Wednesday, August 5, 2020

MKUTANO MAALUM WA 41 WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI


Kutoka Kushoto; Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (Mb) Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary M. Mwanjelwa (Mb) wakiwa katika Mkutano Maalum wa 41 uliokuwa ukiendelea kwa njia ya Mtandao (Video Conferencing). 



Wajumbe wa Mkutano wakifuatilia wa Mkutano Maalum wa 41 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki uliokuwa ukiendelea kwa njia ya Mtandao (Video Conferencing). 


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (Mb) Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akifuatilia Mkutano wa Maalum wa 41 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Masahariki uliokuwa ukiendelea

Kutoka Kushoto; Mkurugenzi wa Siasa, Ulinzi na Usalama Mhe. Balozi Stephen Mbundi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (Mb) Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary M. Mwanjelwa (Mb) wakiwa katika Mkutano Maalum wa 41 uliokuwa ukiendelea kwa njia ya Mtandao (Video Conferencing). 

Mkutano ukiendelea



Sunday, August 2, 2020

BALOZI MTEULE WA MAREKANI NA BALOZI MTEULE WA VIET NAM WAKABADHI NAKALA ZA HATI ZA UTAMBULISHO


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akipokea nakala ya hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Viet Nam Nchini Tanzania Mhe.Nguyen Nam Tien,na baadae kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akiwa katika mazungumzo na Balozi Mteule wa Viet Nam Nchini Tanzania Mhe.Nguyen Nam Tien,muda mfupi kabla ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Balozi Mteule wa Viet Nam Nchini Tanzania Mhe.Nguyen Nam Tien akimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi mara baada ya kumkabidhi nakala ya hati za utambulisho

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi na Balozi Mteule wa Viet Nam Nchini Tanzania Mhe.Nguyen Nam Tien wakiwa katika mazungumzo pamoja na baadhi ya maafisa na Wakurugenzi kutoka pande zote mbili 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akipokea nakala ya hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Marekani Dkt. Donald John Wright na baadae kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Balozi Mteule wa Marekani Nchini Tanzania Dkt. Donald John Wright akimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi mara baada ya kumkabidhi nakala ya hati za utambulisho


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akiwa katika mazungumzo na Balozi Mteule wa Viet Nam Nchini Tanzania Mhe.Nguyen Nam Tien,muda mfupi kabla ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi na Balozi Mteule wa Marekani Nchini Tanzania Dkt. Donald John Wright wakiwa katika mazungumzo pamoja na baadhi ya maafisa na Wakurugenzi kutoka pande zote mbili 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge akisalimiana na Balozi Mteule wa Viet Nam hapa Nchini Mhe. Nguyen Nam Tien muda mfupi kabla ya kukabidhi nakala ya hati za utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (hayupo pichani)
 

Saturday, August 1, 2020

PROF. KABUDI AZINDUA MAONESHO YA NANE NANE MKOANI MOROGORO




Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mkoani Pwani Mhe Jokate Mwongelo alipowasili katika viwanja vya Mwalimu Nyerere Mkoani Morogoro katika ufunguzi wa siku ya wakulima nanenane

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akivalishwa skafu na mmoja wa maskauti alipowasili katika ufunguzi wa maonesho ya siku ya wakulima nane nane Mkoani Morogoro

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akisaini kitabu cha wageni alipowasili katika viwanja vya Mwalimu Nyerere kunakofanyika maonesho ya siku ya wakulima nane nane Mkoani Morogoro.Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Abubakar Kunenge
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akimsikiliza mmoja wa wafanyakazi wa bodi ya Sukari katika viwanja vya Mwalimu Nyerere kunakofanyika maonesho ya siku ya wakulima nane nane Mkoani Morogoro

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akiangalia moja ya mashine ya mano ya uzalishaji wa sukari katika viwanja vya Mwalimu Nyerere kunakofanyika maonesho ya siku ya wakulima nane nane Mkoani Morogoro
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akiangalia moja ya teknolojia ya kisasa ya umwagiliaji wa mboga mboga katika viwanja vya Mwalimu Nyerere kunakofanyika maonesho ya siku ya wakulima nane nane Mkoani Morogoro
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akizungumza na kaumu ya wananchi (hawapo pichani) waliohudhuria sherehe za ufunguzi wa maonesho ya wakulima nane nane yaliyofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Mkoani Morogoro.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akizungumza na kaumu ya wananchi waliojitokeza katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere katika ufunguzi wa maonesho ya siku ya wakulima nane nane Mkoani Morogoro

Tuesday, July 28, 2020

HAFLA YA MAZISHI YA KITAIFA YA RAIS WA AWAMU YA TATU WA TANZANIA- HAYATI BENJAMIN MKAPA



Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brigedia Jenerali wilbert Ibuge(wa kwanza kushoto), akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Magufuli katika Viwanja vya Uhuru kwa ajili ya kuongonza hafla ya Kitaifa ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania Mhe. Hayati Benjamin William Mkapa, aliyefariki dunia tarehe 24 Julai 2020, Jijini Dar es Salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi(aliyesimama mwisho kulia), akisoma wasifu wa Mhe, Hayati Mkapa.

  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Jenerali Alain                   Guillaume Bunyoni, akitoa salam za rambirambi kutoka Nchi ya        Burundi, Jenerali Bunyoni pia ameambatana na Spika wa Bunge la    Nchi hiyo pamoja na viongozi wengine kutoka nchini humo.

Kiongozi(Dean) wa Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini, Balozi wa Visiwa vya Comoro, Mhe. Ahamada El Badaoui Mohamed Fakih, akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya Mabalozi wenzake. 

   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe          Magufuli akihutubia viongozi na wananchi waliohudhuria hafla ya    Kitaifa ya kumuaga Rais wa awamu ya tatu, Mhe. Hayati Mkapa.   
  akiongea katika hotuba yake alisisitiza Watanzania kuenzi mambo      mengi mazuri aliyoyaacha Hayati Mkapa, Mhe. Magufuli alisema      "Ninamshukuru Mungu kwa zawadi ya Maisha ya Mkapa".

 Baadhi ya Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania Nje ya nchi  pamoja  na Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania (waliosimama mistari mitatu ya mwisho) wakiwa katika hafla hiyo

   Baadhi ya Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini
   ( mistari miwili ya mwisho) wakifuatilia shughuli hiyo


       Mawaziri waliohudhuria wakifuatilia shughuli hiyo


   Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Bw. Libarat                Mfumukeko( wa pili kulia), akiongozwa na Afisa Itifaki Bw. Ishengoma kuingia uwanjani kushiriki shughuli hiyo

    Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini wakitoa heshima     za mwisho kwa mwili wa Hayati Mkapa

         Mabalozi wakiendelea kutoa heshima za mwisho


     Mabalozi wakiendelea kutoa heshima za mwisho

  Mhe. Kabudi akimuaga Mhe. Magufuli alipokuwa akitoka uwanjani

   Mhe. Kabudi akiagana na Waziri Mkuu wa Burundi, Mhe. Bunyoni


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika                  Mashariki, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro(Katikati),                              akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe.                  Hamad Masauni(Kulia), baada ya hafla hiyo kumalizika

    








Monday, July 27, 2020

WAZIRI KABUDI AMPOKEA WAZIRI MKUU WA BURUNDI NA UJUMBE WAKE





Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi akimkaribisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Burundi, Jenerali Alain Guillaume Bunyoni alipowasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuhudhuria mazishi ya Kitaifa ya Hayati Benjamin William Mkapa, yatakayofanyika tarehe 28 Julai 2020, Viwanja vya Uhuru, Jijini Dar es Salaam



Mhe. Kabudi na Mhe. Jenerali Bunyoni wakiwa katika mazungumzo katika chumba maalum cha viongozi (VIP), Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere mara baada ya kuwasili uwanjani hapo, tarehe 27 Julai 2020

Sunday, July 26, 2020

HABARI KATIKA PICHA MABALOZI WAKISAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KWA RAIS MSTAAFU MZEE MKAPA


Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini, wameendelea kujitokeza kusaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa na kumuelezea kuwa ni kiongozi mahiri na msuluhishi nguli wa amani barani Afrika na duniani.


Balozi wa Denmark nchini Mhe. Mette Dissing-Spandet akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Benjamin Mkapa leo tarehe 26 Julai 2020 jijini Dar es Salaam

Balozi wa Hispania nchini Mhe. Fransisca Pedros akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Benjamin Mkapa leo tarehe 26 Julai 2020 jijini Dar es Salaam

Mwakilishi wa Ubalozi wa Sweden nchini Bw. Michael Sulusi akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Benjamin Mkapa  

Mwakilishi wa Ubalozi wa Uganda nchini Bibi. Musekura Eseza akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mzee Benjamin Mkapa  

Balozi wa Algeria nchini Mhe. Ahmed Djellal akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mzee Benjamin Mkapa  

Mwakilishi wa Ubalozi wa Sudan nchini Bw. Jaafar Nasir Abdalla akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mzee Benjamin Mkapa

Balozi wa Zambia nchini Mhe. Benson Keith Chali akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mzee Benjamin Mkapa

Balozi wa Somalia nchini Mhe. Mohamed Hassan akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mzee Benjamin Mkapa

Balozi wa Congo DRC nchini Mhe. Jean-Pierre Mutamba akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mzee Benjamin Mkapa

Mwakilishi wa Ubalozi wa Uturuki nchini Bw. Onur Yay akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mzee Benjamin Mkapa

Balozi wa Morocco nchini Mhe. Abdelilah Benryane akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Mzee Benjamin Mkapa

Baadhi ya mabalozi wakiwa katika picha ya pamoja na mama Anna Mkapa mara baada ya kutoa salamu za pole nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam