Monday, May 13, 2013

Mhe. Membe akutana kwa mazungumzo na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) (katikati) akizungumza na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini (hawapo pichani) kuhusu masuala mbalimbali ya kikanda na kitaifa. Katika Mkutano huo Mhe. Membe alifafanua juu ya hali ya kisiasa nchini Madagascar na Zimbabwe na kutoa taarifa za kuwasili kwa vikosi vya kulinda amani vya Tanzania huko Mashariki mwa DRC. Kuhusu masuala ya kitaifa Mhe. Membe alilitolea ufafanuzi suala la shambulio la bomu lilitokea hivi karibuni huko Arusha ambapo alisema kuwa Serikali inaendelea na uchunguzi  na kwa ujumla hali nchini ni tulivu. Wengine katika picha ni Bw. John Haule (kushoto), Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mhe.Khalfan  Juma Mpango (kulia), Mkuu wa Mabalozi na Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo hapa nchini. Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Karimjee, Jijini Dar es Salaam tarehe 13 Mei, 2013.

Baadhi ya Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini na Wakurugenzi wa Idara mbalimbali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa  wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani)

Mabalozi wengine wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani)

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajab Gamaha (wa pili kushoto) kwa pamoja na baadhi ya Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini wakimsikiliza mhe. Waziri Membe (hayupo pichani) wakati alipozungumza na Mabalozi hao.


Mabalozi wengine na viongozi mbalimbali wa Wizara ya Mambo ya Nje wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani)

Sehemu nyingine ya Mabalozi wakati Mhe. Membe alipozungumza nao.

Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Mohammed Maharage (kushoto) akimsikiliza Mhe. Waziri (hayupo pichani) alipozungumza na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.


Balozi Mpango akitoa neno la shukrani kwa niaba ya Mabalozi wenzake mara baada ya Mhe. Membe kumaliza mazungumzo nao.



Picha zaidi za mkutano huo wa Mhe. Membe na Mabalozi.

Mhe. Membe akiagana na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa nchini, Mhe. Filiberto Sebregondi mara baada ya mazungumzo na Mabalozi hao.

Mhe. Waziri Membe akisalimiana na Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Mhe. Balozi Abdulla Ibrahim Al-Sowaidi hapa nchini baada ya kumaliza mazungumzo.

Mhe. Membe akiteta jambo na Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa hapa nchini, Mhe. Francisco Montecillo Padilla mara baada ya kuzungumza na Mabalozi hao.

Mhe. Membe akiasalimiana na Balozi wa Marekani hapa nchini Mhe. Alfonso Lenhardt aliyekuwepo wakati wa mkutano huo.

Balozi wa Rwanda hapa nchini akifuatana na Mhe. Membe alipomaliza mazungumzo na Mabalozi hao.

Mhe. Membe akizungumza na Waandishii wa Vyombo mbalimbali vya Habari juu ya mazungumzo yake  na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hao hapa nchini.

Mhe.Membe amtembelea Balozi wa Vatican nchini kumpa pole

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akisalimiana na Mhe. Francisco Montecillo Padilla, Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa hapa nchini mara baada ya kuwasili Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumsalimia na kumpa pole kufuatia shambulio la bomu  lililotokea Jijini Arusha tarehe 5 Mei, 2013  na kupelekea watu watatu kufariki dunia na wengine zaidi ya 60 kujeruhiwa. Balozi Padilla alikuwa miongoni mwa wageni waalikwa  katika hafla ya ufunguzi rasmi wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Olasiti, Jimbo Kuu la Arusha wakati tukio hilo linatokea.

Mhe. Balozi Padilla akiwa katika  mazungumzo na Mhe. Membe kuhusu tukio hilo  ambapo pamoja na mambo mengine alisema kuwa anaamini suala hilo litapita na wahusika kupatikana na kuchukuliwa hatua za kisheria.
Mhe. Membe akiagana na Mhe. Balozi Padilla mara baada ya kuzungumza naye.

Hon. Membe hands out Credentials to new Honorary Consul of Botswana to Tanzania


Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation hands out Credentials to new Honorary Consul Eng. Emmanuel D. Ole Naiko of Botswana to the United Republic of Tanzania at his office today in Dar es Salaam. 

Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation in conversation with new Honorary Consul Eng. Emmanuel D. Ole Naiko representing Botswana to the United Republic of Tanzania.  Also in the meeting is his wife, Mrs. Hafsa Ole Naiko.

Permanent Secretary Mr. John M. Haule (left) was also present during the occasion. 

Deputy Permanent Secretary Ambassador Rajabu Gamaha (left) and Mr. Andrew Mwandembwa, Assistant Chief of Protocol were also present during the meeting.  

Hon. Bernard K. Membe (MP) (right), in a conversation with new Honorary Consul of Botswana to Tanzania and his family.

Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation is in the group photo with new Honorary Consul Eng. Emmanuel D. Ole Naiko and his family during their meeting with the Minister today in Dar es Salaam.



All Photos by Tagie Daisy Mwakawago  



Sunday, May 12, 2013

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI: UTEUZI WA MABALOZI


220px-Coat of arms of Tanzania.svg f1f71


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amefanya uteuzi wa Mabalozi Wapya kujaza nafasi zilizo wazi na kuanzisha Ofisi za Ubalozi nchini Uholanzi na Comoro.  Aidha Mheshimiwa Rais amefanya uhamisho wa Balozi kutoka kwenye kituo kimoja.

Mabalozi wateule na aliyehamishwa kituo ni kama ifuatavyo:-

Bw. Wilson M. K. Masilingi;
Ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uholanzi. Bw. Masilingi ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa, Arusha, (AICC) na aliwahi kuwa Mbunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kati ya mwaka 1995 – 2010.  Aidha, katika kipindi cha mwaka 1998 – 2005 alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais mwenye dhamana ya masuala ya Utawala Bora.

Bw. Chabaka Faraji Ali Kilumanga, ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Comoro. Hadi uteuzi huu unafanyika, Bw. Kilumanga alikuwa Balozi Mdogo katika ofisi ya Ubalozi nchini Uingereza.

Bw. Modest Jonathan Mero, ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania kwenye Ofisi za Umoja wa Mataifa, Geneva.  Kabla ya uteuzi Bw. Mero alikuwa Afisa wa Mambo ya Nje Mwandamizi kwenye Ubalozi wa Tanzania katika Ofisi za Umoja wa Mataifa, New York.

Kadhalika, Mheshimiwa Rais amemhamisha Balozi Philip Sang’ka Marmo kutoka Ubalozi wa Jamhuri ya Watu wa China na kwenda Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani.
 


------MWISH0-----

(John M. Haule)
KATIBU MKUU,
WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA,
DAR ES SALAAM.

12 MEI, 2013
 


Saturday, May 11, 2013

JOINT COMMUNIQUÄ– OF THE SADC TROIKA SUMMIT HELD IN SOUTH AFRICA





SUMMIT OF THE SADC TROIKA OF THE ORGAN ON POLITICS, DEFENCE AND SECURITY COOPERATION
CAPE TOWN, SOUTH AFRICA
COMMUNIQUÄ–
The Organ Troika Summit of the Heads of State and Government of the Southern Africa Development Community (SADC) was held in Cape Town, South Africa on 10 May 2013. Summit was attended by the following Heads of State and Government and their representatives: South Africa H.E. President Jacob Gedleyihlekisa Zuma United Republic  of Tanzania H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete Namibia Hon. Netumbo Nandi-Ndaitwah (Minister of Foreign  Affairs)  Summit was chaired by H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania and the Chairperson of the Organ on Politics, Defence and Security Cooperation. Summit was also attended by the Executive Secretary of SADC, Dr. Tomaz Augusto Salomão. Summit considered the political and security situation in the region, in particular the latest developments in the Democratic Republic of Congo, the Republic of Madagascar and the Republic of Zimbabwe. On Democratic Republic of Congo Summit received a progress report on the deployment of the Intervention Brigade in the Eastern DRC. Summit welcomed the adoption of the United Nations Security Council (UNSC) Resolution 2098 of 28 March, 2013 which provides the mandate for the deployment of the Intervention Brigade (IB) in the Eastern DRC under the auspices of MONUSCO. Summit noted with appreciation the continued collaboration between SADC and the ICGLR, including the African Union and the UN on the deployment in the Eastern DRC.  Summit urged the Government of the Democratic Republic of Congo and the M23 to continue with the Kampala Talks with the view to concluding them expeditiously, to allow the people of the Eastern DRC to live in peace. Summit reiterated its call for urgent attention to be given to the grave humanitarian situation in the Eastern DRC. On Madagascar  Summit received a briefing from H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania and Chairperson of the Organ on Politics, Defence and Security Cooperation on the recent political developments in Madagascar, particularly the outcome of his meeting with H.E. Andry Rajoelina, President of the Transition of the Republic of Madagascar on 3 and 4 May 2013 in Dar es Salaam, Tanzania. Summit also received a briefing from H.E. Joaquim Chissano, former President of the Republic of Mozambique and the SADC Mediator on the political process in Madagascar, which highlighted recent political developments particularly preparations for the upcoming elections. Summit commended: H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania and the Chairperson of the Organ on Politics, Defence and Security Cooperation for his efforts in finding a lasting solution to the Madagascar political crisis; and H.E. Joaquim Chissano, former President of the Republic of Mozambique and the SADC Mediator in Madagascar for his efforts towards restoring constitutional normalcy in the country. 7.4 Summit expressed grave concern on the decision of the Special Electoral Court to endorse illegitimate candidatures for the forthcoming Presidential elections in violation of the Malagasy Constitution and the Electoral Law. Summit also expressed its displeasure on the decision of H.E. Rajoelina to renege on his earlier undertaking not to stand in the forthcoming Presidential election as reflected in the SADC Dar es Salaam Declaration of 16 January 2013. Summit further expressed its disappointment with the unwise decision of Mouvance Ravalomanana to present Madam Lalao Ravalomanana, former First Lady of the Republic of Madagascar as a Presidential candidate. Summit urged H.E. Andry Rajoelina, former President Didier Ratsiraka and Madam Lalao Ravalomanana to consider withdrawing their candidatures to ensure peaceful conduct of elections and stability in Madagascar. 7.8 Summit urged all parties in Madagascar to respect the Election Calendar as issued by the Independent Electoral Commission (CENI-T) and endorsed by the United Nations. 7.9 In view of the recent development in Madagascar, Summit invites the UN to supervise the elections in Madagascar in collaboration with the AU.  7.10 Summit committed to continue to be seized with the developments in Madagascar. On Zimbabwe 8.1 Summit commended H.E. Jacob Gedleyihlekisa Zuma, President of the Republic of South Africa and the SADC Facilitator on Zimbabwe Political Dialogue for his efforts towards the full implementation of the Global Political Agreement (GPA) in Zimbabwe. 8.2 Summit also commended the people of Zimbabwe for holding a credible, free and fair constitutional referendum on 16 March 2013. 8.3 Summit urged the parties to finalise the outstanding issues in the implementation of the GPA and preparations for holding free and fair elections in Zimbabwe. Summit expressed gratitude to the Government and the people of the Republic of South Africa for the warm hospitality and excellent facilities provided during the meeting. Done in Cape Town  Republic of South Africa 10 May 2013


Kikao cha SADC nchini Afrika Kusini


Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa SADC (watatu kushoto), akiongoza Kikao Maalum cha Kamati hiyo kilichofanyika jana, jijini Cape Town, Afrika Kusini.  Wengine pichani ni wajumbe wa Kamati hiyo akiwemo mwenyeji Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini (kulia), Bibi Netumbo Nandi-Ndaiwa (kushoto), Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Namibia, na Dkt. Tomaz Salomao (wa pili kushoto), Katibu Mkuu wa SADC.  (Picha na Freddy Maro wa Ikulu)

Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazunguzo mafupi na mwenyeji Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini wakati wakitoka katika ukumbi wa hoteli ya Westin, jijini Cape Town, Afrika Kusini. (Picha na Freddy Maro wa Ikulu)





Thursday, May 9, 2013

Annual Meeting of the Workers Council of the Ministry of Foreign Affairs


Ms. Naomi Zegezege, Secretary of the Workers' Council of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation gives her opening remarks before welcoming the Chairman of the Workers' Council, Mr. John Haule, Permanent Secretary of the Ministry of Foreign Affairs.  The Meeting was held today at Karimjee Hall in Dar es Salaam.

Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP) (2nd left), Deputy Minister for Foreign Affairs and International Co-operation listens to Ms. Zegezege, Secretary of the Workers' Council of the Ministry of Foreign Affairs.   Others in the photo are Mr. John M. Haule (left), Permanent Secretary of the Ministry of Foreign Affairs, who is also a Chairman of the Workers' Council, Ambassador Rajabu Gamaha (2nd right), Deputy Permanent Secretary and Mr. Ali Kiwenge, General Secretary of the Tanzania Union of Government and Health Employees (TUGHE). 

Mr. John Haule, Permanent Secretary and Chairman of the Worker's Council gives few remarks before welcoming Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP), Deputy Minister of Foreign Affairs who was a Guest of Honor during the Meeting held today at Karimjee Hall in Dar es Salaam. 

The Guest of Honor, Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP) (center) and other dignitaries in the high table took a moment of respect to commemorate the two employees of the Ministry of Foreign Affairs  who passed away earlier this year.   

The Guest of Honor, Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP) (2nd left), Deputy Minister for Foreign Affairs and International Co-operation gives his opening remarks during the Workers' Council Annual Meeting of the Ministry of Foreign Affairs held today at Karimjee Hall in Dar es Salaam. 

Ms. Ngusekela Nyerere and Mr. Hangi Mgaka, Members of Secretariat taking notes during the Meeting. 

Ms. Amisa Mwakawago (right) and Ms. Gloria Mboya (left), Assistant Directors in the Department of Administration, Human Resources and Management in the Ministry of Foreign Affairs.  

Some of the Members of the Workers' Council listening to the Deputy Minister's opening remarks. 

More Members. 

Directors in the Ministry of Foreign Affairs also were present during the Workers' Council Meeting.  Right is Mr. Mndeme Dush-hood, Director of Administration, Human Resources and Management in the Ministry, Ambassador Mbelwa Kairuki (2nd right), Director of the Department of Asia and Australasia, Ambassador Bertha Semu-Somi (2nd left) and Director of Diaspora.   Others are Ambassador Dora Msechu (left), Director of the Department Europe and Americas and Ambassador Irene Kasyanju (behind right), Director of the Legal Affairs Unit in the Ministry of Foreign Affairs and Internatioal Co-operation.  

Ambassador Vincent Kibwana, Director of the Department of Africa in the Ministry of Foreign Affairs gives vote of thanks on behalf of the Members of the Workers' Council to the Guest of Honor. 

A group photo of the Deputy Minister Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP) (7th left) together with the Members of the Workers' Council of the Ministry of Foreign Affairs. 

Ambassador Irene Kasyanju (left) in a photo with Mr. James Lugaganya, Director of Policy and Planning in the Ministry of Foreign Affairs. 

Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP), Deputy Minister for Foreign Affairs and International Co-operation speaks to the members of media after the opening of the Ministry Workers' Council held today at Karimjee Hall in Dar es Salaam. 

Wednesday, May 8, 2013

JK Awaaga Wanajeshi Wanaokwenda Kulinda Amani DRC


Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi bendera kiongozi wa batalioni ya  wanajeshi wa JWTZ wanaokwenda  kujiunga na  jeshi la Umoja wa Mataifa la kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, katika sherehe za kuwaaga zilizofanyika Msangani, Kibaha, Mkoa wa Pwani leo Mei 8, 2013.  Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Shamsi Vuai Nahodha na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange wanashuhudia.

Monday, May 6, 2013

A Congratulatory Message to the re-elected Prime Minister of Malaysia


Jakaya Kikwete - Doug Pitt Named Goodwill Ambassador Of Tanzania Hosted by President Kikwete

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a Congratulatory Message to His Excellency Najib Tun Razak, upon being re-elected as the Prime Minister of Malaysia on 6th of May, 2013.  

The message reads as follows:

"His Excellency Najib Tun Razak,
Prime Minister,
Kuala Lumpur,
MALAYSIA.


Your Excellency,

It is with immense pleasure that I take this opportunity to convey to you, on behalf of the Government and people of the United Republic of Tanzania, and indeed on my own behalf warm greetings and congratulations upon your being re - elected as the Prime Minister of Malaysia.  

We in Tanzania are confident that under your able leadership the Government and people of the Malaysia will continue to score remarkable achievements in the years to come.
I take this opportunity to reaffirm my country’s commitment and desire to continue working with you and your Government in further strengthening the existing ties of friendship and cooperation between our two countries and peoples.

Please accept, Your Excellency, my best wishes for your personal good health and peace and prosperity for the people of Malaysia.

Jakaya Mrisho Kikwete
PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA’’




Issued by: 


Ministry of Foreign Affairs and International Co-

operation,


Dar es Salaam.

6th May, 2013.




Rais Kikwete akatiza ziara ya Kuwait