Monday, July 8, 2024

MKUTANO WA MAWAZIRI WA EAC WAMALIZIKA ZANZIBAR

 














 

 


 

Mkutano wa faragha wa Mawaziri wa Mambo ya Nje na Mawaziri wanashughulikia masuala ya Afrika Mashariki ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika Zanzibar tarehe 6-8 Julai,2024 wamalizika.

Mkutano huo ulikuwa chini ya uenyekiti wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba ulihudhuriwa na Mawaziri kutoka nchi za Burundi, DRC, Kenya, Rwanda, Somalia, Sudan Kusini, Uganda na mwenyeji Tanzania

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.