Tuesday, May 21, 2019

Waziri Kabudi akutana na Balozi wa Iran nchini Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) akimuelezea jambo Balozi wa Iran hapa nchini Mhe. Mousa Farhang alipomtembelea katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam Mei 20, 2019
Maafisa Ubalozi wa Irani hapa nchini wakisikiliza mazungumzo kati ya Prof. Palamagamba John Kabudi na Balozi Mousa Farhang (hawapo pichani)
Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia mazungumzo kati ya Prof. Palamagamba John Kabudi na Balozi Mousa Farhang (hawapo pichani), katikati ni Mkurugenzi Kitengo cha Habari na Mawasiliano Bw. Emmanuel Buhohela, Kaimu Mkurugenzi Idara ya Mashariki ya Kati Bw. Ayubu Mndeme (wa kwanza kushoto) na Katibu wa Waziri Bw. Murobi Magabilo
Mazungumzo yakiendelea.





No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.