Thursday, August 28, 2014

Waziri Nagu asaini Kitabu cha Maombolezo Ubalozi wa Ireland

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Mhe. Dkt. Mary Nagu (Mb) akisalimiana na Balozi wa Ireland, Mhe. Fionnuala Gilsenan mara baada ya kuwasili kwenye Ubalozi wa nchi hiyo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Ireland, Hayati Albert Reynolds kilichotokea tarehe 21 Agosti, 2014.
 Mhe. Dkt.  Nagu (Mb) akisaini kitabu hicho cha maombolezo huku Balozi Gilsenan akishuhudia. 
Mhe. Dkt. Nagu na Balozi Gilsenan wakiwa katika mazungumzo.


Picha na Reginald Philip



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.