Tuesday, June 23, 2015

Balozi Simba apongezwa na iliyokuwa Idara yake kwa kuteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akipokea zawadi kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Bw. Elibariki Maleko katika hafla fupi ya kumpongeza Balozi Simba kwa kuteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo. Kabla ya uteuzi huo Balozi Simba alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati. Hafla hiyo ilifanya katika Hoteli ya Southernsun Jijini Dar es Salaam 
Balozi Simba akitoa neno la shukrani kwa Watumishi wa Idara ya Mashariki ya Kati wakati wa hafla hiyo.
 Balozi Simba  (wanne kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Idara ya Mashariki ya Kati. 


Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.