Tuesday, September 13, 2011

Mhe. Haule akutana na Mjumbe Maalum kutoka Australia

(Picha na Mindi Kasiga Tarimo wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa)


Maandalizi ya Mkutano wa
Jumuiya ya Madola yaanza

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John M. Haule akiwa kwenye mazungumzo na Mjumbe Maalum kutoka Serikali ya Australia, Bw. Leslie Rowe leo tarehe 12 Septemba, 2011.

Bw. Rowe yuko nchini kwenye ziara ya kikazi ya siku tatu kama sehemu ya maandalizi ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Jumuiya ya Madola unaotarajiwa kufanyika mjini Perth, Australia mwishoni mwa mwezi ujao. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Bibi Dora Msechu.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.