Friday, May 17, 2019

Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (Afdb) aitembelea Tanzania




Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi (Mb.) akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina alipokwenda kumpokea katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.