Tuesday, June 18, 2024

TANZANIA YAZINDUA MKAKATI WA KUJENGA MAJENGO YA BALOZI ZAKE NA VITEGA UCHUMI KUONGEZA MAPATO NCHINI


Mgeni rasmi ambaye ni Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Mhe. Musalia Mudavadi kwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu), Mhe. Deo Ndejembi, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Vita Kawawa  na wajumbe wengine wakizindua rasmi ujenzi wa Majengo Pacha ya ghorofa 22 kila moja yatakayojengwa jijini Nairobi, Kenya na kutumika kama Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini humo na Kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza mapato na fedha za kigeni nchini.
Mgeni rasmi ambaye ni Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Mhe. Musalia Mudavadi akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa ujenzi wa Majengo Pacha ya ghorofa 22 kila moja yatakayojengwa jijini Nairobi, Kenya na kutumika kama Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini humo na Kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza mapato na fedha za kigeni nchini.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa ujenzi wa Majengo Pacha ya ghorofa 22 kila moja yatakayojengwa jijini Nairobi, Kenya na kutumika kama Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini humo na Kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza mapato na fedha za kigeni nchini.

Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Mhe. Dkt. Bernard Kibesse akizungumza wakati wa wakati wa hafla ya uzinduzi rasmi wa ujenzi wa Majengo Pacha ya ghorofa 22 kila moja yatakayojengwa jijini Nairobi, Kenya na kutumika kama Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini humo na Kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza mapato na fedha za kigeni nchini.
Mhe. Makamba akiteta jambo na Mhe. Mudavadi wakati wa hafla ya wakati wa uzinduzi rasmi wa ujenzi wa Majengo Pacha ya ghorofa 22 kila moja yatakayojengwa jijini Nairobi, Kenya na kutumika kama Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini humo na Kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza mapato na fedha za kigeni nchini.

Mhe. Mudavadi akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mhe. Vita Kawawa wakati wa hafla ya uzinduzi rasmi wa ujenzi wa Majengo Pacha ya ghorofa 22 kila moja yatakayojengwa jijini Nairobi, Kenya na kutumika kama Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini humo na Kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza mapato na fedha za kigeni nchini.Wengine wanaoshuhudia ni Wajumbe wa Kamati hiyo, Mhe. Fatma Toufiq (kushoto kwa Mhe. Kawawa) na Mhe. Felista Njau (kulia kwa Mhe. Kawawa).

Viongozi kutoka Kenya na Tanzania pamoja na wageni waalikwa wakifuatilia hafla ya uzinduzi rasmi wa ujenzi wa Majengo Pacha ya ghorofa 22 kila moja yatakayojengwa jijini Nairobi, Kenya na kutumika kama Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini humo na Kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza mapato na fedha za kigeni nchini. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mindi Kasiga

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.