Friday, February 20, 2015

JK akabidhiwa rasmi Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika mashariki

Rais Kikwete amerejea nyumbani mara baada ya mkutano huo ambao umehudhuriwa na Marais wa nchi zote tano za Jumuiya na Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ambaye amehudhuria kama mualikwa maalum katika kipindi hiki ambapo mazungumzo ya awali ya kuijadili nchi yake kama inaweza kupata uanachama katika EAC yanaendelea. Pichani ni Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Profesa Mark Mwandosya akimkaribisha Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki , Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya Rais kuwasili katika uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere akitokea Nairobi Kenya ambapo alihudhuria mkutano wa kilele wa wakuu wa nchi Jumuiya ya Afrika Mashariki.Kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo Dkt.Shukuru Kawambwa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wao Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya pamoja na Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Rais Paul Kagame wa Rwanda na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakizungumza chemba kabla ya kuingia kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa  Kenyatta International Convention Center(KICC)Nairobi,Kenya  katika mkutano wa kawaida wa 16 wa Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki uliofanyika Ijumaa Februari 20, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wao Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya pamoja na Rais Paul Kagame wa Rwanda kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa  Kenyatta International Convention Center(KICC)Nairobi,Kenya  katika mkutano wa kawaida wa 16 wa Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki uliofanyika Ijumaa Februari 20, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Naibu Rais wa Kenya, Mhe. William Rutto na maafisa wengine wakiwa kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa  Kenyatta International Convention Center(KICC)Nairobi,Kenya wakati wimbo wa Taifa wa Tanzania katika mkutano wa kawaida wa 16 wa Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki uliofanyika Ijumaa Februari 20, 2015
Kutoka kushoto ni mgeni mwalikwa, Rais wa Sudani Kusini, Mhe Salva Kiir, Rais wa Burundi, Mhe Pierre Nkurunziza, Rais Jakaya Mrisho Kikwete(Tanzania),Rais Uhuru Kenyatta(Kenya)Rais Yoweri Museveni (Uganda) Rais Paul Kagame (Rwanda) na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Balozi Dk Richard Sezibera wakiwa kwenye ukumbi wa mikutano kwenye  mkutano wa kawaida wa 16 wa Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki
Rais Jakaya Mrisho Kikwete(kushoto)akipokea bendera ya Afrika Mashariki(EAC)kutoka kwa Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta ikiwa ni ishara ya kumkabidhi rasmi Uenyekiti wa  EAC  kwenye  mkutano wa kawaida wa 16 wa Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki uliofanyika leo Ijumaa Februari 20, 2015 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.

CHECK AGAINST DELIVERY

SPEECH BY THE CHAIRPERSON OF EAC HEADS OF STATE AT THE 16TH SUMMIT OF EAC HEADS OF STATE AT THE KENYATTA INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE, NAIROBI, KENYA
ON 20TH FEBRUARY, 2015

Your Excellency Uhuru Kenyatta, President of the Republic of Kenya,
       Immediate Past Chair and Host of This Summit;
Your Excellency Yoweri Museveni, President of the Republic of Uganda;
Your Excellency Paul Kagame, President of the Republic of Rwanda;
Your Excellency Pierre Nkurunziza, President of the Republic of Burundi;
Your Excellency Salva Kiir Myardit, President of the Republic of South Sudan;
The Chairperson of the Council of Ministers, Honourable Dr. Harrison Mwakyembe;
Honourable Ministers;
The Secretary General of the East African Community;
The Honourable Speaker of EALA;
His Lordship Judge President of EACJ;
Members of EALA and National Parliaments;
Members of the Diplomatic Corps;
Distinguished Guests;
Ladies and Gentlemen;
Excellencies;
         I thank you President Uhuru Kenyatta and the people of Kenya for the warm reception and gracious hospitality.  This is befitting Kenyan hospitality that we know.  We don’t feel like strangers when in Nairobi.  You always make us feel at home away from home.  We are gratified, indeed.
  I commend the East African Community Secretariat under the able leadership of our illustrious Secretary General, Ambassador Dr. Richard Sezibera for the good preparations and organization of this Summit. 
Excellencies;      
I thank you for the trust and confidence you have reposed in me and my country.  I promise you that I will do my best to live up to your expectation.  I will not let you down nor will my government and the people of the United Republic of Tanzania.    I commend my predecessor, His Excellency Uhuru Kenyatta, for steering the affairs of our regional economic grouping so well.  In the past one year of his leadership a lot has been achieved as it has been very well documented in the Report of the Chairperson of the Council of Ministers.  It has been  one year of good harvest for our region.  I am here to assure you of Tanzania’s commitment to stay the course and propel our integration process to greater heights. Taking over from your good work and strong foundation makes my task ahead to be easy.  We will build on your achievements and take our Community to the next level.
Tanzania and EAC
Excellencies;
         To us in Tanzania, as it is the case with all East African Community partner states, regional integration is a matter of both principle and policy.  We are staunch supporters of the integration process and formidable believers in African Unity and the East African economic and political integration.  We strongly believe that, a divided East Africa, will not be able to claim its rightful place and earn respect in the family of nations on the African continent and on this planet.  We are aware that fragmented markets, isolated industrial value chains, as well as inadequate cross border infrastructure, have no place in the world that we live in today, and the one ahead of us.
We also, sincerely believe that the best and easiest way to realize continental unity and integration, in Africa, is through regional integration as building blocks.   That is why East African integration is very dear and crucial to all of us gathered here. This is why we, in Tanzania wholeheartedly welcome the opportunity to serve as Chairman of the East African Community.  Rest assured that the East African Community is in very safe hands. 
The State of the EAC
Excellencies;
         As we meet here today, and as very elaborately explained by President Kenyatta and Honourable Dr. Mwakyembe, a lot of ground has been covered in the implementation of the East African cooperation and integration agenda.   It is heartwarming indeed, to note that trade has increased in a very big way.  And, the good thing is, all partner states are realizing the benefits.  As we all know very well, trade is the life line of our integration endeavours. In many ways trade drives and holds together any integration process.   
Formal intra-East African Community trade for the period from 2010 to 2013 increased from USD 3,722.9 million to USD 5,805.6 million. There was 6.1 percent increase in trade between 2012 and 2013 alone which is quite remarkable.  This is not a small achievement at all.  It is not merely a matter of numbers, because beneath these numbers lies contacts, relationships and lives touched as well as households transformed. If informal trade statistics were to be captured and included, certainly the volume and value of the trade in the East Africa Community region could be even higher.
 It is high time we sought better ways of formalizing the informal sector and informal trade in the integration process.  This way important economic statistics and information will be captured.  Also, government revenues will be collected.  In this regard, we should direct our energy to supporting small and informal businesses by putting in place enabling environment that includes capacity building, provision of technical and financial services.  In the meantime, we should do all within our power to take requisite action to eliminate all outstanding non-tariff barriers.  
Custom Union
Excellencies;
The East African Community’s flagship integration institution, the Customs Union, is working well.  Currently, all goods produced in East Africa which conform to the agreed principle of Rules of Origin, are moving across the borders of the five Partner States duty free.   The Customs Union has continued to show positive impact on the economies of East African Community partners states.  Government revenues have been increasing year after year. Customs revenue performance for example, was 96.86 percent of the target in 2013 compared to 89.55 percent in 2010.  Customs revenues contributed on the average to about 35 percent of total revenues of the Partner States in 2013. This is a momentous achievement. 
I believe we could have achieved much more had we succeeded in removing all non tariff barriers.  We should do all within our powers to take requisite action to eliminate all outstanding non-tariff barriers.  It is in this regard, therefore, I intend to work closely with all of you in ensuring that non-tariff barriers no longer become scourge encumbering the smooth operation of the Customs Union and Common Market in East Africa.
Excellencies;
Work towards full operationalization of the East Africa Single Customs Territory is also progressing well in all countries.  So far, so good.  It has proven to be useful in reducing non-tariff barriers associated with unnecessary delays in cross border trade and transportation.  It also promotes transparency and efficiency in tax and revenue collection.   The full realization of Single Customs Territory will be a big leap forward in our resolve to increase flow of trade and efficiency within the Customs Union. It makes implementation of the objectives of the Customs Union easier and faster. 
It is encouraging to note the good work being done by East African Community partner states, individually or in collaboration with others, of improving physical infrastructure in the region.  There is visible progress in roads, ports, airports, railways and power subsectors and several related sectors and sub-sectors.  However, there is need to do a lot more because there is a huge infrastructure deficit in our respective countries and in the region at large.  We must seek to do better on mobilization of domestic and external resources for infrastructure development to match with the pace of our fast moving integration.
EAC Common Market
Excellencies;
The ongoing implementation of the Common Market Protocol and the laying of the foundation for the Monetary Union is set to propel our region to become the most advanced regional integration undertaking on the African continent.  However, the 2014 East African Common Market Score Card indicated a slow trend and progress by member states in the implementation of some of aspects of the Common Market Protocol. Fortunately, key recommendations have been proposed on increasing the pace of implementation.  All of us must ensure full implementation of these recommendations.
With regard to Free Movements of Services, for example, we are told, 63 measures out of 500 key sectoral laws and regulations of partner states were indentified to be inconsistent with the Common Market Protocol.  Strangely, professional services accounted for 73 percent of these.  In terms of movement of goods, the scorecard appreciates that, a lot has been done, however, non tariff barriers, particularly those related to sanitary and phytosanitary measures remain notorious.  Only two out of the 20 capital operations are free of restrictions in all partner states.  These are those related to external borrowing by residents and repatriation of proceeds from sale of asset.
 We should be grateful that we have with us a tool we can use to measure progress and guide future action.  It is important that we undertake to play our part accordingly, based on the findings and recommendations. 

EAC Monetary Union
Excellencies;
Let us remain focused on the implementation of the Road Map on the Monetary Union.  Specifically, let us make sure that the timelines agreed by all of us are observed. I further, call upon Partner States to fast track the process of attaining the Macro-Economic Convergence Criteria which is a critical factor in the implementation of the objectives of the East African Community Monetary Union.
As we all know, this stage consummates the East African Community economic integration agenda and, it is the last but one step to the ultimate destiny of the East African Federation.  For sure, successful implementation of this stage will enable us to move to the political federation with greater confidence. We in Tanzania reaffirm our readiness and commitment to walk in step with the other partner states in ensuring that the East African Community integration process stays the course and succeeds.

Peace and Stability in the EAC
Excellencies;
East Africa is a region that can demonstrate with confidence that development and peace are intertwined.  As a matter of fact, we can attribute our success in integration to the peace dividend that we enjoy.  Peace, security, and stability are the lifeline to any meaningful integration.  It ensures predictability in planning and is fundamental in attracting investments, promoting trade and unobstructed movement of people within the Community.
If we are to realize the fullest potential of our integration, we must continue to nurture the peace and stability we have.  We ought to cooperate everywhere and at all levels to secure our region. Fortunately, we are already doing that at the moment, but we should always aspire to do better.  I wish to acknowledge and commend the security cooperation that is taking good shape among the defence and security organs of the partner states.  Such cooperation compliments the East African Community integration process.  It is important that we continue to encourage and strengthen this cooperation to prosper.   We should continue to assist other brothers and sisters of South Sudan and Somalia in their just quest for sustainable peace and security in their respective countries.  I would like to assure them that we will continue to support them until peace is stored.
Excellencies;
This year will be politically exciting for the region.  As President Uhuru Kenyatta has alluded to earlier, we are all aware, the Republic of Burundi will be going to the polls in May 2015 and my own country, the United Republic of Tanzania will be holding the General Elections in October, 2015. For Tanzania, also, in April, 2015 we will hold a referendum on the Proposed New Constitution.  Both elections and the Tanzanian Referendum present a great opportunity for the two East African Community partner states to advance democracy, governance and stability which define and distinguish our region.  It is, also, an opportunity for our region to demonstrate to the entire world and to our own people, that democracy reigns and democratic values have taken root in our midst.

Conclusion
Excellencies;
As I assume the Chairmanship, I look at the future of our Community with a great sense of optimism, pride, trust and confidence and for even bigger achievements in future.  The milestones that we have covered and challenges we have endured, have made us stronger and better prepared to perform even better in future.  I reiterate Tanzania’s commitment and readiness to do everything within our power to steer the affairs of the East African Community to greater heights of success during our term of leadership. 
The success of our integration depends on all of us: leaders, nations and most importantly, the people who are the main purpose of forming the East African Community.  Mine is the humble task of steering our collective efforts.  If it is said that it takes the whole village to raise a child, certainly, it takes all of us to nurture a successful East African Community.   It can be done, let us all play our part. Tanzania will surely play its part accordingly.
With these many words, I thank you for your kind attention.
ASANTENI SANA KWA KUNISIKILIZA!

Thursday, February 19, 2015

Marekani kushirikiana na Tanzania kudhibiti uingizaji wa bidhaa haram Nchini

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (wapili kulia) akiwafafanulia jambo maafisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalamaya nchini Marekani katika mkutano wao uliofanyika jijini Washington DC katika Ukumbi wa Mkutano wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Katika mazungumzo yao maafisa hao wa Marekani wanatarajia kutua nchini Tanzania kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa maafisa Uhamiaji, Polisi na Maafisa Forodha ya kushirikiana kwa Serikali hizo mbili kwa ajili ya kudhibiti mipaka kwa kuzuia bidhaa haramu zikiwemo silaha, dawa za kulevya pamoja na bidhaa mbalimbali za hatari kwa maendeleo ya nchi ambazo zinaweza kuingizwa nchini kutoka kwenye nchi mbalimbali duniani. Waziri Chikawe yupo nchini humo kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani hata hivyo alipata muda wa kuzungumza na maafisa hao baada ya kuomba kukutana naye. Katikati ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (katikati) akimsalimia Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa,jijini New York, nchini Marekani, Tuvako Manongi wakati Waziri huyo alipowasili ubalozi wa Tanzania nchini humo uliopo katika Jiji la Washington DC kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani unaotarajiwa kufanyika jijini humo kesho. Kulia ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (katikati), Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula (kushoto)na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, jijini New York, nchini humo, Tuvako Manongi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumpokea Waziri huyo aliyewasili jijini Washington DC kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani unaotarajiwa kufanyika jijini humo kesho.Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (wanne kushoto), Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula(watatu kushoto), na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, jijini New York, nchini Marekani, Tuvako Manongi wakiwa katika picha ya pamoja na Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani pamoja na Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama ya nchini Marekani. Waziri Chikawe alikutana na Maafisa hao wa Marekani, jijini Washington DC kujadiliana masuala mbalimbali likiwemo la Maafisa hao wakitarajia kuja nchini Tanzania kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa maafisa Uhamiaji, Polisi na Maafisa Forodha ya kushirikiana kwa Serikali hizo mbili kwa ajili ya kudhibiti mipaka kwa kuzuia bidhaa haramu zikwemo silaha, dawa za kulevya pamoja na bidhaa mbalimbali za hatari kwa maendeleo ya nchi ambazo zinaweza kuingizwa nchini kutoka kwenye nchi mbalimbali duniani. Waziri Chikawe yupo jijini Washington DC katika Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani, hata hivyo alipata muda wa kuzungumza na maafisa hao baada ya kuomba kukutana naye. Katikati ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula.

Mama Salma Kikwete atiliana saini mkataba wa upanuzi wa shule ya WAMA-NAKAYAMA na Balozi wa Japani hapa Nchini

Balozi wa Japan nchini Tanzania Mheshimiwa Masaki Okada akizumgumza na Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete pamoja na uongozi wa Taasisi hiyo muda mfupi kabla ya kutiliana saini mkataba wa mradi wa kupanua Shule ya Sekondari WAMA-Nakayama iliyoko Rufiji, Mkoani Pwani tarehe 19.2.2015.
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akitiliana saini na Balozi wa Japan hapa nchini Mheshimiwa Masaki Okada kwenye mradi wa upanuzi wa Shule ya Sekondari WAMA-Nakayama utakaogharimu dola za kimarekani 498,738. Sherehe ya utiaji saini ilifanyika kwenye ofisi za WAMA zilizopo karibu na Ikulu ntarehe 19.2.2015.

Wednesday, February 18, 2015

Waziri Membe amuaga rasmi Balozi wa Saudi Arabia


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akitoa hotuba wakati wa hafla ya Chakula cha Mchana iliyoandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje kwa ajili ya kumuaga   Balozi wa Saudi Arabia hapa nchini, Mhe. Hani Abdullah Mominah  ambaye amemaliza muda wake wa kazi. Hafla hiyo ilifanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro tarehe 18 Februari, 2015
Balozi Hani naye akitoa hotuba mbele ya wageni waalikwa
Mhe. Waziri Membe akimkabidhi zawadi ya picha ya kuchora Balozi Hani
Picha ya pamoja

Picha na Reuben Mchome

===================================

FAREWELL SPEECH BY H.E. BERNARD KAMILLIUS MEMBE (MP), MINISTER FOR FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL CO-OPERATION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA IN HONOUR OF H.E HANI ABDULLAH MOMINAH, THE OUTGOING AMBASSADOR OF THE ROYAL KINGDOM OF SAUDI ARABIA,
18TH FEBRUARY, 2015

Your Excellency Hani Abdullah Mominah, Ambassador of the Royal Kingdom of Saudi Arabia,

Your Excellency Juma Alfani Mpango, Ambassador of the Democratic Republic of Congo and Dean of the Diplomatic Corps,

Your Excellency Dr. Nasri AbuJaish, Ambassador of Palestine and Dean of Arab Diplomatic Corps,

Your Excellences,

Ladies and Gentlemen.


I am humbled to welcome you all to this important occasion. We are here to say goodbye to our dear friend, a brother and a colleague, His Excellency HANI ABDULLAH MOMINAH, the out-going Ambassador of the Royal Kingdom of Saudi Arabia.  Saying goodbye has never been an easy task, however, it is a wise tradition perhaps more so in the diplomatic world.
  
Indeed, we may be separated by time and distance, but nothing will diminish our appreciation to Ambassador Mominah’s strong devotion in the promotion of the cordial relations that exist between our two governments.


Ambassador Mominah, You are the one who developed and cemented the truly and brotherly relationship between our two countries by shaping the new era of our diplomatic relations. We really thank you for your tireless hard work in enhancing the relationship between the two countries.

Ladies and Gentlemen,
Tanzania is vested with massive fertile land for Agriculture and Livestock, this is to say, Tanzania can be a hub for Food Security in the Arab World, I humbly request Your Excellency Hani Abdullah Mominah to be a goodwill Ambassador to the business community in Saudi Arabia to enable them to acquire reliable information concerning investments on Agribusiness.

Furthermore, the Saudi Arabia through its Saudi Funds for Development has played a great and vital role towards development of our country in various sectors which includes the funding of Korogwe – Mwanga – Same Project and roads construction projects in Zanzibar.

Your Excellences,
The Government is overwhelmingly happy for the efforts taken by both countries to finalise the important Agreements in the Fighting against Crime and General Agreement on Economic, Trade, Investments, Technical, Youth and Sports. The Finalisation of these Bilateral Agreements will give pace to new ventures of cooperation between the two countries. We are eager to ink these important agreements as soon as it is convenient. I intend to visit Saudi Arabia for conclusion of these agreements.

Your Excellencies,
Ladies and Gentlemen,

On behalf of the Government and the People of Tanzania, I thank you again for the exemplary work you have done during your tour of duty in Tanzania, for your efforts in understanding Tanzania’s situation as well as for all the projects that you initiated and oversee their conclusion.

These important landmarks have laid the ground work for long-term gains in our partnership, and you will always be remembered through those projects as they yield fruits for many years to come.


Your Excellency,  

Finally, I would like to reassure you that the United Republic of Tanzania will continue to extend full support and cooperation to your successor in the same spirit of brotherhood and friendship our two countries have so far cultivated.
Your Excellencies,
Ladies and Gentlemen,
  
Allow me to use this moment on behalf of the Government and the People of the United Republic of Tanzania – to say goodbye to H.E. Hani Abdullah Mominah, the outgoing Ambassador of the Royal Kingdom of Saudi Arabia in Tanzania.  I wish you safe journey to your new assignments in Bosnia, continued good health and May Allah give you courage and vision and success as you take up your new assignment. Indeed, through you we now have a strong point of contact with Saudi Arabia.
 


Thank you very much.






Rais Kikwete apokea Hati za Utambulisho za Mabalozi kutoka Malawi, Kuwait, Afrika Kusini na Kenya


...Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa Malawi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Hati za Utambuliosho kutoka kwa Balozi mpya wa Malawi hapa nchini, Mhe. Hawa Olga Ndilowe. Balozi Ndilowe amejaza nafasi iliyoachwa wazi na Marehemu Balozi Flossie Gomile-Chidyaonga aliyefariki ghafla mwezi Mei 2014. Hafla hiyo ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam tarehe 18 Februari, 2015
Mhe. Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Ndilowe mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho
Mhe. Rais Kikwete akiwa katika picha  na Balozi Ndilowe pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.)  (mwenya tai ya bluu) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalum, Mhe. Prof. Mark Mwandosya (wa kwanza kulia) pamoja na baadhi ya Maafisa kutoka Ubalozi wa Malawi hapa nchini.
Balozi Ndilowe akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu kabla ya kukabidhi Hati za Utambulisho kwa Mhe. Rais Kikwete
Balozi Ndilowe akisikiliza wimbo wa taifa lake uliopigwa kwa heshima yake mara baada ya kuwasili Ikulu kwa ajili ya kukabidhi Hati za Utambulisho. Kulia ni Balozi Mohamed Maharage Juma , Mkuu wa Itifaki na Kaimu Mnikulu, Bw. Fyataga
Brass Band ya Polisi wakipiga wimbo wa taifa wa Malawi kwa heshima ya Balozi Ndilowe.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Itifaki, Bw. James Bwana wakati wa mapokezi ya Balozi mpya wa Malawi hapa nchini Mhe. Ndilowe.
Maafisa kutoka Ubalozi wa Malawi hapa nchini wakiwa na Bi. Mercy Kitonga, Afisa Mambo ya Nje wakifutilia taratibu za mapokezi ya Balozi Ndilowe (hayupo pichani)
Balozi Ndilowe akiagana na Kiongozi wa Bendi ya Polisi mara baada ya kukabidhi hati zake za utambulisho kwa Balozi.

...Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa Kuwait

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Hati za Utambuliosho kutoka kwa Balozi mpya wa Kuwait  hapa nchini, Mhe. Jasem Ibrahim Al-Najem. Hafla hiyo ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam tarehe 18 Februari, 2015.
Balozi Al-Najem akisalimiana na Waziri Membe mara baada ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Mhe. Rais Kikwete
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Balozi Al-Najem
Mhe. Rais Kikwete na Balozi Al-Najem katika picha ya pamoja na Waziri Membe, Prof. Mwandosya na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Hassan Simba Yahya (kulia)
Mhe. Rais Kikwete akiwa katika mazungumzo na Balozi Al-Najem
Balozi Al-Najem akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Ikulu
Balozi Al-Najem akisikiliza wimbo wa taifa lake wakati wa mapokezi yake Ikulu.
Bendi ya Polisi ikipiga wimbo wa Taifa wa Kuwait na Tanzania


...Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa Afrika Kusini



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Hati za Utambuliosho kutoka kwa Balozi mpya wa Afrika Kusini hapa nchini, Mhe. Thamsanqa Dennis Mseleku. Hafla hiyo ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam tarehe 18 Februari, 2015.
Balozi Mseleku akisalimiana na Waziri Membe
Balozi Mseleku akisalimiana na Kaimu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje, Balozi Yahya huku Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Zuhura Bundala akishuhudia


Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga (kulia) pamoja na Bi. Talha Mohamed na Bw. Mudrick Soragha wakifuatilia kwa makini tukio la uwasilishaji Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa Afrika Kusini hapa nchini (hayupo pichani)


Mhe. Rais Kikwete akizungumza na Balozi Mseleku mara baada ya kupokea hati zake za utambulisho.
Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Bw. Salva Rweyemamu (kulia) akiwa na Mshauri wa Rais masuala ya Diplomasia, Balozi Samwel Shelukindo (kushoto) na Bi. Bundala wakinukuu mazungumzo kati ya Mhe. Rais na Balozi Mseleku (hawapo pichani)

...Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa Kenya


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Hati za Utambuliosho kutoka kwa Balozi mpya wa Kenya hapa nchini, Mhe. Chirau Ali Mwakwere. Hafla hiyo ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam tarehe 18 Februari, 2015.
Mhe. Rais Kikwete akiwa kwenye mazungumzo na Balozi Mwakwere
Picha ya pamoja