Friday, October 28, 2011

Rais Kikwete ahudhuria Ufunguzi wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Jumuiya ya Madola Leo

Jina la Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete likitangazwa kabla hajaingia ukumbuni.

Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akitembea kwenye jukwaa kuu kuelekea sehemu ya kukaa pamoja na wakuu wengine wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola.

Wanakwaya wa kikundi cha wanafunzi wakiimba wimbo wa Taifa wa Australia kabla ya ufungunguzi kuanza.

Sehemu ya burudani zilizopamba shughuli nzima ya ufunguzi

Rais Kikwete (aliyeketi mstari wa katikati wa tatu kutoka kulia) akifuatilia salamu za kiasili zilizotolewa na wananchi wa Australia wenye asili ya "aborigine" kutoka Kusini Magharibi mwa nchi hii kwenye Jamii ya Wanoongar.

Burudani za asili zilipendezesha sherehe za ufunguzi huo.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.