Sunday, January 27, 2013

Rais Kikwete ahudhuria Mkutano wa AU


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa ufafanuzi kuhusu hoja mbalimbali zilizoibuliwa na jopo la APRM kuhusu Demokrasia na Utawala Bora nchini Tanzania. Mhe. Rais alitoa ufafanuzi huo mbele ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika mjini Addis Ababa, Ethiopia. 

Mhe. Jacob Zuma, Rais wa Afrika Kusini na Mhe. Paul Kagame, Rais wa Rwanda nao walihudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa AU ambapo Tanzania iliwasilisha ripoti yake kuhusu Demokrasia na Utawala Bora.

Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akiendelea kutoa ufafanuzi kuhusu masuala ya Demokrasia na Utawala Bora nchini Tanzania.  Wengine katika picha ni Waziri Bernard K. Membe (Mb) (wa pili kulia), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, wakiwemo pia wajumbe na Wabunge waliofuatana na Mhe. Rais Kikwete kuhudhuria Mkutano huo. 

Mhe. Rais Kikwete (kushoto) akibadilishana mawazo na Mhe. Salum Barwany, Mbunge wa Jimbo la Lindi Mjini nje ya ukumbi wa mkutano nchini Ethiopia.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Kikwete katika picha ya pamoja na ujumbe aliofuatana nao nchini Ethiopia ambao unajumuisha Mawaziri, Wabunge na Timu ya APRM, Tanzania.

Friday, January 25, 2013

Mhe. Waziri Membe afanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa SADC


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, (kushoto) Mhe. Bernard K. Membe (Mb) akibadilishana mawazo na Katibu Mtendaji (kulia) wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) walipokutana nchini Ethiopia katika mkutano wa AU.

Mhe. Membe anasisitiza jambo wakati alipokuwa anafanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa SADC, anayefuata baada ya Mhe. Waziri ni Mhe. Joram Biswaro, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia na Balozi Vincent Kibwana, Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Mhe. Waziri Bernard Membe (kulia) akisikiliza jambo kutoka kwa Mhe. Joram Biswaro, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia nje ya ukumbi wa mkutano mjini Addis Ababa. mwingine katika picha ni mmoja wa ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa AU.



Ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Umoja wa Afrika (AU)


Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Bibi Nkosazana Dlamini-Zuma akitoa hotuba ya ufunguzi ya Mkutano wa Mawaziri wa Nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa, Ethiopia. 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb) akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU wakati alipokuwa akitoa hotuba ya ufunguzi ya Mkutano wa Mawaziri wa AU.


Bw. Ally Ubwa, Afisa (kulia) kutoka Kitengo cha Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa naye akisikiliza kwa makini hotuba ya Bibi Dlamini-Zuma.




Na Ally Kondo, Addis Ababa

Kamisheni ya Umoja wa Afrika imkusudia kuandaa Mpngo Mkakati wa miaka 4 (2014-2017) ambao ndani yake utakuwa na vipaumbele 8 vitakavyopendekezwa kwa ajili ya kutekelezwa katika kipindi hicho.

Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa Kamisheni hiyo, Bibi Nkosezana Dlamini- Zuma wakati alipokuwa anafungua mkutano wa Mawaziri wa Nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) ulioanza nchini Ethiopia siku ya Alhamisi tarehe 24 Junuari, 2013.

Bibi Dlamini-Zuma alivitaja vipaumbele hivyo kuwa ni kuwajengea uwezo wanadamu hususan katika masuala ya elimu, afya, sayansi, utafiti, teknolojia na ubunifu; kuendeleza kilimo na usindikaji wa mazao; maendeleo ya kiuchumi shirikishi kupitia mapinduzi ya viwanda, ujenzi wa miundombinu, kilimo, biashara na uwekezaji; na kujenga na kudumisha amani, utulivu na utawala bora.

Vipeumbele vingine ni kuwashirikisha wanawake na vijana katika maamuzi, utafutaji wa mitaji, kuufanya Umoja wa Afrika kuwa ni chombo cha wanachama wenyewe kwa kujenga mfumo madhubuti wa mawasiliano na mwisho kuimarisha uwezo wa taasisi za AU pamoja na vyombo vyake vyote ili vitekeleze majukumu yake ipasavyo.

Bibi Zuma aliendelea kueleza kuwa sera, mikakati na mpango kazi wa namna ya kutekeleza maeneo yote hayo yaliyoainishwa vimeshaandaliwa, ila kinachosubiriwa ni michango ya mawazo kutoka nchi wanachama na Jumuiya za Kikanda ili zibainishe matokeo maalum ya kila eneo.

Aidha, Mwenyekiti wa Kamisherni ya AU aligusia suala la mizozo ya kisiasa inayozuka kila siku katika Bara la Afrika ambayo inazorotesha amani na utulivu katika nchi za Afrika. Alizihimiza nchi za Afrika kuwa tayari kukabiliana na machafuko ya kisiasa hususan kwa kutokomeza vyanzo vinvyosababisha kuzuka kwa mizozo hiyo.

Ili kukabiliana na tatizo la mizozo katika Bara la Afrika,  alisisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kukamilisha uundwaji wa kikosi maalum cha kijeshi ambacho kitakuwa tayari wakati wowote kupelekwa katika nchi zitazokumbwa na mizozo ya kisiasa.   

Bibi Zuma alihitimisha kwa kueleza kuwa lazima kuwe na uwiano kati ya kutafuta amani na kupata maendeleo ya kiuchumi, kwani Afrika haitaweza kupiga hatua ya kimaendeleo bila ya masuala yote hayo mawili kushughulikiwa kwa pamoja. 

President Kikwete congratulates India on its 63rd Anniversary


Jakaya Kikwete - Doug Pitt Named Goodwill Ambassador Of Tanzania Hosted by President Kikwete


The President of the United Republic of Tanzania, His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete, has sent a congratulatory message to His Excellency Pranab Mukherjee, President of the Republic of India, on the occasion of the Sixty Third anniversary of the Republic of India.

The message reads as follows;

“His Excellency Pranab Mukherjee,
President of the Republic of India,
New Delhi,
INDIA.

Your Excellency,

On behalf of the Government and people of the United Republic of Tanzania, I wish to extend my heartfelt congratulations to you and through you, to the Government and the people of India on the occasion of celebrating the 63rd anniversary of the Republic Day on 26th January, 2013.

We in Tanzania greatly appreciate the friendship and partnership which have existed between our two countries and people over the decades. I wish to take this opportunity to reaffirm our continued commitment of working closely with you to further strengthen the existing brotherly relations and mutual cooperation of our people and countries.

Please accept, Your Excellency, the assurances of my highest consideration and best wishes for your personal good health as well as continued peace and prosperity of the people of the Republic of India.”

Issued by: Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation,
Dar es Salaam.

25th January, 2013


Monday, January 21, 2013

Rais Kikwete ziarani Ufaransa; aambatana pia na Waziri Membe


Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akikagua gwaride lililoandaliwa rasmi kwa heshima yake na Rais Francois Hollande wa Ufaransa, mapema leo mjini Ufaransa.  Mhe. Rais Kikwete yuko nchini Ufaransa kwa ajili ya ziara ya kiserikali ya siku tano. 

Mhe Rais Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Mhe. Rais Francois Hollande wa Ufaransa katika Ikulu ya nchi hiyo maarufu kama Champs L'Elyesee mapema leo jijini Paris. 

Rais Kikwete (wa tatu kushoto) pamoja na ujumbe wake kutoka Tanzania, wakiwa katika mazungumzo rasmi na mwenyeji wake Rais Francois Hollande wa Ufaransa na ujumbe wake.  Mazungumzo hayo yalifanyika mapema leo katika Ikulu ya champs L'Elysee jijini Paris.  Mwingine katika picha ni Mhe. Waziri Bernard K. Membe (Mb) (wa pili kushoto), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.    

Rais Francois Hollande wa Ufaransa akimsindikiza Rais Kikwete wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kumaliza mazungumzo yao mapema leo katika Ikulu ya nchi hiyo. 

Rais Kikwete na mwenyeji wake Rais Francois Hollande wa Ufaransa wakiongea na waandishi wa habari mara baada ya mazungumzo yao.  (PICHA NA IKULU)


Friday, January 18, 2013

SADC DECLARATION ON MADAGASCAR



PRESS RELEASE


The Chairman of The Organ Troika on Politics, Defence and Security of the Southern African Development Community (SADC), His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has welcomed and fully commends the public declaration made last night (Tuesday, January 15, 2013) by His Excellency Andry Rajoelina, President of the Transition of Madagascar that he will not stand as a candidate in the forthcoming Presidential Elections scheduled for this year.

President Kikwete has commended President Rajoelina for this courageous decision which demonstrates beyond any reasonable doubt his commitment and his aspirations to the maintenance and promotion of peace in Madagascar and his patriotism to his country and to his own fellow Malagasy people.

Following this declaration, the chairman of the Organ Troika on behalf of SADC Summit has now issued the SADC Declaration on Madagascar as adopted by the Organ Troika Summit held in Dar Es Salaam on the 10 – 11th of January, 2013. The Declaration was embargoed pending the statement by President Rajoelina.
 
 
Following is the Declaration:  
 
 
 
 
SADC DECLARATION ON
 
 MADAGASCAR


Recalling all the decisions taken by the SADC Summits of Heads of State and Government on the political situation in Madagascar;

Recognizing the need of preserving the interests of the Malagasy people;

Reaffirming:

(i)          that the Roadmap remains the only viable mechanism for ending the crisis in Madagascar;
 
(ii)        further our commitment to help the Malagasy people put an end to the political crisis in Madagascar and return the country to constitutional normalcy; 

(iii)      the need of respecting the electoral calendar as adopted by the National Independent Electoral Commission of the Transition (CENIT) and the United Nations (UN). 

We, Presidents Jakaya Mrisho Kikwete (of the United Republic of Tanzania), Hifikepunye Pohamba (of the Republic of Namibia), and Jacob Gedleyihlekisa Zuma (of the Republic of South Africa) of the SADC Organ Troika and President Armando Emilio Guebuza, (of the Republic of Mozambique), Chairperson of SADC, hereby decide as follows:  
1.          Welcome and commend the  undertaking made by H.E. Andry Rajoelina, President of Transition in Madagascar and H.E. Marc Ravalomanana, former President of Madagascar to the effect that they will not stand for the forthcoming Presidential and Parliamentary elections;

2.          Urge the Malagasy people to promote the spirit of reconciliation, peace and stability  and to refrain from all acts of destabilization in the country; 

3.          Also urge the Malagasy political stakeholders to assume their responsibility of peacefully delivering Madagascar out of the crisis; 

4.          Reiterate that Government Members should resign from office sixty (60) days before the election date, should they decide to run for the legislative and/or presidential elections as provided for in Article 14 of the Roadmap; 

5.          Also reiterate that “the President, the Government, the Heads of Institutions and the entire administrative machinery of the Transition shall remain neutral during the transition period, particularly in the electoral process” (Article 15 of the Roadmap); 

6.          Further reiterate the SADC endorsement of the electoral calendar of the Presidential and Parliamentary Elections scheduled for May and July 2013;

7.          Call upon the Malagasy Parliament of Transition to enact legislation to grant comprehensive amnesty to H.E. Andry Rajoelina, President of the Transition in Madagascar and H.E. Marc Ravalomanana, former President of Madagascar. This amnesty should also be extended to the Malagasy security forces;  

8.          Urge the Malagasy Parliament of Transition to enact legislation on status of former Malagasy Presidents. This legislation should include relevant privileges and immunities; 

9.          SADC leadership and the SADC Mediator on Madagascar will continue to be seized with the matter.
 

Done in Dar es Salaam

United Republic of Tanzania

10 January 2013

 

 
Issued by:
 

Directorate of Presidential Communications,

 
State House
 
Dar Es Salaam
 
16th January, 2013
 
 

Thursday, January 17, 2013

TAARIFA KWA WATANZANIA WAISHIO MAENEO YA UWAKILISHI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI AFRIKA KUSINI

                                                                

TAARIFA KWA WATANZANIA WAISHIO KATIKA MAENEO YA UWAKILISHI WA UBALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NCHINI AFRIKA KUSINI

Mhe. Radhia N.M. Msuya, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Afrika Kusini anawatangazia watanzania wote waishio katika maeneo ya uwakilishi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Afrika Kusini yaani Afrika Kusini, Lesotho, Botswana na Namibia kuwa wanaombwa kujiandikisha kupitia anuani ya Ubalozi ifuatayo: administration@tanzania.org.za ili kurahisisha msaada wakati watanzania wanapopatwa na shida mbali mbali.

Sambamba na taarifa hii, Mheshimiwa Balozi anapenda kuzishukuru Jumuiya za watanzania waishio katika maeneo ya uwakilishi wake kwa ushirikiano wa dhati wanaoutoa kwa Ubalozi wao katika kutekeleza majukumu yake ya kila siku ya kuimarisha mashirikiano na nchi za uwakilishi huo.

Tunawashukuru na kuwatakia heri ya mwaka mpya, 2013!

Ahsanteni.

Imetolewa na,

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Pretoria,
JAMHURI YA AFRIKA KUSINI

17 Januari, 2013


Unapojibu tafadhali taja:
TZPR/I.20/I 





Indonesia presents Letters of Credence


H.E. Zakaria Anshar, the new Ambassador of Indonesia to the United Republic of Tanzania earlier today presented Letters of Credence to H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete at the State House, in Dar es Salaam.   

Hon. Bernard K. Membe (MP) (right), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation was also there to witness the presentation.  Others are Ms. Samira Diria (center), Acting Director of the Department of Asia and Australasia and Mr. Charles Faini (left), Foreign Service Officer. 

H.E. Ambassador Anshar being introduced to Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation.  Witnessing the introduction is Ms. Diria. 

H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete (center) in a photo with H.E. Zakaria Anshar, the new Ambassador of Indonesia to the United Republic of Tanzania and his wife Madame Anshar. 

President Kikwete in a discussion with Ambassador Anshar. During their discussion, President Kikwete expressed his satisfaction with bilateral relations that exist between the two countries.  He hoped that the cooperation will continue particularly in the fields of education, agriculture and development training programmes.


.... earlier ....

H.E. Ambassador Zakaria Anshar (front-center), the new Ambassador of Indonesia to the United Republic of Tanzania observing the Indonesia National Anthem played by the Brass Band (not in the photo) prior to his presentation of Letters of Credence to H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete.

The Brass Band playing the Indonesia National Anthem. 



All photos by Tagie Daisy Mwakawago 


Mozambique presents Letters of Credence


Dr. Vicente Mebunia Veloso, the High Commissioner - designate of Mozambique to the United Republic of Tanzania signs a visitor's book upon his arrival at the State House earlier today to present his Letters of Credence.

Dr. Vicente Mebunia Veloso, the High Commissioner - designate of Mozambique presents Letters of Credence to H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania.  

President Kikwete (center) introduces High Commissioner Vicente Mebunia Veloso to Hon. Bernard K. Membe (MP) (left), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation.  Ambassador Veloso is the new High Commissioner of Mozambique to the United Republic of Tanzania. 

High Commissioner Dr. Vicente Mebunia Veloso of Mozambique meets Ambassador Vincent Kibwana, Director of the Department of Africa in the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation. 

H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete in a candid talk with High Commissioner Vicente Mebunia Veloso earlier today in the State House, Dar es Salaam.  During their discussion, the two countries expressed their firm desire to continue strengthening their fraternal cooperation that have existed for years.  

The Brass Band playing the Mozambique National Anthem.

H.E. Ambassador Vicente Mebunia Veloso, the new High Commissioner of Mozambique to the United Republic of Tanzania (front-center), observing the Mozambique National Anthem being played by the Brass Band.  Also in the photo is Mr. Andrew Mwandembwa (front-right), Acting Chief of Protocol and Mr. Shaban Gurumo (front-left), State House Comptroller. 


All photos by Tagie Daisy Mwakawago 


Wednesday, January 16, 2013

President Boni Yayi of Benin ends his two-days official tour


H.E. Boni Yayi (2nd left), President of the Republic of Benin enjoys the traditional dancers before his departure at the end of his two-days tour in the country.  Also in the photo is H.E. Jakaya Mrisho Kikwete (3rd left), President of the United Republic of Tanzania and Mr. Said Meck Sadick, Regional Commissioner of Dar es Salaam. 

Traditional dancers entertaining President Yayi (not in the photo) before his departure. 

President Boni Yayi (center), President of the Republic of Benin says goodbye to Hon. Bernard K. Membe (MP) (right), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation after ending his two-days official tour in Dar es Salaam.  Witnessing the special moment is H.E. Jakaya Mrisho Kikwete (left), President of the United Republic of Tanzania. 

President Boni Yayi says goodbye to President Kikwete, ending his two-days official tour with his Counterpart.  Others in the photo are Hon. Membe (right) and Mr. Said Meck Sadick (2nd right), Regional Commissioner of Dar es Salaam. 

President Boni Yayi waves goodbye to President Kikwete (not in the photo), before his plane took off. 

President Kikwete (3rd right) and Hon. Membe (3rd left) wave goodbye to President Boni Yayi of the Republic of Benin, who had just finished his two-days official tour in Dar es Salaam. 

Hon. Bernard K. Membe (MP) (right), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation shares a light moment with Ambassador Vincent Kibwana (center), Director of the Department of Africa in the Ministry of Foreign Affairs and Ms. Hellen, a Foreign Service Officer. 


All photos by Tagie Daisy Mwakawago 



President Kikwete holds official talks with President Yayi of Benin


H.E. Jakaya Mrisho Kikwete (right), President of the United Republic of Tanzania today met with H.E. Boni Yayi, President of the Republic of Benin for official talks in the State House, in Dar es Salaam.  President Yayi who is also a Chairman for the African Union, is in the country for an official visit to discuss various matters including political situation in Madagascar, the situation in Mali and the progress in Somalia.  

President Kikwete gives his opening remarks during a press conference, highlighting recent SADC Organ Summit he Chaired, which was held on January 10 to 11, 2013 in the State House, in Dar es Salaam.   

During the press conference, President Kikwete talked about political impasse in Madagascar, saying that it was a work in progress.  However, he welcomed and commended President Andry Rajoelina of Madagascar for taking a bold, patriotic decision not to contest the upcoming elections for the sake of peace and stability of the Madagascar.  

President Kikwete further noted that, the Southern Africa Development Community (SADC) had made a Declaration last week in respect to political situation in Madagascar.  However, he said that the Declaration was placed on hold until President Rajoelina fulfills his commitment of not contesting the upcoming election in that country.  

"Given that President Rajoelina has done so, the SADC now will proceed and release the said Declaration", said President Kikwete.  

President Kikwete also commended former President of Madagascar, Mr. Mark Ravalomanana for taking a stand of not contesting the election.  "It is an expression of greater political maturity for putting first the interest of people of Madagascar before himself," said President Kikwete. 

In concluding his remarks, President Kikwete expressed his pleasure of what had transpired in respect to Madagascar, reaffirming SADC's commitment to work with people of Madagascar before and during the elections, until political normalcy returns back in that country. 


Government Delegation from the Republic of Benin included Mr. Nassirou Arifari Bako (left), Minister for Foreign Affairs, Mrs. Mariam Aladji (center), Special Advisor to the President - Diplomatic Affairs and Mr. Aganu Laisi, Interpreter.

President Kikwete concluding his remarks before members of the press (not in the photo).  Listening on is his counterpart H.E. Boni Yayi of the Republic of Benin. 

Hon. Bernard K. Membe (MP), (center), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation listening to President Kikwete (not in the photo) during the press conference.  Others are Mr. Nassirou Arifari Bako (right), Minister for Foreign Affairs of Benin and Ambassador Liberata Mulamula (left), Senior Advisor to President Kikwete - Diplomatic Affairs. 

President Boni Yayi of the Republic of Benin gives his remarks during the press conference.  In his remarks, President Yayi extended his appreciation to President Kikwete (right) for his hospitality during his two-days official visit.  

President Yayi said he was also pleased to hear the report on the recent SADC Organ Troika Summit that President Kikwete had chaired, in particular, the political situations in Madagascar, Zimbabwe and Eastern Congo DRC.  

During the press conference, President Yayi said in his meeting with his counterpart H.E. Kikwete, the two Presidents discussed other regional areas such as Somalia and Mali.  

He updated the press on the current situation in Mali, saying that currently there are troops being deployed from Nigeria, Benin and Burkina Faso heading to that region.  President Yayi welcomed other member States from the African Union to deploy more troops to Mali to secure the country's fallout.   

In concluding his remarks, President Yayi extended his invitation to President Kikwete to visit his country Benin, to the latter that President Kikwete accepted wholeheartedly. 


Hon. Bernard K. Membe (MP) (right), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation exchanges views with Ambassador Liberata Mulamula (left), Senior Advisor to President Kikwete (Diplomatic Affairs). 

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete (right), President of the United Republic of Tanzania in a photo with H.E. Boni Yayi (left), President of the Republic of Benin.


All photos by Tagie Daisy Mwakawago