Thursday, June 18, 2015

Balozi Mulamula akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Denmark nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,  Balozi Liberata Mulamula (kulia) akizungumza na Balozi wa Denmark nchini, Mhe. Johnny Flento alipokuja kumtembelea na kufanya mazungumzo yaliyojikita katika kuboresha mahusiano baina ya Tanzania na Denmark.
Balozi Flento akizungumza huku Balozi Mulamula akimsikiliza. 
Mazungumzo yakiendelea huku Afisa Mambo ya Nje, Bi. Tunsume Mwangolombe akinukuu.

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.