Friday, June 19, 2015

Balozi Mulamula akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Msumbiji nchini

Katibu Mkuu wa  Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,  Balozi Liberata Mulamula akizungumza na Balozi wa Msumbiji nchini, Mhe. Vicente Veloso  alipofika Wizarani kwa ajili ya kuzungumza na  Balozi Mulamula kuhusu namna bora ya kuiamarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Msumbiji  na pia kumpongeza kwa kuteuliwa na Rais kuwa Katibu Mkuu.
Mkutano ukiendelea huku wajumbe kutoka pande zote mbili wakisikiliza kwa makini. Wa pili kulia ni Bi. Zuhura Bundala, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Bi. Talha Mohammed (kulia), Afisa Mambo ya Nje.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.