Thursday, August 14, 2014

Wanafunzi wa Vyuo wapata semina kuhusu utendaji wa Umoja wa Mataifa Wizarani

Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akitoa mada kuhusu  Utendaji kazi wa Idara yake na mfumo mzima wa utendaji kazi wa Umoja wa Mataifa na Uhusiano wa Mashirika ya Kimataifa na Tanzania katika semina kwa  Wanafunzi wa Chuo cha Diplomasia (CFR), Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na Chuo Kukuu cha Dar es Salaam (UDSM), wanaofanya mafunzo kwa vitendo  Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Baadhi ya Wanafunzi hao wakimsikiliza Balozi Mushy (hayupo pichani)
Maafisa Mambo ya Nje kutoka Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa wakimsikiliza Balozi Mushy (hayupo pichani)
Semina ikiendelea

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.