Monday, August 11, 2014

Kaimu Katibu Mkuu azungumza na Mkurugenzi wa masuala ya Afrika na Mashariki ya Kati wa Jamhuri ya Korea

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akizungumza na Bw. KWON Hee-seog, Mkurugenzi anayeshughulikia masuala ya Afrika na Masharikiriki ya Kati kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Korea ambaye ametembelea nchini kwa ajili ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Jamhuri ya Korea.
Bw. KWON akizungumza.
Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Balozi Mbelwa Kairuki akiwa na Maafisa Mambo ya Nje, Bw. Cosato Chumi (katikati) na Emmanuel Luangisa wakifuatilia mazungumzo kati ya Balozi Yahya na Bw. KWON ( hawapo pichani).
Ujumbe kutoka Jamhuri ya Korea uliofuatana na Bw. KWON.
Mazungumzo yakiendelea.

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.