Saturday, August 30, 2014

Dkt. Jabiri Bakari, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa E- Government na Ujumbe wake wa mtembelea Balozi wetu Mdogo Dubai

Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akisalimiana na Dkt.Jabir Bakari, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa e-Government pamoja na ujumbe wake wakitokea New Delhi ambako walikuwa na mkutano na Wakala wenzao wa Serikali ya India. Katika mazungumzo yao, wamezungumzia jinsi ya kupata ufadhili kwaajili ya kujenga uwezo wa Wakala wa Serikali kwa njia ya Mtandao(e- Government)

Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akiongea na Dkt. Jabir Bakari, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa e-Government pamoja na ujumbe wake.
Picha ya pamoja


Friday, August 29, 2014

Mhe. Omar Mjenga akutana na Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai

Mhe. Mjenga akiwa katika picha ya pamoja na Bw. Lootah mbele ya baadhi ya miradi inayojengwa na Nakheel.
Mhe. Mjenga akifanya mazungumzo kati Mwenyekiti Lootah, katika ofisi za Nakheel.
Mhe. Omar Mjenga akutana na Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai (NAKHEEL) Bwa. Rashid Lootah.

Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai, mhe. Omar Mjenga, leo amemtembelea na kufanya mazungumzo na Bw. Rashid Lootah, Mwenyekiti wa Nakheel, Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai.

Katika mazungumzo yao, wamezungumzia ziara ya Mwenyekiti huyo pamoja na ujumbe wake kuitembelea Tanzania, itakayofanyika kuanzi tarehe 16-20 Septemba, ambako anatarajia pamoja na kuonana na baadhi viongozi wa Serikali, watafanya mazungumzo na Shirika la Nyumba la Taifa(NHC) yatakayowezesha kusainiwa makubaliano ya ushirikiano kwenye sekta ya nyumba kati ya mashirika hayo mawili.

Aidha, watapata fursa ya kukitembelea kituo cha uwekezaji - TIC ili kupata taarifa muhimu za uwekezaji.

Aidha, Mhe. Mjenga amemuomba Mwenyekiti huyo kufadhili mkutano wa Uwekezaji kwenye Sekta ya Utalii utakaofanyika Novemba hapa Dubai. Mkutano huo unaandaliwa na Ubalozi Mdogo kwa kushirikiana na Bodi ya Utalii ya Tanzania-TTB pamoja na Wizara ya Maliasili na Utalii.


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan afanya ziara nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bw. John Haule akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje kutoka Japan Mhe. Hirotaka Ishihara mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi ya siku tatu hapa nchini. Katika ziara hiyo Mhe. Ishihara amembatana na ujumbe wa Wafanyabiashara kutoka Japan.Anayeshuhudia katikati ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Bw. Nathaniel Kaaya.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. hAULE  pamoja na Naibu  Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan Mhe. Ishihara wakimsikiliza Balozi wa Japan nchini Mhe. Masaki Okada alipokuwa akiwaeleza jambo mara baada ya mapokezi ya Mhe. Ishihara.


Picha na Reginald Philip.

Thursday, August 28, 2014

Ziara ya Mhe. Naibu Waziri nchini Singapore

Mhe. Dkt.  Mahadhi Juma Maalim, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa kwenye mazungumzo na mwenyeji wa Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara Mhe. Kasiviswanathan Shanmugam, Waziri wa Mambo ya Nje wa Singapore. 
Mhe. Dkt.  Mahadhi Juma Maalim (wa pili kushoto), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa kwenye picha ya pamoja na Mhe. Kasiviswanathan Shanmugam, Waziri wa Mambo ya Nje wa Singapore (wa tatu kushoto), Balozi Mbelwa Kairuki (kulia) na Mhe. John Kijazi (kushoto), Balozi wa Tanzania nchini India na Singapore.  

Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (wa tatu kutoka kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mawaziri saba wa Mambo ya Nje wa Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara wakiwa na mwenyeji wa Mkutano huo Waziri wa Mambo ya Nje wa Singapore Mhe. Kasiviswanathan Shanmugam (wa tano kutoka kushoto). 
Mawaziri wa Mambo ya Nje wakiwa kwenye ziara kwenye mojawapo ya vyuo maalum nchini Singapore Institute of Technical Education ambapo Tanzania inashirikiana nacho kwenye kutoa mafunzo kwa walimu wa VETA. 

 ....Ufunguzi wa Ubalozi wa Heshima wa Tanzania nchini Singapore

Mhe. Dkt.  Mahadhi Juma Maalim, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (kushoto) akikata utepe kufungua rasmi ofisi za Ubalozi wa Heshima za Tanzania nchini Singapore akishirikiana na Mhe. S.S. Teo, Balozi wa Heshima. Kulia ni Mhe. John Kijazi, Balozi wa Tanzania nchini India ambaye pia anaiwakilisha Tanzania nchini Singapore.
Mhe. Dkt.  Mahadhi Juma Maalim (wa pili kushoto), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa kwenye picha ya pamoja na Mhe. John Kijazi (wa kwanza kushoto), Balozi wa Tanzania nchini India ambaye pia anaiwakilisha Tanzania nchini Singapore, Mhe.S.S. Teo, Balozi wa Heshima wa Tanzania nchini Singapore na Balozi Mbelwa Kairuki, Murugenzi wa Idara ya Asia na Australasia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa



Waziri Nagu asaini Kitabu cha Maombolezo Ubalozi wa Ireland

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Mhe. Dkt. Mary Nagu (Mb) akisalimiana na Balozi wa Ireland, Mhe. Fionnuala Gilsenan mara baada ya kuwasili kwenye Ubalozi wa nchi hiyo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Ireland, Hayati Albert Reynolds kilichotokea tarehe 21 Agosti, 2014.
 Mhe. Dkt.  Nagu (Mb) akisaini kitabu hicho cha maombolezo huku Balozi Gilsenan akishuhudia. 
Mhe. Dkt. Nagu na Balozi Gilsenan wakiwa katika mazungumzo.


Picha na Reginald Philip



President Shein meets new UNFPA Country Representative

President of the Revolutionary Government of Zanzibar, H.E. Dr. Ali Mohammed Shein welcomes Dr. Nathalia Kanem, a new Country Representative of United Nations Population Fund  (UNFPA) at the State House in Zanzibar when she paid a courtesy call  on Wednesday 27th August, 2014.
H.E. President Shein shake hands with the Director of Multilateral Cooperation Department in the Ministry of Foreign Affairs and International and Cooperation, Ammbassador Celestine Mushy during their visit with Dr. Kanem to the State House in Zanzibar.

H.E. President Shein welcomes one of  UNFPA Senior Officials who accompanied Dr. Kanem.
H.E President Shein in a discussion with Dr. Kanem and her team during their meeting at the State House in Zanzibar.
H.E. President Shein gives a present to Dr. Kanem during her visit to the State House in Zanzibar.


Wednesday, August 27, 2014

ANNOUNCEMENT FOR NOMINATION OF CANDIDATES FOR MEDIATION TEAM



ANNOUNCEMENT FOR NOMINATION OF CANDIDATES FOR THE DEPARTMENT OF POLITICAL AFFAIRS’ STANDBY TEAM OF MEDIATION AT THE UNITED NATIONS SECRETARIAT.
      
 We wish to inform the general public that the United Nations Secretariat, through the Department of Political Affairs (DPA) is seeking the nomination of candidates for the 2015 Standby Team of Mediation Experts to undertake mediation assignments effective from February 2015, for a one-year term. 

         The Team once duly constituted will be composed of eight experts whose work shall concentrate on the following thematic areas: (1) constitutional-making; (2) natural resources; (3) power-sharing arrangements; (4) gender and inclusion issues; (5) security arrangements; and (6) mediation and dialogue process design (three positions).   

         Please note that member of the Team are engaged on a full-time basis with the DPA, and deploy on short notice to the field in support of ongoing good offices and mediation work. In between deployments, the experts carry out research and analysis on mediation issues, as defined by DPA. 


          The deadline for submission of nomination (including the full name, title, contact details and resumes of the nominees) is 14 September 2014. Nomination of women with knowledge of French and Arabic languages is highly encouraged. Supplementary information about the Standby Team of Mediation may be retrieved from the following site: http://peacemaker.un.org/mediation-support/stand-by-team.  

Monday, August 25, 2014

Mhe. Mjenga akutana na uongozi wa banki ya UBL Dubai

Balozi Mdogo wa Tanzania-Dubai, Mhe. Omar Mjenga akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wakuu wa benki ya UBL ya Dubai, Bw. Shaikh Muhammad Liaque, Makamu wa Rais wa UBL (kushoto) na Bw. Syed Abbas Bokhari walipomtembelea ofisini kwake leo.
Wakiwa katika mazungumzo, ambapo Mhe. Mjenga amewaomba kuangalia uwezekano wa kuajiri Watanzania kwenye Benki hiyo kuja kufanya kazi Dubai. Mwaka jana, UBL ilifungua ofisi ya Dar es Salaam kuwa ofisi ya Kanda ya Afrika. Aidha,wamegusia suala la kufungua matawi zaidi Arusha, Moshi, Mwanza, Mbeyana Matawi mengine zaidi Jijini Dar es salaam. Hii yote itafanikisha kuongeza nafasi za ajira kwa Watanzania. 

Sunday, August 24, 2014

Mhe. Membe Amwakilisha Rais Kikwete Michezo ya Shule Afrika Mashariki

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akitoa hotuba kwa niaba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Uzinduzi wa mashindano ya michezo ya shule za Sekondari za Afrika Mashariki yajulikanayo kama (FEASSA) leo katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga (kulia) akifuatilia kwa makini hotuba kutoka kwa Waziri Membe. 
Viongozi mbalimbali wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa inatolewa na Waziri Membe kwaniaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard K. Membe akiwapungia mkono wanafunzi wa Shule za Sekondari kutoka Tanzania bara (hawapo pichani).
Wanafunzi wa Shule za Sekondari kutoka Tanzania ambao wanashiriki mashindano ya Shule za Sekondari za Afrika Mashariki wakiwa kwenye maandamano ya uzinduzi wa mashindano hayo leo katika Uwanja wa Taifa
Waziri Membe akipiga Mpira kuashiria kufunguliwa kwa mashindano hayo rasmi
Waziri Membe akisalimiana na wachezaji wa mpira wa miguu kutoka Shule ya Sekondari ya Makongo kabla ya kuanza mechi.
Waziri Membe akisalimiana pia na wachezaji wa shule ya Sekondari ya Mvara kutoka Uganda.
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa Stars ya Tanzania Martinus Ignatus 'Mart Nooij' (mwenye kofia) naye akiangalia kwa makini mechi kati ya timu ya Makongo Sekondari na Mvara (hawapo pichani) katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
Mechi ikiendelea
Waziri Membe akishangilia baada ya Makongo Sekondari kufunga goli.
Wachezaji wa Makongo Sekondari wakishangilia goli lao
Picha na Reginald Philip
 -------------------------------------------------------------------------------------------


Mhe. Membe Amwakilisha Rais Michezo ya Shule A. Mashariki



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), alimwakilisha Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufungua Mashindano ya 13 ya Shirikisho la Vyama vya Michezo vya Shule za Sekondari za Afrika Madhariki (FEASSSA), jijini Dar es Salaam Jana.


Mashindano hayo yanahisisha timu za michezo mbali mbali za Shule 205 kutoka Kenya, Uganda, Sudani Kusini, Rwanda, Burundi, Zanzibar na Tanzania Bara, zenye washiriki 3,000.

Mashindano yatarindima kwenye Uwanja wa Taifa kwa siku 10.
Katika hotuba iliyosomwa na Mhe. Membe, Rais Kikwete alisema michezo hiyo ni moja ya mikakati ya utekelezaji wa itifaki ya utengamano wa Afrika Mashariki.
"Aidha, michezo hii ni kiashiria tosha cha azma madhubuti tuliyo nayo ya kuimarisha Umoja wetu," alisema.

Alizitaka Nchi za Afrika Mashariki kushirikiana kuendeleza michezo, akashauri Mashindano hayo yashirikishe pia Shule za msingi.

"Kwa niaba ya Marais wa Nchi za Afrika Mashariki, na kwa niaba ya Nchi yangu, napenda kuwahakikishia kuwa serikali za nchi zote zitaendelea kuwainga mkono na kuwezesha michezo hii kufanyika kila mwaka," alisema.

"Hafla hiyo ilihudhuriwa pia na Mhe. Hawa Ghasia, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa); Mhe. Dkt. Shukururu Kawambwa, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi; Dkt. Abdullah Juma Abdullah, Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mawaziri kutoka Sudani Kusini na Uganda.









Friday, August 22, 2014

Press Release

H.E Michael D. Higgins, President of Ireland

PRESS RELEASE

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania, has sent a condolence message to H.E. Michael D. Higgins, President of the Republic of Ireland, following the demise of the former Irish Prime Minister H.E. Albert Reynolds on 21st August 2014.

 The message reads as follows:-

“H.E. Michael D. Higgins
  President of the Republic of Ireland
  Dublin
  IRELAND

Your Excellency,

I have received with great sorrow the sad news about the untimely passing away of the former Irish Prime Minister, the late H.E. Albert Reynolds.

I take this opportunity to extend my heartfelt condolences to you and through you to the family of the deceased, the Government and the people of Ireland during the whole mourning period.

The world will remember the late former Prime Minister Reynolds for his tireless efforts on peace keeping processes. It is my prayer that you remain strong during this difficult moment.

We pray to the Almighty God to rest his soul in eternal peace.
Please accept, Your Excellency, the assurances of my highest consideration”.

Issued by: The Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, Dar es Salaam

22nd August 2014



Wednesday, August 20, 2014

Press Release

H.E János Áder, President of Hungary 

PRESS RELEASE

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to His Excellency János Áder, President of Hungary on the occasion of the National Day of Hungary. The message reads as follows:-

“H.E. János Áder,
President of Hungary
Budapest
HUNGARY

Excellency and Dear Colleague,

On behalf of the people and Government of the United Republic of Tanzania and on my own behalf, I take this opportunity to convey my sincere congratulations to you, the Government and people of Hungary on the occasion of the National Day of your country.

This historic day offers us another opportunity to reaffirm our commitment to work together both bilaterally and multilaterally on matters of mutual interest and further enhance the relations between our two countries.

Please accept, Your Excellency, my best wishes for your continued good health and prosperity of the people of Hungary”.


Issued by the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, Dar es Salaam

20th August 2014


Tuesday, August 19, 2014

Africa Riled for Forgetting Nyerere

The Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Hon. Bernard K. Membe (MP) exchanging views with other Ministers including the Namibian Foreign Minister, Hon. Netumbo Nandi-Ndaitwah (second right) during the  Southern African Development Community (SADC) conference held in Zimbabwe of recent. 

Africa Riled for Forgetting Nyerere

The new generation of African leaders has been criticized for overlooking the contribution of Mwalimu Julius Nyerere,and other founding fathers, to the liberation of the continent.

The new Chairman of the Southern African Development Community (SADC), President Robert Mugabe, told the 34th Summit of the organization, that the region and Africa owed their success to  Mwalimu.

Speaking after taking over the chairmanship from President Arthur Mutharika of Malawi, Mr. Mugabe, whose liberation movement was hosted in Tanzania, lamented that little had been done to honour Mwalimu.

"They have done something for(Kwame) Nkrumah  and (Nelson) Mandela at the AU, but there is nothing for Mwalimu. No symbol," lamented President Mugabe, adding that it was Mwalimu Nyerere who bore the burden of African liberation.

"We must do something (for Mwalimu). Zimbabwe will do something," he promised.

The SADC Chairman also riled at the West for looking the other way as the Israel army massacred innocent civilians in Gaza "in the guise of fighting terrorists.

"Is Israel so precious that it can't be stopped? It is criminal for the world to keep quiet over such crime against humanity," he said.

He also called on the European Union and USA to lift economic sanctions against Zimbabwe after popular elections in his country. He said the sanctions had adverse effect on Zimbabwe's economy.

The two-day ordinary summit ends in Victoria Falls today. It was attended by President Jakaya Kikwete and the Heads of State and Government of South Africa, Malawi, Mozambique, Democratic Republic of Congo, Lesotho, Namibia, Zimbabwe, Madagascar, Mauritius and Seychelles. Angola, Botswana and Zambia were  represented by Vice-Presidents while the kingdom of Swaziland was represented by Prime Minister.

The Tanzanian delegation included the Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Hon. Bernard Membe, the Minister for Industry and Trade, Hon. Abdallah Kigoda and the Zanzibar Minister of state in the President's Office, Hon. Harun Ali Suleiman.

End

Tanzanian winner SADC Essay Competition


President Jakaya Mrisho Kikwete congratulates Neema Stephen a Tanzanian student from Nabote Secondary School in Njombe who won the first prize in  this year's Southern African Development Community (SADC)  Secondary Schools Essay Competition.
----------------------------------------------------------------------------------------------------------
Tanzanian Wins SADC Essay Competition as Zimbabwe decorates Mbita

Neema Stephen, a Form Three student at Nabote Secondary School in Njombe, has won the first prize in this year's Southern African Development Community (SADC)  Secondary Schools Essay Competition, beating Zimbabwe and Swaziland to second and third positions, respectively.

Neema was awarded a certificate and US$1,500. The second winner received $750 and the third prize was $500. Secondary schools in the region were asked to write an essay on the effects of climate change and discuss the remedy.

The prizes were presented to the winners by H.E. Prof. Arthur Peter Mutharika, President of the Republic of Malawi, in his capacity as the outgoing SADC Chairman, at the sideline of the SADC summit.

President Mutharika also presented prizes to winners of mass media competition, which eluded Tanzanians. The SADC Council of ministers has directed the secretariat of the organization to promote the competition among member states.

The competitions are coordinated by the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation in collaboration with the relevant sectoral ministries.

Meanwhile, the Republic of Zimbabwe has bestowed its highest National Honour, the Royal Order of Munumutapa, on retired Brigadier General Hashim Mbita in recognition of his contribution to the liberation of the Southern African country.

H.E. Robert Mugabe, President of Zimbabwe, announced the decision during the opening of the 34th SADC Summit at Victoria Falls, after launching a nine-volume publication on the Southern Africa liberation struggles, coordinated by General Mbita.

President Mugabe said beside the medal, his government had awarded General Mbita, who was the Executive Secretary of the OAU Liberation Committee for 22 years, US$100,000.
General Mbita could not attend the ceremony due to ill health, and the medal and cheque were received on his behalf by his daughter, Shella.

The OAU Liberation Committee, which was based in Dar es Salaam, was  key in mobilizing arms and military supplies for liberation movements of the Southern Africa region. It was dissolved in 1994 after the defeat of apartheid in South Africa.

The only other non-Zimbabwean recipients of the honour are the Father of the Tanzanian Nation, Mwalimu Julius Nyerere, the first President of Mozambique, H.E. Samora Machel, the First President of Botswana, H.E. Sir Seretse Khama and H.E. Kenneth Kaunda, the first President of Zambia.

Monday, August 18, 2014

Kaimu Katibu Mkuu amkabidhi Hati ya Kiwanja Balozi wa Oman nchini

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akimkabidhi Hati ya Kiwanja  Balozi wa Oman hapa nchini, Mhe. Soud Al Mohammed Al-Ruqaish  kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi za Ubalozi wa nchi hiyo hapa nchini. Makabidhiano hayo yalifanyika Wizarani tarehe 18 Agosti, 2014.

Balozi Yahya akizungumza na Balozi Al-Ruqaish kabla ya kumkabidhi hati hiyo ya kiwanja.
Mazungumzo yakiendelea.
Picha ya pamoja

Picha na Regiald Philip







Thursday, August 14, 2014

SADC Ministerial Conference starts in Zimbabwe

Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Hon. Bernard K. Membe (C) with Hon. Abdallah Kigoda (R), Minister for Industry and Trade and Ambassador Rajabu Gamaha (L), Acting Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation  during  the SADC Ministerial Conference held in Victoria Falls, Zimbabwe. Hon. Membe leads  Tanzanian delegation to the SADC Ministerial conference.

Hon. Membe in a  briefing meeting.



SADC MINISTERIAL CONFERENCE GETS UNDERWAY

The Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Hon. Bernard K. Membe, arrived in Victoria Falls, Zimbabwe, early today to lead the Tanzanian delegation to the SADC Ministerial conference.

Ministers from the 15 SADC member countries are meeting in the Zimbabwean resort town to prepare the agenda for the 34th SADC Summit on August 17 and 18, which is expected to be attended by H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania.

The Ministerial delegation includes Hon. Abdallah Kigoda, Minister for Industry and Trade.

The SADC Heads of State and government are scheduled to deliberate on a range of issues on regional cooperation, including review of the region's Industrial Strategic Development Programme.

They will also discuss establishment of a Regional Development Fund, which is proposed to have a seed capital of 1.2billion US dollars.

The Ministerial conference was preceded by a meeting of Senior Officials.
Ambassador Rajabu Gamaha, Acting Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation led the Tanzania delegation to the meeting.

SADC member countries are Tanzania, Botswana, Angola, Namibia, Mozambique, Malawi, Lesotho, Swaziland, Mauritius, Madagascar,Democratic Republic of Congo,South Africa, Zimbabwe and Zambia.

Ends