Tuesday, June 11, 2019

ZOEZI LA KUPIMA UTAYARI KUKABILI MAGONJWA YA MLIPUKO MIPAKANI LA ZINDULIWA

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalim (katikati), Waziri wa Viwanda wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Adan Abdulla Mohammed pamoja na Mhe. Cristophe Bazivambo kwa pamoja wakionyesha vitabu vinavyoelezea Umuhimu wa kufungua zoezi la Kupima Utayari wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Kukabiliana na magonjwa ya mlipuko mipakani. Uzinduzi huo umefanyika Namanga Mpakani mwa Tanzania na Kenya tarehe 11 Juni, 2019  
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalim akihutubia kwenye ufunguzi wa zoezi la Kupima Utayari wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Kukabiliana na magonjwa ya mlipuko mipakani, ambapo amesisitiza umuhimu wa Sekta za Afya kutumia Dhana ya Afya moja, wakati  akifungua zoezi hilo.  

 

Sehemu ya Viongozi kutoka Upande wa Kenya wakimsikili kwa makini Mhe. Mwalim
Waziri wa Viwanda wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Adan Abdulla Mohammed naye akihutubia kwenye ufunguzi huo. 


 Juu na chini ni wageni walio hudhuria ufunguzi wa zoezi hilo

Mhe. Mwalim, Mhe. Mohammed pamoja na Mhe. Ulega wakitiza na kupama maelezo kutoka kwa mtaalamu wa kukabiliana na Magonjwa ya Mlipuko


 Juu na Chini Mawaziri hao walitembelea vituo vya Kutolea Huduma kwa pamoja (OSBP) vilivyopo Namanga mpakani mwa Tanzania na Kenya.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.