Tuesday, June 30, 2015

Press release




H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a condolences message to H. H. Sheikh Sabah Al Ahmad Al Sabah, Amir of the State of Kuwait following the tragedy death of 27 innocent Kuwait nationals and hundreds who sustained injuries caused by terror attack  which occurred on 26th June, 2015. The message reads as follows;



“His Highness Sheikh Sabah al-Ahmad al-Jabir al-Sabah,

Amir of the State of Kuwait,

Kuwait City.



Your Highness,



I have learnt with deep sorrow and sadness the tragedy unexpected demise of 27 innocent Kuwait nationals and left hundreds who sustained injuries caused by terror attack on a Shia mosque which occurred on 26th June, 2015.



On behalf of the Government and  the People of the United Republic of Tanzania I wish to convey to you, and through you, to the people of the State of Kuwait, particularly the families of the bereaved our heartfelt condolence  and deep sympathies.



The Government of the United Republic of Tanzania condemns in the strongest terms the terror attack which took place at one of Kuwait’s oldest Shia mosques during midday prayers.

 

In this time of grief, our heartfelt and prayers are with the families of the victims and the people of the State of Kuwait in general.



Please accept, Your Highness, the assurance of my highest consideration.





Issued by: Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, Dar es Salaam. 30th June, 2015



BALOZI WA TANZANIA NCHINI KENYA AKUTANA NA RAIS DK.SHEIN LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Kenya Mhe,John Michael Haule alipofika Kujitambulisha Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na  Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Kenya Mhe,John Michael Haule alipofika Kujitambulisha Ikulu Mjini Zanzibar leo. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Kenya Mhe,John Michael Haule baada ya mazungumzo yao alipofika Kujitambulisha Ikulu Mjini Zanzibar leo.

Friday, June 26, 2015

Rais Kikwete atumia fursa ya maadhimisho ya Miaka miwili ya Papa Francis kuwa madarakani kuwaaga Maaskofu



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa Hotuba yake kwenye maadhimisho ya Siku ya kitaifa ya Taifa la Vatican pamoja na kuadhimisha miaka miwili ya Baba Mtakatifu, Papa Franci kuwa madaraki kwenye Ubalozi wa Vatican hapa nchini.  Rais Kikwete ameipongeza Vatican kwa kuwa na mahusiano mazuri na Tanzania, pia alitumia nafasi hiyo kuwaaga Maaskofu wote wa Tanzania walio kuwepo kwenye maadhimishi hayo ikiwa ni sherehe yake ya mwisho akiwa madarakani. maadhimisho hayo yalifanyika katika makazi ya Balozi wa Vatican hapa nchini Askofu Padilla tarehe 26.06.2015, na kuhudhuriwa na Waziri wa Mambo ya nje Bernard Membe (Mb.), Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuber Bin Ally na Muadhama Polycarp Kardinal Pengo, Mabalozi na maaskofu wa kanisa katoliki hapa nchini.  
Rais Kikwete akiendelea kuhutubia huku Waziri Membe na Askofu Padilla (Kushoto) wakifuatilia kwa makini hotuba hiyo.
Balozi wa Vatican Askofu Padilla naye akitoa hotuba yake katika maadhimisho hayo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Kamilius Membe (Mb.) akitoa salamu za pongezi ya maadhimisho ya miaka miwili ya Baba Mtakatifu, Papa Francis wakati wa maadhimisho hayo katika Ubalozi wa Vatican uliopo hapa nchini  
Viongozi mbalimbali wa Kidini, Mabalozi na Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa nchini wakisikiliza kwa makini Hotuba zilizo kuwa zikitolewa na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Mwakilishi wa Baba Mtakatifu nchini Askofu Francisco Montecillo Padilla na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (Mb.) hawapo pichani
Rais Kikwete(Kulia) akifanya akigonganisha Glasi na Muadhama Polycarp Kardinal Pengo (Wa kwanza kushoto) na Balozi wa Vatican Askofu Montecillo Padilla kama ishara ya kumtakia Baba Mtakatifu Afya njema na miasha marefu wakati wa maadhimisho hayo.

juu na chini: Rais Kikwete akigonganisha Glasi na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa nchini na Waziri Membe.
Waziri Membe akimtambulisha Kaimu Mkuu Mufti wa Tanzania Sheikh Ally (Kulia) kwa Balozi wa Vatican nchini Askofu Padilla
Waziri Membe (Katikati) akimtambulisha Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuber Bin Ally kwa Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. Dianna Melrose 
Rais Kikwete (Wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Kamilius Membe (Wa kwanza kulia), Balozi wa Vatican nchini Askofu Padilla (Wa kwanza Kushoto) na Kaimu Mkuu Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuber Bin Ally 
Rais Kikwete akiagana na Maaskofu mara baada ya kumalizika kwa maadhimisho hiyo  
Waziri Membe (Kushoto) akizungumza jambo na Balozi Askofu Padilla
Waziri Membe naye akiagana na Maaskofu mara baada ya kumalizika kwa Maadhimisho hayo.

Picha na Reginald Philip






Wednesday, June 24, 2015

Katibu Mkuu Balozi Mulamula, Balozi Manongi na Balozi Gamaha wang'ara Nishani za Utumishi

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtunuku Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Liberata Mulamula  
Nishani ya Jamhuri ya Muungano Daraja la Kwanza. Hafla hiyo ilifanyika IKULU, Dar es Salaam tarehe 23 Juni, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza baada ya kumvisha Nishani
 ya Jamhuri ya Muungano Daraja la kwanza Balozi Liberata Mulamula
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtunuku Balozi Tuvako Nathaniel Manongi 
Nishani ya Jamhuri ya Muungano Daraja la Kwanza. 
Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akipeana mkono na Mhe. Tuvako Nathaniel Manongi 
 baada ya kumtunuku Nishani ya Jamhuri ya Muungano Daraja la Kwanza 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimvisha Nishani
 ya Jamhuri ya Muungano Daraja la Pili, Balozi wa Tanzania nchini Burundi Balozi Rajab Hassan Gamaha.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza baada ya kumvisha Nishani
 ya Jamhuri ya Muungano Daraja la Pili Balozi Rajabu Hassan Gamaha  
Wakuu wa Vyombo vya Usalama Nchini nao wakishuhudia utolewaji wa nishani za Jamhuri ya Muungano
Mabalozi mbalimbali wanao ziwakilisha nchini zao nao wkiwemo katika ukumbi kwakushuhudia utolewaji wa Nishani hizo  
Kikundi cha Bendi ya Polisi kikitoa burudani kwa wageni waalikwa wakati wa utolewaji wa nishani  
Kaimu Mkurugenzi Chuo cha Diplomasia Dkt. Bernard Archiula (kushoto) akifuatilia kwa makini utolewaji wa nishani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete akiwa amesimama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa mara baada ya kumaliza utoaji wa Nishani.
Watunukiwa  Nishani, Wakuu wa vyombo vya Usalama na wageni waalikwa wote wakiwa wamesimama kwa pamoja wakiimba wimbo wa Taifa
Balozi Mulamula akipongezwa na Dkt. Salim Ahmedi Salim kwa kutunukiwa Nishani ya Jamhuri ya Muungano Daraja la kwanza 
Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Mhe. Ali Hassan Mwinyi akimpongeza Balozi Mulamula kwa kupokea Nishani ya Jamhuri ya muungano Daraja la kwanza.
Rais Mstaafu Mwinyi akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Mulamula pamoja na ndugu waliokuja kumsindikiza wakati wa upokeaji wa Nishani  
Balozi Mulamula (Wa pili kulia), Balozi Manongi wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi waandamizi wa vyombo vya usalama nchini.
Balozi Mulamula (Wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wake Balozi Simba Yahya (Wa pili kushoto), Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Balozi Mbelwa Kairuki (Wa kwanza kushoto mstari wa nyuma), Mkurugenzi Idara ya Ugavi Bw. Lucas Suka (Wa kwanza kulia mstari wa nyuma), Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Bw. Paul Kabale (Wa kwanza kulia), Kaimu Mkurugenzi Idara ya Utawala, Bi. Glory Mboya (Wa kwanza kushoto) na Mkurugenzi Msaidizi, Bi. Amisa Mwakawago (Wa pili kutoka kulia).

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue na Jaji Mkuu Mhe. Mohamed Chande Othman wakiwa katika picha ya pamoja na watunukiwa wa nishani za Jamhuri ya Muungano Daraja la Kwanza, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula (wa pili kulia), Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Tuvako Manongi (Kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Abbas Kandoro (Wa tatu kulia)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassa Mwinyi, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Jaji Mkuu, Mhe. Mohamed Chande Othman wakiwa katika picha ya pamoja na watunukiwa wa nishani za Jamhuri ya Muungano daraja la kwanza, Utumishi wa muda mrefu na maadili mema Daraja la Kwanza na Utumishi wa muda mrefu na maadili mema Daraja la Pili na Ushupavu Jumanne Juni 23, 2015 katika ukumbi mpya wa mikutano wa Ikulu Jijini Dar es Salaam. 


Picha na Reginald Philip