Thursday, June 4, 2015

Balozi wa China Nchini amtembelea Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akimsikiliza Balozi wa China hapa nchini, Mhe.Lu Youqing alipomtembelea Wizarani leo.
 Balozi wa China hapa nchini, Mhe.Lu akifurahia jambo na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nje Balozi Simba huku Maofisa wa Ubalozi wa China waliofuatana na Balozi wakifuatilia mazungumzo hayo.
 Balozi Simba akisisitiza jambo katika mkutano huo.
 Mkutano ukiendelea huku Maofisa wa Ubalozi wa China hapa nchini wakiendelea kunukuu kile kinachozungumzwa katika mkutano huo.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Asia na Australasia Bw.Nathaniel Kaaya (wa pili kushoto) akifuatilia mazungumzo hayo huku Maofisa Mambo ya Nje, Bw. Medard Ngaiza (wa kwanza kulia) pamoja na Bi.Ramla Hamis wakiendelea kunukuu kile kinachozungumzwa.
 Mkutano ukiendelea

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.