Wednesday, June 5, 2013

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji ahudhuria Kikao cha Baraza la Mawaziri cha ACP


Mhe. Dr. Diodorus Burerwa Kamala (wa pili kulia), Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ubelgiji ahudhuria Kikao cha 97 cha Baraza la Mawaziri wa Nchi za Afrika, Caribbean na Pacific (ACP) kinachofanyika mjini Brussels.  Kikao hicho kinajadili masuala ya ushirikiano ya Nchi za ACP na kuweka mikakati ya kuanzisha Benki ya Nchi za ACP, ushirikiano mpya wa Nchi za ACP, kuimarisha uchumi wa nchi za ACP na kuandaa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za ACP na Jumuiya ya Ulaya unaotarajiwa kufanyika kesho mjini Brussels. (courtesy Issa Michuzi)

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.