Friday, May 31, 2019

PRESS RELEASE

Dodoma, 31 Mei 2019

PRESS RELEASE
Job Announcement at the African Commission for Nuclear Energy
The Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation has received vacancy notification from the African Commission for Nuclear Energy (AFCONE) inviting qualified Tanzanians to apply for the post of Desk Officer available at the AFCONE.

For more details and application instructions, candidates are advised to visit: https://www.pnet.co.za/cmp/en/African-Commission-on-Nuclear-Energy-AFCONE-27508/work.html.

Application deadline is 16th June 2019.

Issued by;
Government Communication Unit,
Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation

Bunge laidhinisha Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi (Mb.) akijibu maswali mbalimbali yaliyoulizwa na wabunge wakati wa kujadiliwa Bajeti ya Wizara yake May 30, 2019
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango pamoja na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Willium Lukuvi (Mb.) wakimsikiliza Prof. Palamagamba John Kabudi (hayupo pichani ) alipokuwa akijibu maswali  Bungeni.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Kangi Lugola (Mb.) naye akichangia hoja kwenye Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Willium Lukuvi (Mb.)  naye akichangia hoja  kwenye Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Baadhi ya Wabunge wakifuatilia kwa hoja zilizokuwa zikichangiwa na wabunge mbalimbali.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damasi Ndumbaro (Mb.) akijibu maswali mbalimbali Bungeni  wakati wa  kupitisha Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa  Afrika Mashariki.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro akifafanua jambo wakati wa uwasilishaji wa bajeti ya wizara hiyo. Aliyekaa ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi na nyuma kabisa ni sehemu ya baadhi ya menejimenti ya Wizara hiyo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi  pamoja na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro wakipongezwa na Wabunge Mbalimbali mara baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo Bungeni mjini Dodoma. May 30, 2019.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Damas Ndumbaro (Mb.) akipongezwa na Mhe. Joseph Mbilinyi Mbunge wa Mbeya Mjini.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro, Katibu Mkuu Dkt. Faraji Mnyepe, Naibu Katibu Mkuu Balozi Ramadhan Mwinyi wakiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.









Thursday, May 30, 2019

Wizara ya Mambo ya Nje yawasilisha Bajeti Bungeni

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi akiwasilisha Bungeni Bajeti ya Wizara yake May 30, 2019
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Faraji Mnyepe akiwa na Mkurugenzi wa Ofisi ya Mambo ya Nje, Zanzibar Balozi Mohamed Hamza(kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Ramadhani Mwinyi. May 30, 2019.
Baadhi ya Mabalozi wanaoziwakilisha Nchi zao hapa Nchini Tanzania wakifuatilia uwasilishaji wa hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki iliyowasilishwa na Waziri Profesa Palamagamba John Kabudi katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. May 30, 2019
Juu na Chini ni sehemu ya wabunge wakipitia moja ya machapisho ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, yanayoonyesha namna Mabalozi wa Tanzania waliopo Nje ya Nchi wanavyoliwakilisha Taifa vyema


 Sehemu nyingine ya Wabunge wakiendelea kusoma baadhi ya Machapisho ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki



Baadhi ya Wakurugenzi na Wakuu wa Idara wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia uwasilishaji wa hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo iliyowasilishwa na Waziri Profesa Palamagamba John Kabudi katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. May 30, 2019

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi akipongezana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Damas Ndumbaro mara baada ya kuwasilisha bajeti ya Wizara hiyo katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. May 30, 2019.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi (kushoto) wakijadiliana jambo Bungeni mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Damas Ndumbaro (katikati) pamoja na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Augustine Mahiga(kulia). May 30, 2019
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi  akiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Damas Ndumbaro wakisikiliza hoja za Wabunge wakati wa uwasilishaji wa Bajeti ya Wizara hiyo Bungeni mjini Dodoma. May 30, 2019.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi akipongezwa na Dkt. Detlef Wrätcher Balozi wa Ujerumani hapa Nchini mara baada ya Waziri kuwasilisha hotuba ya Bjaeti ya Wizara yake. May 30, 2019.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akipongezwa na Wabunge wa Afrika Mashariki kutoka Tanzania, waliokuja wakati wa kuwasilisha Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Faraji Mnyepe akipongezwa na Mwakilishi wa Ubalozi wa China hapa Nchini Bw Lin Liang. May 30, 2019.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Faraji Mnyepe akibadilishana mawazo na baadhi ya Mabalozi wanaoziwasilisha Nchi zao hapa Nchini mara baada ya kuwasilishwa hotuba ya bajeti ya wizara hiyo Bungeni Mjini Dodoma. May 30, 2019.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi akiwa pamoja na baadhi ya wazazi na watoto walioshinda katika mashindano ya uandishi wa insha kwa nchi za Afrika ya Mashariki,watatu kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Faraji Mnyepe,May 30, 2019
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro, Katibu Mkuu Dkt. Faraji Mnyepe, Naibu Katibu Mkuu Balozi Ramadhan Mwinyi wakiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wanaoziwakilisha Nchi zao hapa Nchini pamoja na Wabunge wa Afrika Mashariki kutoka Tanzania 














Wednesday, May 29, 2019

Tanzania na Namibia kushirikiana katika maswala mbalimbali ya kuleta maendeleo

 Profesa Palamagamba John Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki  (Mb) pamoja na Mhe. Netumbo Nandi – Ndaitwah  Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Mahusiano ya Kimataifa na Ushirikiano (Mb) wakitia saini tamko la pamoja la mashirikiano kuhusu masuala mbalimbali ya maendeleo baina ya Tanzania na Namibia Mjini Windhoek,Namibia May 28,2019.

Profesa Palamagamba John Kabudi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki  (Mb) pamoja na Mhe. Netumbo Nandi – Ndaitwah  Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Mahusiano ya Kimataifa na Ushirikiano (Mb) wakibadilishana nyaraka baada ya kutia saini tamko la pamoja la mashirikiano kuhusu masuala mbalimbali baina ya Tanzania na Namibia Mjini Windhoek,Namibia May 28,2019.

         Profesa Palamagamba John Kabudi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki  (Mb) pamoja na Mhe. Netumbo Nandi – Ndaitwah  Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Mahusiano ya Kimataifa na Ushirikiano (Mb) wakionesha kwa waandishi wa habari nyaraka za tamko la pamoja la mashirikiano kuhusu masuala mbalimbali baina ya Tanzania na Namibia walizotia saini  Mjini Windhoek,Namibia May 28,2019

     Profesa Palamagamba John Kabudi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki  (Mb) pamoja na Mhe. Netumbo Nandi – Ndaitwah  Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Mahusiano ya Kimataifa na Ushirikiano (Mb) wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutia saini na kubadilishana nyaraka za tamko la pamoja la mashirikiano kuhusu masuala mbalimbali baina ya Tanzania na Namibia walizotia saini  Mjini Windhoek,Namibia May 28,2019. Kushoto ni kaimu balozi wa Tanzania Nchini Afrika ya Kusini anayesimamia pia Namibia Bw. Richard Lupembe na kulia ni Balozi wa Namibia nchini Tanzania Theresia Samaria.