Friday, September 8, 2017

Waziri Mahiga akutana na Balozi wa Iran na Balozi wa Palestina nchini Tanzania

Balozi wa Iran nchini Tanzania Mhe. Mousa Farhang akiwa na mwenyeji wake Mhe. Dkt. Augustine Mahiga wakimsikiliza mkalimani wa Kitanzania Bi. Maisara Ally  anayefanya kazi na Ubalozi wa Iran hapa nchini wakati viongozi hao walipokutana na kufanya mazungumzo leo tarehe 8 Septemba 2017.

Balozi wa Palestina nchini Tanzania Mhe. Hazem Shabat akiwa kwenye mazungumzo na mwenyeji wake Mhe. Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.




No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.