Tuesday, July 21, 2020

Naibu Katibu Mkuu Dkt Haji akaribishwa rasmi Wizarani



Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge, akimkaribisha Naibu Katibu Mkuu Dkt Mwinyi Talib Haji katika ofisi za Wizara Mtumba, Dodoma,  mara baada ya kuapishwa tarehe 20 Julai 2020.

Menejimenti ya Wizara wakiwa wamejipanga kumkaribisha ofisini Naibu Katibu Mkuu Dkt Haji ofisini Mtumba.

Naibu Katibu Mkuu akisalimiana na sehemu ya Menejimenti

Naibu Katibu Mkuu akisalimiana na sehemu ya Wakurugenzi, kulia ni Katibu Mkuu Balozi Ibuge akiwa emeongozana nae. 



                      Naibu Katibu Mkuu akisalimiana na sehemu ya Wakurugenzi

Katibu Mkuu Balozi Ibuge akiwa katika mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu alipomkaribisha ofisini kwake Mtumba, Dodoma.





No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.