Wednesday, May 8, 2019

Profesa Kabudi akutana na Sekretarieti ya SADC nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe (kushoto) akimkaribisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) alipokutana na Kamati ya Sekretariati ya Jumuiya ya Mendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kwaajili ya maandalizi ya Mkutano wa SADC. 
Ujumbe wa Kamati ya Sekretariati ya SADC ukumsikiliza  Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe (hayupo pichani)
Dkt. Mnyepe akiendelea kuzungumza kwenye Mkutano huo wa Maandalizi.
Mkutano ukiendelea.




No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.