Thursday, June 18, 2015

Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na Mwakilishi wa UNFPA nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza na Mwakilishi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa unaoshughulikia Idadi ya Watu (UNFPA) hapa nchini Dkt.Nathalia Kanem alipokuja kumtembelea Wizarani
Ujumbe alioambatana nao Dkt. Kanem ukifuatilia kwa makini mazungumzo kati ya Balozi Mulamula na Dkt. Kanem (hawapo pichani)
Dkt Kanem akichangia jambo huku Katibu Mkuu, Balozi Mulamula akimsikiliza kwa makini.
Katibu Mkuu Balozi Mulamula (kushoto) akimsikiliza Dkt. Kanem (hayupo pichani), huku Afisa Mambo ya Nje, Bi. Ramla Hamis (kulia) akinukuu mazungumzo hayo.
Balozi Mulamula na Dkt. Kanem wakiwa katika picha ya pamoja na Maafisa wa UNFPA

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.