Monday, August 18, 2014

Kaimu Katibu Mkuu amkabidhi Hati ya Kiwanja Balozi wa Oman nchini

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akimkabidhi Hati ya Kiwanja  Balozi wa Oman hapa nchini, Mhe. Soud Al Mohammed Al-Ruqaish  kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi za Ubalozi wa nchi hiyo hapa nchini. Makabidhiano hayo yalifanyika Wizarani tarehe 18 Agosti, 2014.

Balozi Yahya akizungumza na Balozi Al-Ruqaish kabla ya kumkabidhi hati hiyo ya kiwanja.
Mazungumzo yakiendelea.
Picha ya pamoja

Picha na Regiald Philip







No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.