| Sehemu ya Wakurugenzi na Watumishi wa Wizara wakimsikiliza Waziri Mahiga (hayupo pichani) |
| Sehemu nyingine ya Wakuu wa Idara na Vitengo wakifuatilia kikao |
| Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Adolf Mkenda akiwasalimia Watumishi wa Wizara (hawapo pichani) mara baada ya kukaribishwa rasmi Wizarani. |
| Watumishi wa Wizara wakimsikiliza Katibu Mkuu (hayupo pichani) |
| Sehemu nyingine ya Watumishi wa Wizara |
| Watumishi wengine wa Wizara |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.