Sunday, June 30, 2013

Taarifa kwa Vyombo vya Habari





TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Marekani, Mhe. Barack Obama anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 01 Julai, 2013 mchana kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili.

Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam, Mhe. Rais Obama ambaye atafuatana na Mkewe Mama Michelle atapokelewa na Mwenyeji wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.

Baada ya mapokezi, Mhe. Rais Obama atakwenda Ikulu kwa mazungumzo rasmi na Mhe. Rais Kikwete. Aidha, atafanya mkutano na Wafanyabiashara na kuhudhuria Dhifa ya Kitaifa.

Tarehe 2 Julai 2013, Mhe. Rais Obama atatembelea Mitambo ya kufua Umeme ya Symbion iliyopo Ubungo, Dar es Salaam na kuzindua rasmi Mpango Maalum wa Maendeleo ya Nishati Barani Afrika ulioanzishwa na Marekani (Power Africa Initiative).

Mpango huo utaanza na nchi saba ambazo ni: - Tanzania, Kenya, Uganda, Ethiopia, Ghana, Nigeria na Sudan Kusini.

Mhe. Rais Obama anatarajiwa kuondoka nchini tarehe 02 Julai 2013.


IMETOLEWA NA: WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, DAR ES SALAAM

30 JUNI, 2013

Matukio mbalimbali katika mkutano wa Smart Partnership Dialogue

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza  na Waziri Mkuu wa Algeria, Mhe. Abdelmalek Sellal Mazungumzo hayo yalifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Mhe. Sellal yupo nchini kuhudhuria Mkutano wa Majadiliano kwa Manufaa ya Wote (Global 2013 Smart Partnership Dialogue).

Mhe. Rais Kikwete akisaini kitabu cha wageni alipombelea Banda la maonesho la Kampuni ya MaxMalipo kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na Kampuni hiyo huku Maafisa wa kampuni hiyo wakishuhudia . Maonesho hayo yanafanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere huku mkutano wa Majadiliano kwa Manufaa ya Wote (Global 2013 Smart Partnership Dialogue) ukiendelea.


Mhe. Rais Kikwete akisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa Bw. Juma Rajabu, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya MaxMalipo kuhusu namna kampuni hiyo inavyorahisisha malipo ya huduma mbalimbali kwa wananchi kwa teknolojia ya hali juu.

Mhe. Rais Kikwete akisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa Bw. Lusaju Mwamkonda, mmoja wa Maafisa kutoka Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) ya namna Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ulivyoeenea ndani na nje ya Tanzania ikiwemo nchi za Burundi, Rwanda n.k. Kushoto kwa Mhe. Rais ni Dkt. Kamugisha Kazaura, Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL.

Mhe. Rais Kikwete akizungumza na Watendaji mbalimbali alipotembelea Banda la Maonesho la TTCL. Kulia kwa Mhe. Rais ni Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Makame Mbarawa.

Mhe. Rais Kikwete na Mhe. Mbarawa  katika picha ya pamoja na Watendaji wa TTCL alipotembelea banda hilo.

Mhe. Rais Kikwete akipata maelezo  kutoka kwa mmoja wa Maafisa Watendaji alipotembelea Banda la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa (NIMR) kuhusu  namna Taasisi hiyo inavyojishughulisha na utafiti wa magonjwa pamoja na madawa.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani)  kuhusu mkutano wa Majadiliano kwa Manufaa ya Wote (Smart Partnership). Mkutano huo unafanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuanzia tarehe 28 Juni hadi 1 Julai 2013. Kushoto kwa Balozi Sefue ni Mkurugenzi wa Commonwealth Partnership for Technology Management (CPTM), Dkt. Andrew Taussig.


Mhe. Membe akiteta jambo na Meneja wa Mkutano wa Majadiliano kwa Manufaa ya Wote, Bibi Rosemary Jairo.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Fatuma Mwasa(kushoto) akifurahia jambo na Mkuu wa Sekretarieti ya Maandalizi ya Mkutano wa Majadiliano kwa Manufaa ya Wote (Smart Partnership), Bibi Victoria Mwakasege.

Minister Membe bids farewell to former Prime Minister of Malaysia



Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation receives Tun Dr Mahathir Mohamad, former Prime Minister of Malaysia, who is also a Commonwealth Partnership for Technology Management (CPTM) Fellow Emeritus and Companion.  Tun Dr. Mohamad has cooperated with a number of African leaders to articulate the aims of the movement in achieving national visions, inclusivity through financial inclusion, quality and standards as well as innovation.   

Tun Dr. Mohamad is received by Mr. Omary Mjenga, Assistant Director of the Department of Asia and Australasia in the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation. 
Hon. Minister Membe (2nd left), walks former Prime Minister of Malaysia Dr. Mahathir Mohamad to the VIP Room at the Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam.   Dr. Mohamad has been participating in the 2013 Global Smart Partnership Dialogue held from June 28, 2013 at the Mwalimu Nyerere Convention Centre in Dar es Salaam.


Hon. Membe in a photo with Tun Dr. Mohamad. 

TUn Dr. Mahathir Mohamad in a discussion with Hon. Membe about Smart Partnership Dialogue and the way forward. 

Tun Dr. Mahathir Mohamad interviewed by local reporters in Dar es Salaam before his departure back to Malaysia.  Dr. Mohamad has been in Tanzania participating at the 2013 Global Smart Partnership Dialogue held at Mwalimu Nyerere Convention Centre in Dar es Salaam from June 28, 2013. 

Tun Dr. Mahathir Mohamad and wife Tun Dr. Siti Hasmah Mohamad Ali listening to reporters while being interviewed at the Julius Nyerere International Airport yesterday in Dar es Salaam. 

Hon. Membe, Dr. Mohamad and Dar es Salaam Regional Commissioner Saidi Meck Sadik exchange views while walking towards a plane that Dr. Mohamad and his beloved wife were going to board to head back to Malaysia. 

Tun Dr. Mahathir Mohamad expresses something to Hon. Minister Bernard K. Membe before his departure back to Malaysia. 

Hon. Membe says goodbye to Tun Dr. Mahathir Mohamad and his beloved wife Tun Dr Siti Hasmah Mohamad Ali.

Hon. Membe says goodbye to Tun Dr Siti Hasmah Mohamad Ali, while  Dar es Salaam Regional Commissioner Saidi Meck Sadik and Mr. Omary Mjenga witnessing the occasion. 

Hon. Membe says goodbye to Tun Dr. Mohamad.

Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation explains something with Dar es Salaam Regional Commissioner Saidi Meck Sadik.



 All photos by Tagie Daisy Mwakawago 



Prime Minister of Algeria leaves the country after participating in the 2013 Global Smart Partnership Dialogue


Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation greets H.E. Djellou Tabet of Algeria to the United Republic of Tanzania yesterday at the Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam. 

Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation welcomes H.E. Abdelmalek Sellal, Prime Minister of Algeria upon his arrival at Julius Nyerere International Airport prior to his departure.  Prime Minister Sellal has been in the country attending the 2013 Global Smart Partnership Dialogue held since June 28, 2013 at the Mwalimu Nyerere Convention Centre in Dar es Salaam.  Right is H.E. Ambassador Djellol Tabet of Algeria to the United Republic of Tanzania.

Prime Minister Sellal gets introduced to Mr. Omary Mjenga, Assistant Director of the Department of Asia and Australasia in the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation.  

Prime Minister of Algeria exchanges fews words and laughters with Hon. Minister Membe and the Algeria Ambassador in Tanzania.  Right is H.E. Ambassador Djellou Tabet of Algeria.

Dar es Salaam Regional Commissioner Saidi Meck Sadik and Assistant Director of the Department of Asia and Australasia Mr. Omary Mjenga listening to Prime Minister of Algeria (not in the photo).

Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation walks off H.E. Abdelmalek Sellal, Prime Minister of Algeria as he is getting set to depart back to his country. 

Hon. Minister Membe wishes a bon voyage to Algerian Prime Minister Abdelmalek Sellal.



All photos by Tagie Daisy Mwakawago 



Vice President, Hon. Membe and Hon. Mahadhi bid farewell to Sri Lanka President


H.E. Mahinda Rajapaksa, President of the Democratic Socialist Republic of Sri Lanka waving various entertainment dancers who came to see him off after his State Visit tour and participation at this year 2013 Global Smart Partnership Dialogue came to an end.  Walking side-to-side with President Rajapaksa is Vice President Dr. Mohammed Gharib Bilal (right) who was there on behalf of President Jakaya Mrisho Kikwete of the United Republic of Tanzania.  Also in the photo is Dar es Salaam Regional Commissioner Saidi Meck Sadik (left).  President Rajapaksa left yesterday at the Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam. 

Dancers entertaining Sri Lanka President prior to his departure. 

Dancers entertaining Sri Lanka President prior to his departure. 

President of Sri Lanka Mahinda Rajapaksa says goodbye to Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation.  Witnessing the occasion is Vice President Dr. Mohammed Gharib Bilal and Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP), Deputy Minister for Foreign Affairs and International Co-operation. 

President Rajapaksa says few words to Hon. Membe prior to his departure yesterday at the Mwalimu Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam. 

H.E. President Mahinda Rajapaksa of Sri Lanka says goodbye to the Dar es Salaam Regional Commissioner Saidi Meck Sadik. 

President Rajapaksa says goodbye to Ambassador Mbelwa Kairuki, Director of the Department of Asia and Australasia in the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation. 

President Rajapaksa says goodbye to Mr. Omary Mjenga, Assistant Director of the Department of Asia and Australasia in the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation. 

H.E. President Mahinda Rajapaksa of Sri Lanka waves goodbye to the Tanzania Government Officials who came to say goodbye during his departure yesterday at the Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam. 

Vice President Dr. Mohammed Gharib Bilal exchanges views with Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation after they said goodbye to the President of Pakistan yesterday at the Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam.  Also in the photo are Hon. Mahadhi Juma Maalim (MP) (left), Deputy Minister for Foreign Affairs and International Co-operation and Dar es Salaam Regional Commissioner Saidi Meck Sadik. 

Vice President Dr. Bilal in a candid talk with Hon. Minister Membe.

Hon. Bernard K. Membe (MP) (right), in a private talk with his Deputy Minister Mahadhi Juma Maalim (MP) of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation. 

Vice President Dr. Mohammed Gharib Bilal exchanges views with Hon. Minister Membe.  Also in the photo are Deputy Minister Mahadhi Juma Maalim (MP) of the Ministry of Foreign Affairs and the Dar es Salaam Regional Commissioner Saidi Meck Sadik. 

Ambassador Mbelwa Kairuki (center), Director of the Department of Asia and Australasia in a candid photo with his Assistant Director Mr. Omary Mjenga (right) and Mr. Togolani Mavura (left), Private Assistant to Hon. Minister Bernard K. Membe (MP) of the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation.


All photos by Tagie Daisy Mwakawago  



Mhe. Membe ashuhudia uwekwaji saini mkataba wa biashara kati ya Tanzania na Malaysia


Mhe. Membe (wa tano kutoka kushoto waliosimama nyuma) akiwashuhudia Bw. Mufuruki na Bw. Choi Gyu Sung, Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya HU-CHEMS wakisaini mkataba huo.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akimsikiliza Bw. Ali Mufuruki, Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Makampuni ya Infotech Investment Group ya Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi ya kuweka saini Mkataba wa Ushirikiano wa Kibiashara katika masuala ya Teknolojia  na Kampuni ya HU-CHEMS kutoka Malaysia.Hafla hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere pembezoni mwa Mkutano unaoendelea wa Smart Partnership.

Mhe. Membe akiendelea kumsikiliza Bw. Mufuruki (hayupo pichani). Wengine katika picha ni Balozi Mbelwa Kairuki (kulia), Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia.

Mhe. Membe akimsikiliza Bw. Ki Tai Kim P.E. mmoja wa viongozi kutoka Kampuni ya HU-CHEMS ya Malaysia wakati wa uwekaji saini mkataba wa ushirikiano katika masuala ya Teknolojia na Kampuni ya Tanzania.

Bw. Mufuruki na Bw.Choi wakibadilishana mkataba huo mara baada ya kuusaini.

Mhe. Membe akiwa katika picha ya pamoja na Bw. Mufuruki na Bw. Choi na Wajumbe wengine kutoka Malayasia na Tanzania mara baada ya kusainiwa Mkataba huo akiwemo Bibi Joyce Mapunjo (kushoto), Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara.

Balozi Mbelwa (kushoto), Bi. Zaituni na Bw. Omar Mjenga wakishuhudia uwekwaji saini huo.

Mhe. Membe akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu mkataba uliosainiwa.