Thursday, August 3, 2017

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Kifaru

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Susan Kolimba akizungumza na Dkt. Viktor Korcek, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Kifaru ambaye pia ana nia ya kuwa Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania katika Jamhuri ya Czech.
Mazungumzo yakiendelea
Dkt. Korcek nae akimweleza jambo Dkt. Kolimba.
Picha ya pamoja


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.