Tuesday, May 21, 2019

Waziri Kabudi akutana na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uingereza hapa nchini Mhe. Sarah Cooke alipomtembelea katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam Mei 20, 2019
Maafisa Ubalozi wa Uingereza hapa nchini wakisikiliza mazungumzo kati ya Prof. Palamagamba John Kabudi na Balozi Sarah Cooke (hawapo pichani)
Mazungumzo yakiendelea



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.