Wednesday, August 5, 2020

MKUTANO MAALUM WA 41 WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI


Kutoka Kushoto; Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (Mb) Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary M. Mwanjelwa (Mb) wakiwa katika Mkutano Maalum wa 41 uliokuwa ukiendelea kwa njia ya Mtandao (Video Conferencing). 



Wajumbe wa Mkutano wakifuatilia wa Mkutano Maalum wa 41 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki uliokuwa ukiendelea kwa njia ya Mtandao (Video Conferencing). 


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (Mb) Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akifuatilia Mkutano wa Maalum wa 41 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Masahariki uliokuwa ukiendelea

Kutoka Kushoto; Mkurugenzi wa Siasa, Ulinzi na Usalama Mhe. Balozi Stephen Mbundi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (Mb) Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary M. Mwanjelwa (Mb) wakiwa katika Mkutano Maalum wa 41 uliokuwa ukiendelea kwa njia ya Mtandao (Video Conferencing). 

Mkutano ukiendelea



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.