Monday, August 4, 2014

Dragon Mart ya Dubai wakutana na Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, Mhe Omary Mjenga

Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai Mhe. Omar Mjenga akiwa katikati na uongozi wa Dragon Mart ya Dubai, ambao wameonyesha nia kwa kushirikiana na Wizara ya Viwanda na Biashara, kujenga uwanja wa maonyesho ya biashara wa kisasa utakao kuwa unafanya maonyesho mfululizo kwa mwaka mzima.

Niao yao pamoja na Wizara, ni kujenga kituo cha ubora (Centre of Excellency) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.