Monday, September 14, 2015

Rais Kikwete apokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Sudani.


Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akimpokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudani Prof. Ibrahim Ahmed Ghandour Ikulu jijini Dar es Salaam, alipowasilisha ujumbe rasmi kutoka kwa Rais wa Sudan Mhe. Omar Al-Bashir leo tarehe 14-08-2015.
 Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudani Prof. Ibrahim Ahmed Ghandour, akimkabidhi rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ujumbe rasmi kutoka kwa Rais wa Sudan Mhe. Omar Al-Bashir leo tarehe 14-08-2015, ikulu jijini Dar es Salaam.
 Mhe. Rais Kikwete akisoma ujumbe huo kutoka kwa rais wa Sudan Mhe. Omar Al-Bashir.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (wa kwanza kushoto), pamoja na viongozi wengine waandamizi wa Wizara hiyo na Ikulu wakifuatilia mazungumzo hayo.

Ujumbe ulioambatana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudani Prof. Ibrahim Ahmed Ghandour, nao wakifuatilia kwa makini mazungumzo hayo.
picha ya pamoja
===========================

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (Mb.) pamoja na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudani Prof. Ibrahim Ahmed Ghandour wakizungumza na waandishi wa habari katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam muda mfupi baada ya kumaliza mazungumzo na Mheshimiwa Rais.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikalini na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bi. Mindi Kasiga (kulia) na Ujumbe wa Waziri ya Mambo ya Nje wa Sudani Prof. Ibrahim Ahmed Ghandour, nao wakifuatilia kwa makini mazungumzo hayo na waandishi wa habari.
Mkutano na waandishi wa habari ukiendelea.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe wakifurahia jambo na  mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudani Prof. Ibrahim Ahmed Ghandour, wakati wakizungumza na waandishi wa habari.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudani Prof. Ibrahim Ahmed Ghandour, akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Afrika wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bi. Zuhura Bundala (kushoto) muda mfupi kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe, akiteta jambo na Balozi wa Sudani hapa nchini Mhe. Dkt. Yassir Mohamed Ali, huku Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bi. Mindi Kasiga akifuatilia mazungumzo hayo.
=======================
PICHA NA REUBEN MCHOME.

Sudanese President's Special Envoy Arrives in Dar

Hon. Bernard K. Membe (MP.), Tanzanian Minister for Foreign Affairs and International Cooperation has received his counterpart of Sudan, H.E. Prof. Ibrahim Ahmed Ghandour, Minister for Foreign Affairs of the Republic of the Sudan and President Omar Al-Bashir Special Envoy today. 

Minister Ghandour is expected to meet with H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania at the State House Dar es Salaam. 


Hon. Bernard K. Membe (MP.), Tanzanian Minister for Foreign Affairs and International Cooperation  receiving his counterpart of Sudan, H.E. Prof. Ibrahim Ahmed Ghandour, Minister for Foreign Affairs of the Republic of the Sudan at the Julius Nyerere International Airport. 

Press release


H.E. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent condolence message to Rt. Hon. Shinzo Abe, Prime Minister of Japan following the tragic loss of life and suffering as a result of the ongoing floods associated with torrential rain.

The message reads as follows:

“Rt. Hon. Shinzo Abe
Prime Minister of Japan,
Tokyo
JAPAN

I am deeply saddened at the tragic loss of life and suffering that Japan has experienced as a result of the ongoing floods associated with torrential rain former tropical storm Etau. I offer my heartfelt condolences to the families and friends of those who have been killed, and my deep sympathy to all whose lives have been affected.

Please accept, Your Excellency the assurances of my highest consideration.

Issued by the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, DAR ES

SALAAM, 11th September, 2015

Sunday, September 13, 2015

PRESS RELEASE

King of Saudi Arabia,  H.H. Salmanbin Abdulaziz Al Saud


PRESS RELEASE 

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a condolences massage to H.R. H. Salman bin Abdulaziz Al Saud, King of the Kingdom Saudi Arabia on great sadness the death of 107 pilgrims and more than 200 others injured due to collapse of construction crane at the Holy Mosque in Makka, Saudi Arabia on 11th September 2015.


The massage reads as follows:

“His Royal Highness Salman bin Abdulaziz Al Saud,
King of Saudi Arabia and Custodian of the Two Holy Mosques,
RIYADH,
SAUDI ARABIA

Your Royal Highness,

We have learned with great sadness the death of 107 pilgrims and more than 200 others injured due to collapse of construction crane at the Holy Mosque in Makka, Saudi Arabia on 11th September 2015.

On behalf of the Government and the people of the United Republic of Tanzania, I wish to convey to you and through you to the people of the Royal Kingdom of Saudi Arabia and all the bereaved pilgrims’ families, our heartfelt condolences and sympathies.

During this time of grief, our hearts and prayers are with the family of the pilgrims and all other people who have been inflicted by this tragic incident.

May Almighty Allah grant quick recovery to all wounded people.


Please accept, Your Royal Highness and dear colleague, the assurance of my highest consideration.


Issued by: The Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, Dar es Salaam
13th September, 2015


Saturday, September 12, 2015

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI  
Taarifa ya kuanguka Msikiti Makhah-Saudi Arabia, Watanzania Salama.

Kufuatia mvua  ilioambatana na upepo mkali na kusababisha kuanguka kwa mashine ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah, msikiti huo umeanguka na kusababisha vifo vya mahujaji.  

Kwa mujibu wa Televisheni ya Saudi Arabia, Saudi TV hadi sasa watu 107 wamefariki dunia na wengine takriban 200 wamejeruhiwa. 

Kufuatia ajali hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kupitia Ofisi za Ubalozi Riyadh unathibitihsa kuwa Mahujaji wa Tanzania wameanza kuwasili Jeddah kuelekea Makkah leo tarehe 12 Septemba 2015 wakitokea Madina. Hadi sasa Wizara haijapokea taarifa ya Watanzania waliopoteza maisha wala kujeruhiwa kwenye ajali hiyo.
MWISHO.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali kwa Umma,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,

12 Septemba, 2015