Thursday, December 10, 2020

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE ALA KIAPO CHA UTII BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. William Tate Olenasha, ameapa kiapo cha Utii cha Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki

Mhe. Olenasha ameapa kiapo hicho na kushuhudiwa na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Martin Ngoga pamoja na wabunge wengine wanaounda Bunge hilo ili kumwezesha kushiriki kwenye Bunge hilo kama Naibu Waziri anayeshughulikia masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mhe. Olenasha ameapa kiapo hicho akiwa katika Ofisi za Wizara zilizopo kwenye Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma wakati wa kikao kilichofanyika kwa njia ya mtandao tarehe 10 Desemba 2020.

Aidha, kikao hicho kimehudhuriwa na Wabunge wa Bunge hilo ambao wengi wameshiriki kutokea kwenye nchi zao wakati Mhe. Spika akiwa Makao Makuu ya Bunge hilo jijini Arusha.

Kikao hicho, pamoja na mambo mengine kimejadili Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge la Afrika Mashariki ya Masuala Mtambuka

 



Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. William Tate Olenasha akiapa kiapo cha utii na uadilifu mbele ya Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Ngoga Martin   


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. William Tate Olenasha akiapa kiapo cha utii na uadilifu mbele ya Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Ngoga Martin   

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, Mhe. Josephine Sebastian Lemoyan akimtambulisha Mhe. Olenasha kwenye Bunge hilo kama Mjumbe mpya

Mhe. Olenasha akisaini Hati ya Kiapo baada ya kula kiapo cha utaii cha kushiriki Bunge la Afrika Mashariki


Mhe. Olenasha kwa pamoja na Mhe. Josephine wakifuatilia mjadala uliokuwa ukiendelea wakati wa kikao cha Bunge la EALA


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Olenasha akichangia jambo wakati wa kikao  


Mhe. Olenasha na Mhe. Josephine wakifuatilia mjadala wakati wa kikao hicho



TANZANIA NA HUNGARY ZATILIANA MKATABA MKATABA WA UFADHILI WA MASOMO KWA WANAFUNZI 30 WA KITANZNIA KWA MWAKA 2021 - 2023

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Ujerumani Dkt. Abdallah Possi akisaini makubaliano ya ufadhili wa masomo kwa wanafunzi 30 wa Kitanzania Nchini Hungary.

JOB ANNOUNCEMENT AT THE AFRICAN DEVELOPMENT BANK - AfDB



 

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE, MHE. OLE NASHA ALIVYOPOKELEWA WIZARANI

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. William Tate Ole Nasha akipokea shada la maua kutoka kwa mmoja wa Watumishi wa Wizara Bi. Amina Abdallah  ikiwa ni ishara ya kukaribishwa mara alipowasili Wizarani baada ya kuapishwa Ikulu tarehe 9 Desemba 2020.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi akimkaribisha Wizarani Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. William Tate Ole Nasha mara baada ya kula kiapo Ikulu tarehe 9 Desemba 2020
Mhe. Prof. Kabudi akimtambulisha Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Stephen Mbundi kwa Naibu Waziri Mhe. Ole Nasha wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani

Mhe. Prof. Kabudi akimtambulisha Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Alex Mfungo kwa Naibu Waziri Mhe. Ole Nasha wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani

Mhe. Ole Nasha akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Wizarani

Mhe. Ole Nasha akiwa ofisini kwake baada ya kuwasili Wizarani

Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi akimkabidhi  Mhe. Ole Nasha Ilani ya Chama cha Mapinduzi kama moja ya kitendea kazi chake anapoanza majukumu yake mapya Wizarani 


Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi kwa pamoja na Sehemu ya Menejimenti ya Wizara  wakimsikiliza Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha alipozungumza nao mara baada ya kupokelewa rasmi Wizarani
 Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Mkurugenzi wa Kitengo cha Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Anisa Mbega wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani
Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Caesar Waitara wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bibi Agnes Kayola wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Swalehe Chondoma wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Ugavi na Ununuzi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Salifius Mligo wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani.

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Japhary Kachenje wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bibi Agnela Nyoni wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bibi Caroline Chipeta wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje Zanzibar katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Masoud Balozi wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Macocha Tembele wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Aman Mwatonoka wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Emmanuel Buhohela wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Miundombinu ya Uchumi na Huduma za Jamii katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw.  Gwamaka Lazarous wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani




Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Isaac Kalumuna wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani
Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Leonce Bilauri wakati wa mapokezi yake alipowasili Wizarani


Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na mmoja wa Watumishi wa Wizara waliofika kumpokea  alipowasili Wizarani
Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na mmoja wa Watumishi wa Wizara waliofika kumpokea  alipowasili Wizarani
Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na mmoja wa Watumishi wa Wizara waliofika kumpokea  alipowasili Wizarani
Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na mmoja wa Watumishi wa Wizara waliofika kumpokea  alipowasili Wizarani
Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na mmoja wa Watumishi wa Wizara waliofika kumpokea  alipowasili Wizarani

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na mmoja wa Watumishi wa Wizara waliofika kumpokea  alipowasili Wizarani
Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na mmoja wa Watumishi wa Wizara waliofika kumpokea  alipowasili Wizarani

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na mmoja wa Watumishi wa Wizara waliofika kumpokea  alipowasili Wizarani
Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na mmoja wa Watumishi wa Wizara waliofika kumpokea  alipowasili Wizarani

Naibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akisalimiana na mmoja wa Watumishi wa Wizara waliofika kumpokea  alipowasili Wizarani
aibu Waziri, Mhe. Ole Nasha akizungumza na Viongozi na Watumishi wa Wizara mara baada ya  Wizarani baada ya kuapishwa

Mhe. Prof. Kabudi akiwa na Mhe. Ole Nasha wakizungumza na Watumishi wa Wizara

Picha ya pamoja  kati Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (wa tatu kushoto mstari wa kwanza)  na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. William Tate Ole Nasha (wa nne kulia mstari wa kwanza) pamoja na Watumishi wa Wizara walioshiriki mapokezi ya Mhe. Ole Nasha alipowasili Wizarani baada ya kuapishwa  
==========================================

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. William Tate Ole Nasha ameahidi ushirikiano kwa Watumishi wa Wizara katika kuhakikisha Wizara inakuwa na matokeo chanya yenye tija kwa jamii na Taifa kwa ujumla katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mhe. Ole Nasha ameyasema hayo aliwapowasili Wizarani mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika hafla iliyofanyika Ikulu, Chamwino jijini Dodoma tarehe 9 Desemba 2020.

Mhe. Ole Nasha ambaye alipokelewa na Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amesema kuwa yupo tayari kujifunza kutoka kwa Watumishi wote ili kuiwezesha Wizara kufikia malengo yaliyokusudiwa.

Kwa upande wake. Prof. Kabudi alimhakikishia Mhe. Ole Nasha ushirikiano wake binafsi na kutoka kwa Watumishi wote na kwamba uwepo wake utaongeza nguvu za kuifikisha Wizara katika viwango vya juu kiutendaji.



























 

Tuesday, December 8, 2020

HABARI KATIKA PICHA MAHAFALI YA 50 YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akimkabidhi zawadi ya vitabu Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Namibia ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Namibia, Mhe. Netumbo Ndaitwah


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwasilisha salamu za Serikali kwenye mahafali ya 50 ya chuo hicho yaliyofanyika jijini Dar es Salaam


Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi moja kati ya zawadi Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Namibia ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Namibia, Mhe. Netumbo Ndaitwah


Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimtunuku shahada ya heshima Naibu Waziri Mkuu Wa Jamhuri ya Namibia ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Namibia, Mhe. Netumbo Ndaitwah


Baadhi ya wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakiwa ukumbini tayari kwa ajili ya kutunukiwa shahada  


Baadhi ya Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa Nchini wakifuatilia sherehe za mahafali ya 50 ya chuo hicho yaliyofanyika jijini Dar es Salaam


Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) katika mahafali ya 50 ya chuo hicho yaliyofanyika jijini Dar es Salaam


FURSA YA AJIRA


 

Monday, December 7, 2020

WAKURUGENZI NA WAKUU WA IDARA WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI WAPIGWA MSASA KUHUSU MANUNUZI YA UMMA

Mkurugenzi wa Rasilimali watu katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Alex Mfungo akizungumza na Wakurugenzi Idara na wakuu wa Vitengo wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ( hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya manunuzi ya Umma yanayofanyika Mkoani Morogoro