Monday, July 27, 2020

WAZIRI KABUDI AMPOKEA WAZIRI MKUU WA BURUNDI NA UJUMBE WAKE





Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi akimkaribisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Burundi, Jenerali Alain Guillaume Bunyoni alipowasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuhudhuria mazishi ya Kitaifa ya Hayati Benjamin William Mkapa, yatakayofanyika tarehe 28 Julai 2020, Viwanja vya Uhuru, Jijini Dar es Salaam



Mhe. Kabudi na Mhe. Jenerali Bunyoni wakiwa katika mazungumzo katika chumba maalum cha viongozi (VIP), Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere mara baada ya kuwasili uwanjani hapo, tarehe 27 Julai 2020

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.