Friday, September 15, 2017

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (Mb) katikati, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Aziz Mlima (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Mindi Kasiga, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiaono wa Afrika Mashariki.
Wakurugenzi wa Idara na Vitengo wakimsikiliza kwa makini Dkt. Mahiga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari (hayupo pichani), wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Celestine Mushy, wa kwanza kulia ni Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Sera na Mipango Joachim Otaru pamoja na Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Habari Maelezo Rodney Tadeusi (katikati).
Sehemu ya wahariri wa vyombo vya habari wakinukuu maswala mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea kuzungumzwa na Dkt. Mahiga.
Juu na Chini Mkutano ukiendelea

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.