![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
Hon. Bernard Membe and United Kingdom's Minister for Africa Hon. James Philip Duddridge shaking hands after they held brief talks regarding bilateral relations between UK and Tanzania.
|
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
Hon. Bernard Membe and United Kingdom's Minister for Africa Hon. James Philip Duddridge shaking hands after they held brief talks regarding bilateral relations between UK and Tanzania.
|
![]() |
![]() |
![]() |
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal,
akimkaribisha Balozi wa Tanzania Rwanda, Mhe.Ali Said Siwa, wakati alipofika
ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam.
|
![]() |
Balozi Joseph Sokoine, Mkuu wa Idara ya Ulaya na Marekani akiwa na Wasaidiza wa Rais na Wawakilishi wa Exxonmobil (wanaowekeza pia Tanzania) wakifuatilia sherehe hizo. |
![]() |
Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatiafa wakiwa kwenye sherehe za Usiku wa Jakaya |
![]() |
Mhe. Bernard Membe akimpongeza Balozi wa Heshima Ahmed Issa baada ya sherehe za kumpongeza Rais Kikwete zilizoandaliwa na Wanadiaspora wa Tanzania nchini Marekani. |
Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Dubai, Mhe. Lootah akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Ofisi ya Makamu wa Rais |
Mhe. Dkt. Bilal akizungumza na Mhe. Lootah |
Mazungumzo yakiendelea. |
Makamu wa Rais, Mhe. Dkt. Gharib Bilal akiagana na Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai mara baada ya mazungumzo yao |
Wakiwa katika picha ya pamoja. Picha na Reginald Philip |
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Maimuna Tarishi akisalimiana na Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai Mhe. Omar Mjenga |
Mazungumzo yakiendelea |
Kulia ni Mkurugenzi wa Sera na Mipango katika Wizara ya Maliasili na Utalii, Bw Iddi Mfunda akichangia katika mazungumzo. |
Balozi Mdogo, Omar Mjenga akichangia jambo katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Wizara ya Maliasili na Utalii |
Mhe. Lootah akichangia jambo wakati wa mazungumzo huku wajumbe wengine wakimsikiliza |
Picha ya pamoja
Reginald Philip
|
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai Mhe. Omar Mjenga akizungumza mara baada ya kumaliza kuangalia mradi wa nyumba hizo za gharama. Picha na Reginald Philip |
Mkuu wa Majeshi Nchini Tanzania Davids Mwamunyange akisalimiana na Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai (NAKHEEL) Mhe. Ali Rashid Ahmed Lootah alipo mtembelea Ofisini kwake jijini Dar es salaam. |
Mh. Davis Mwamunyange akifanya mazungumzo na Mhe. Lootah mara tu baada ya kuwasili ofisini kwake, Mhe. Lootah katika ziara yake anaangalia fursa za uwekezaji katika uchumi, ujenzi wa nyumba na makaazi |
Afisa Mambo ya Nje Bw. Hangi Mgaka akifuatilia kwa makini mazungumzo kati ya Mhe. Davis Mwamunyange na Mhe. Lootah (Hawapo pichani) na (wakwanza na wapili kutoka kulia) ni wajumbe walioambatana na Mhe. Lootah katika ziara |
Viongozi mbalimbali wa Serikali wakisikiliza kwa makini mazungumzo hayo. |
Mazungumzo yakiendelea. |
Kulia ni Balozi Mdogo Omar Mjenga akizungumza jambo huku Mhe. Davis mwamunyange (wakwanza kushoto) na Mhe. Lootah (katikati) wakimsikiliza wakielekea nje mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo. |
Katikati ni Mkurugenzi wa Nyumba kutoka Dubai Mhe. Ali Rashid Ahmed lootah, nawa kwanzakushoto ni Mkuu wa Majeshi nchini Tanzania Mhe. Davis Mwamunyange na wakwanza kulia ni Balozi mdogo wa Tanzania, Dubai Mhe. Omar Mjenga wakiwa katika picha ya pamoja. |
Picha ya Pamoja.
Picha na Reginald Philip.
|
![]() |
Mhe. Bernard K. Membe, Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa na Mhe. Begum Taj, Balozi wa Tanzania Paris Ufaransa mara baada ya kuwasili Paris, Ufaransa leo tarehe 17 Septemba 2014. |
![]() |
Waziri Membe akiwa kwenye mazungumzo na mwakilishi wa kampuni ya Airbus Bw. Pierre-Etienne Courage. Akiwa Mjini Paris, Waziri Membe pia alikutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi wa Kampuni ya Renault. Pia alipokea taarifa ya maendeleo ya ununuzi wa jengo jipya la Ubalozi wa Tanzania nchini humo kutoka kwa Balozi Taj. Baada ya mikutano hiyo Mhe. Membe alielekea nchini Marekani kuhudhuria mikutano ya Umoja wa Mataifa. Wengine pichani ni maafisa wakuu wa Wizara ya Mambo ya Nje James Bwana na Olivia Maboko. Upande wa kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Ulaya na Marekani Mama Vicky Mwakasege na Balozi Begum Taji. |
![]() |