Thursday, September 28, 2017

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Suzan Kolimba amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ujerumani Mhe. Dkt. Detlef Waechter, tarehe 27/09/2017, Wizarani. 
Katika mazungumzo yao yaliyojikita katika kuendeleza uhusiano kati ya Tanzania na Ujerumani katika masuala ya maendeleo katika sekta mbalimbali hasa maeneo ya Kilimo, elimu na Afya. Ambapo Ujerumani kwa kushirikiana na wadau wengine wanatarajia kuwekeza katika Kiwanda cha kutengeneza mbolea Mkoani Lindi, inatarajiwa kiwanda hicho kitatoa jumla ya ajira 5,000 kwa Watanzania.
Balozi Dkt. Waechter naye akizungumza katika
Sehemu ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakisikiliza kwa makini mazungumzo hayo.
Dkt. Suzan Kolimba, Dkt.Weachter na watumishi wa Wizara wakiwa katika picha ya pamoja baada ya Mkutano.



                                                                                                                                                                                                                                                                ~

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.