Friday, September 29, 2017

BBC Tanzania watembelea wadau wake


Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Mindi Kasiga akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa BBC, Idhaa ya Kiswahili kwa upande wa Tanzania, Bw. John Solombi  leo katika Ofisi za Wizara ya Mambo ya Nje. Timu ya BBC imeanza ziara kuwatembelea wadau wake wakubwa katika masuala ya kupashana habari na wameanza kwa kuitembelea Wizara ya Mambo ya Nje na baadaye walielekea kwa msemaji wa  Jeshi la Polisi nchini. Katika mazungumzo hayo, wawili hao walikubaliana kufanya kazi kwa karibu kwa maslahi ya kuuelimisha na kuuhabarisha umma.

Bw. Solombi akisisitiza jambo katika mazungumzo hayo.
Mazungumzo yanaendelea. Katika picha anaonekana Bw. Aboubkar Famau, Mtangazaji wa BBC na Mkuu wa Kitengo cha Uratibu wa Vipindi, akichangia jambo katika mazungumzo hayo. Kulia kwake ni Bw. Ally Kondo, Afisa Mawasiliano wa Wizara ya Mambo ya Nje na aliyekaa peke yake ni Bi. Halima Nyanza, Mtangazaji wa BBC.

Picha ya pamoja

Timu ya BBC baada ya kukutana na  Kitengo cha Mawasiliano ilipata fursa ya kusalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Suzan Kolimba (Mb). Pichani anaoenekana Mhe. Naibu Waziri akiwapa neno la shukrani Team ya BBC kwa uamuzi wao wa kuichagua Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kuwa mdau wa kwanza kutembelewa.

Mhe. Naibu Waziri akiwa katika picha ya pamoja na Team ya BBC na Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali cha Wizara ya Mambo ya Nje

Thursday, September 28, 2017

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Suzan Kolimba amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ujerumani Mhe. Dkt. Detlef Waechter, tarehe 27/09/2017, Wizarani. 
Katika mazungumzo yao yaliyojikita katika kuendeleza uhusiano kati ya Tanzania na Ujerumani katika masuala ya maendeleo katika sekta mbalimbali hasa maeneo ya Kilimo, elimu na Afya. Ambapo Ujerumani kwa kushirikiana na wadau wengine wanatarajia kuwekeza katika Kiwanda cha kutengeneza mbolea Mkoani Lindi, inatarajiwa kiwanda hicho kitatoa jumla ya ajira 5,000 kwa Watanzania.
Balozi Dkt. Waechter naye akizungumza katika
Sehemu ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakisikiliza kwa makini mazungumzo hayo.
Dkt. Suzan Kolimba, Dkt.Weachter na watumishi wa Wizara wakiwa katika picha ya pamoja baada ya Mkutano.



                                                                                                                                                                                                                                                                ~

Thursday, September 21, 2017

Balozi Baraka Luvanda awasilisha hati za utambulisho kwa Rais Ram Nath Kovind wa India

Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda (kulia), akimkabidhi Rais wa India Mhe. Ram Nath Kovind, hati ya utambulisho kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. 



SPEECH BY HIS EXCELLENCY BARAKA HARAN LUVANDA AT THE PRESENTATION OF CREDENTIALS CEREMONY, RASHTRAPATI BHAWAN, NEW DELHI, 19TH SEPTEMBER 2017

Honourable President Ram Nath Kovind,

Excellencies, Ladies & Gentlemen,

It is a great pleasure and honour for me to present my credentials today as the 14th High Commissioner of the United Republic of Tanzania to the Republic of India. It is, indeed heartening that I present the same to the 14th President of this Great nation.

Permit me to convey to Your Excellency the best wishes of His Excellency Dr. John Pombe Joseph Mgufuli, President of the United Republic of Tanzania to the Government and the People of the Republic of India.

India and Tanzania established formal diplomatic ties in 1961 and 1962, respectively. For many years then, the relationship was largely driven by the shared ideological commitments to anti-colonialism, anti-racism, south-south cooperation and the non alignment policies. Today, whilst the strong historical foundations have been emulated, there has been a pragmatic policy shift with an increased emphasis being placed on greater and diversified socio-economic, technical and cultural exchanges.

The recent and historic high-level visits to spur these bilateral engagements include that of former President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete to India in June 2015 and the visit to Tanzania by Prime Minister Narendra Modi in July 2016.

In addition to our bilateral cooperation, there has been a mutually agreed approach towards our multilateral commitments in the area of peace and security, democracy, equity, good governance and the rule of law.

Your Excellency, there could no better frameworks for me to start off my call of duty in India than the existing ones. I am hopeful and determined to scale up these bilateral exchanges to even greater heights.

                                                                          Thank you,

                                                            (BARAKA HARAN LUVANDA)
                                                 HIGH COMMISSIONER OF THE UNITED
                                                      REPUBLIC OF TANZANIA TO INDIA

                                                            New Delhi, September 19, 2017.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki (Mb.), akitoa Salamu za pole kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa familia, ndugu na jamaa wote waliofiwa na ndugu zao kutokana na ajali iliyotokea Nchini Uganda, pia alitumia fursa hiyo kutoa neno la shukrani kwa Serikali ya Uganda kwa kusaidia kusafirisha miili ya ndugu zetu kuja nchini Tanzania kwa taratibu za mazishi, Serikali ya Uganda imewakilishwa na Waziri wa Nchi anayeshughulikia Masuala ya Jiji la Kampala Mhe. Betty Namisango na  Balozi wa Uganda nchini Tanzania Mhe. Balozi Richard Kabonelo


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Suzan Kolimba(wa pili kutoka kushoto), Profesa Charles Ibingira baba wa bwana Harusi(Kulia kwake), Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Gerson Mdemu ( wa mwisho kulia) na Dkt Gregory Teu baba wa bibi harusi ( wa mwisho kushoto)wakiwa na majonzi katika shughuli ya kuaga miili ya watanzania waliopoteza maisha

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Mindi Kasiga akitoa utaratibu kwenye tukio la kuaga miili ya watanzania waliopata ajali nchini Uganda.
Sehemu ya Ndugu waliofiwa wakiwa na nyuso za huzuni.
Miili ya Watanzania waliopata ajali nchini Uganda ikiwasili
Viongozi mbalimbali wa Serikalini wakiongozwa na Mhe. Angela Kairuki wakiwa wamesimama kwa pamoja wakati miili ya watanzania waliopoteza maisha ikiwasili.

Friday, September 15, 2017

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (Mb) katikati, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Aziz Mlima (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Mindi Kasiga, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiaono wa Afrika Mashariki.
Wakurugenzi wa Idara na Vitengo wakimsikiliza kwa makini Dkt. Mahiga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari (hayupo pichani), wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Celestine Mushy, wa kwanza kulia ni Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Sera na Mipango Joachim Otaru pamoja na Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Habari Maelezo Rodney Tadeusi (katikati).
Sehemu ya wahariri wa vyombo vya habari wakinukuu maswala mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea kuzungumzwa na Dkt. Mahiga.
Juu na Chini Mkutano ukiendelea

Tuesday, September 12, 2017

Katibu Mkuu Mtendaji wa ICGLR atembelea Wizara ya Mambo ya Nje

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Aziz Mlima (kulia) amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Nchi za Maziwa Makuu (ICGLR) Balozi Zackaria  Muburi Muita, ambapo walizungumzia  masuala mbalimbali yanayoendelea katika jumuiya hiyo.
Mkutano ukiendelea
Dkt. Mlima pamoja na Balozi Muita wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza mazungumzo yao.

Monday, September 11, 2017

Joint Communique of the bilateral trade meeting between the United Republic of Tanzania and the Republic of Kenya held on 06TH – 08TH September, 2017,at Mwalimu Julius Nyerere International Conference Centre in Dar es salaam



JOINT COMMUNIQUE OF THE BILATERAL TRADE MEETING TO ADDRESS TRADE-RELATED CONCERNS BETWEEN THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA AND THE REPUBLIC OF KENYA
HELD ON 06TH – 08TH SEPTEMBER, 2017 AT MWALIMU JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE IN DAR ES SALAAM

1.        As agreed during the bilateral meeting between Tanzania and Kenya held in Namanga on 03rd August 2017, a bilateral technical meeting to address trade-related concerns between the two countries was convened on 06th- 08th September 2017 in Dar es Salaam.

2.        The meeting was co-chaired by Prof. Adolf Mkenda, Permanent Secretary of the Ministry of Industry, Trade and Investment of the United Republic of Tanzania, and Dr. Chris Kiptoo, Principal Secretary in the Ministry of Industry, Trade and Cooperatives of the Republic of Kenya.

3.        During the meeting, which was held in a friendly and cordial atmosphere, the two sides noted the impetus to enhance and ease bilateral trade between the two countries that has been given by the two Heads of State, His Excellency Dr. John Pombe Joseph Magufuli, President of the United Republic of Tanzania and His Excellency Uhuru Muigai Kenyatta, President of the Republic of Kenya.

4.        The two sides underscored the significance of having regular bilateral meetings to discuss concerns and opportunities with a view of promoting trade in the two countries for the mutual benefit of the two countries and its people.

5.        During the meeting, the two sides deliberated on inter-alia, concerns related to the retail sector, customs, freight forwarding, market access, administrative bottlenecks, and implementation of the relevant East African Community directives. In this regard, the two sides called for the effective and timely implementation of the agreements reached in the bilateral meeting with a view to ease the flow of goods and services.

  1. Overall, the meeting noted with satisfaction the smooth conduct and flow of trade between the two countries, and that the Presidential Directives regarding the free flow of LPG, wheat flour, milk and milk product have been implemented. Among other things, the two sides agreed to the following:

·           The Management of Uchumi and Nakumatt Supermarkets should work with their suppliers to come up with a roadmap on how to settle the outstanding payments, and policy measures should be instituted to ensure that the retail sectors do not face a recurrence of similar challenges;
·           To implement the SCT system to speed up clearance of goods, and in particular perishable goods;
·           To speed up the development and adoption of regional cargo tracking system;
·           To encourage the Chiefs of Immigration Services in the two countries to convene a meeting to resolve immigration issues between the two countries;
·           To conduct verification exercise on lubricants, edible oils, cement and textiles produced outside EPZs in order to ascertain the origin of the product, and fair competition issues on textiles in particular; and,
·           To ratify and implement EAC SPS Protocol, which requires EAC Partner State to establish regulatory institutions and harmonize SPS control measures. KEBS and TFDA to cooperate on harmonization of SPS measures.

7.        In addition, a sideline meeting for wheat farmers and millers from Tanzania and Kenya was held on the margins of the bilateral meeting, and was equally co-chaired by Prof. Mkenda and Dr. Kiptoo. The meeting brought together key wheat stakeholders from the two countries to jointly discuss measures to support wheat farming in both countries. The meeting agreed to prioritize wheat produced locally in order to support the farmers. Thus, while the Namanga agreement stands Millers have agreed to voluntarily mop up wheat grains produced locally (Tanzania and Kenya) before importing from outside the region.

8.        Following the conclusion of the meeting, the co-chairs signed the minutes of the bilateral meeting and the sideline meeting for wheat stakeholders outlining the way forward.

9.        It was agreed that the next bilateral trade meeting will be held in November, 2017 in the Republic of Kenya.

Friday, September 8, 2017

Waziri Mahiga akutana na Balozi wa Iran na Balozi wa Palestina nchini Tanzania

Balozi wa Iran nchini Tanzania Mhe. Mousa Farhang akiwa na mwenyeji wake Mhe. Dkt. Augustine Mahiga wakimsikiliza mkalimani wa Kitanzania Bi. Maisara Ally  anayefanya kazi na Ubalozi wa Iran hapa nchini wakati viongozi hao walipokutana na kufanya mazungumzo leo tarehe 8 Septemba 2017.

Balozi wa Palestina nchini Tanzania Mhe. Hazem Shabat akiwa kwenye mazungumzo na mwenyeji wake Mhe. Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.




Waziri Mahiga amuaga rasmi Balozi wa China nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akimkaribisha Wizarani Balozi wa China anayemaliza muda wake wa kazi nchini, Mhe. LU Youqing ambaye alifika Wizarani kwa lengo la kuaga. Hafla fupi ya kumuaga Balozi LU Youqing ilifanyika Wizarani tarehe 07 Septemba, 2017.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Mindi Kasiga akiwakaribisha Waziri Mahiga na Balozi LU kuzungumza kwenye hafla fupi ya kumuaga Balozi LU iliyofanyika Wizarani.
Waziri Mahiga akizungumza na Balozi LU wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika Wizarani. Katika mazungumzo yao Mhe. Mahiga alimpongeza Balozi LU kwa utendaji wake wa kazi katika kipindi chote alichokuwa hapa nchini. Mhe. Mahiga alimwelezea Balozi LU kama mtu wa tofauti katika utendaji kazi na utekelezaji wake wa majukumu kwa kuwa alijitolea kikamilifu kuhakikisha ushirikiano kati ya Tanzania na China unaimarika na kukua zaidi.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Aziz Mlima (kushoto) akifuatilia mazungumzo kati ya Waziri Mahiga na Balozi LU (hawapo pichani) wakati wa hafla fupi ya kumuaga Balozi LU. Katikati ni Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki, Balozi Grace Martin na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Bw. Magabilo Murobi.
Sehemu ya ujumbe kutoka Ubalozi wa China ambao ulifuatana na Balozi LU.
Mhe. Waziri Mahiga akimkabidhi Balozi LU zawadi Maalum ya Nembo ya Taifa inayowakilisha utendaji uliotukuka wa Balozi LU
Mhe. Waziri Mahiga akimkabidhi Balozi LU zawadi nyingine ya Kinyago cha UMOJA kuonesha umoja na mshikamano uliopo kati ya Tanzania na China
Mhe. Balozi LU akipokea zawadi nyingine ya picha ya kuchora inayoonesha Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro pamoja na Tembo kama kumbukumbu kwa Balozi LU ya vivutio vya utalii vilivyopo nchini na pia mchango wa China katika mapambano dhidi ya ujangili wa pembe za ndovu
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Bw. Rogers Sianga nae akizungumza wakati wa hafla fupi ya kumuaga Balozi LU.
Balozi LU akifurahia zawadi ya Ngozi ya Pundamilia kutoka kwa Kamishna Sianga ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa China katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Picha ya pamoja kuhitimisha hafla ya kumuaga Balozi LU