Friday, May 31, 2019

Bunge laidhinisha Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi (Mb.) akijibu maswali mbalimbali yaliyoulizwa na wabunge wakati wa kujadiliwa Bajeti ya Wizara yake May 30, 2019
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango pamoja na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Willium Lukuvi (Mb.) wakimsikiliza Prof. Palamagamba John Kabudi (hayupo pichani ) alipokuwa akijibu maswali  Bungeni.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Kangi Lugola (Mb.) naye akichangia hoja kwenye Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Willium Lukuvi (Mb.)  naye akichangia hoja  kwenye Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Baadhi ya Wabunge wakifuatilia kwa hoja zilizokuwa zikichangiwa na wabunge mbalimbali.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damasi Ndumbaro (Mb.) akijibu maswali mbalimbali Bungeni  wakati wa  kupitisha Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa  Afrika Mashariki.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro akifafanua jambo wakati wa uwasilishaji wa bajeti ya wizara hiyo. Aliyekaa ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi na nyuma kabisa ni sehemu ya baadhi ya menejimenti ya Wizara hiyo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi  pamoja na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro wakipongezwa na Wabunge Mbalimbali mara baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo Bungeni mjini Dodoma. May 30, 2019.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Damas Ndumbaro (Mb.) akipongezwa na Mhe. Joseph Mbilinyi Mbunge wa Mbeya Mjini.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro, Katibu Mkuu Dkt. Faraji Mnyepe, Naibu Katibu Mkuu Balozi Ramadhan Mwinyi wakiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.









No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.