Sunday, January 15, 2012

Waziri Membe kukutana na APRM

Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa tarehe 16 Januari, 2012 anatarajiwa kuonana na menejimenti ya Mpango wa Umoja wa Afrika wa Kijitathmini Kiutawala Bora jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.