Saturday, August 30, 2014

Dkt. Jabiri Bakari, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa E- Government na Ujumbe wake wa mtembelea Balozi wetu Mdogo Dubai

Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akisalimiana na Dkt.Jabir Bakari, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa e-Government pamoja na ujumbe wake wakitokea New Delhi ambako walikuwa na mkutano na Wakala wenzao wa Serikali ya India. Katika mazungumzo yao, wamezungumzia jinsi ya kupata ufadhili kwaajili ya kujenga uwezo wa Wakala wa Serikali kwa njia ya Mtandao(e- Government)

Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akiongea na Dkt. Jabir Bakari, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa e-Government pamoja na ujumbe wake.
Picha ya pamoja


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.