka Wizara mbalimbali walioshiriki mkutano wa wataalam wakiwa katika kikao na kiongozi wa ujumbe wa Tanzania kwenye mkutano wa makatibu wakuu utakaofanyika tarehe 22 Februari 2023
Kikao kikiendelea


Sehemu nyingine ya Wakurugenzi
Kikao kikiendelea

Kikao kikiendelea

Kikao kikiendelea

Wajumbe wakiwa katika kikao

Kikao kikiendelea









No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.