Thursday, July 20, 2017

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) na Mwenyekiti wa organi ya Siasa,Ulinzi na Usalama ya SADC, akifungua Mkutano wa 19 ngazi ya Mawaziri katika Ushirikiano wa Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama katika ukumbi wa Mikutano wa JNICC, Dar es salaam, tarehe 20 Julai,2017. Dkt. Mahiga pia alitumia fursa hiyo kuwakaribisha Mawaziri wote waliohudhuria Mkutano huo.
Katibu Mtendaji wa SADC, Mhe. Dkt. Stergomena LawrenceTax naye akihutubia kwenye mkutano huo mara baada ya kufunguliwa.

Viongozi mbalimbali kutoka nchi wanachama wa SADC wakisikiliza kwa makini Hotuba iliyotolewa na Dkt. Mahiga Hayupo pichani.
Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akipeana mkono wa pongezi na Dkt. Stergomena L.Tax mara baada ya kumaliza kutoa hotuba ya Ufunguzi
Meza Kuu ikiongozwa na Dkt. Augustine Mahiga, Dkt. Stargomena Tax (wa tatu kutoka kushoto), Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Aziz Mlima, Mkurugenzi wa Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa SADC, Jorge Cardoso (wa pili kutoka kushoto), Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Mindi Kasiga (wa kwanza kushoto) wakiimba wimbo wa Taifa.





************************








REMARKS


 BY


HON. DR AUGUSTINE MAHIGA, MINISTER OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICAN COOPERATION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA AND CHAIRPERSON OF THE SADC ORGAN ON POLITICS, DEFENCE AND SECURITY COOPERATION


AT




THE 19TH MEETING OF THE MINISTERIAL COMMITTEE OF THE ORGAN (MCO) ON POLITICS, DEFENCE AND SECURITY   COOPERATION





20 JULY 2017

                                                    

Hon. Georges Rebelo Chicoti, Minister of Foreign Affairs of the Republic of Angola and Incoming Chairperson of the Organ;

Hon. Oldemiro Julio Marques Baloi, Minister of Foreign Affairs of the Republic of Mozambique and Outgoing Chairperson of the Organ;

You Excellency Dr Stergomena Lawrence Tax, The Executive Secretary of SADC

Distinguished Senior Officials and  Delegates from SADC Member States

Partners from the Media;

Ladies and Gentlemen;

Good Morning


 It is my greatest pleasure to warmly welcome you to the 19th Meeting of the Ministerial Committee of the Organ on Politics, Defence and Security Cooperation which is being held here at Julius Nyerere International Convention Centre, named after Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, The Father of the Nantion and Father of the Southern Africa Liberation and one of the Founding Fathers of the Southern Africa Development Community. He was a moving force for the independence of most of the our countries. Mwalimu Nyere worked together with His Colleagues in a united front for common security and for majority rule in most of the Southern African Countries and this was a forerunner of the SADC Organ on Politics, Defence and Security Cooperation.


Honourable Ministers,
ladies and Gentlemen,
I am particularly happy to welcome the Ministers who are visiting Dar es Salaam for the first time. I trust that if not now, you may have the opportunity to return for a more leisurely stay in the future as Tanzania has always been your second home.  We are delighted to have you in our midst at this meeting, which marks yet another important footstep towards deeper integration of our region and a near completion of our work within the Organ before handling the chair during the 37th Summit, which we will attend in the Republic of South Africa in August 2017.
We trust that you will find the arrangements put at your disposal conducive to the successful deliberations and your usual comfort.

I wish to take this opportunity to convey special thanks to the Secretariat and my team for their excellent preparations and coordination that have made the convening of this meeting a success.

Honourable Ministers,
ladies and Gentlemen,

Allow me Honourable Ministers, to also relay fraternal greetings from H.E. Dr. John Pombe Magufuli, President of the United Republic of Tanzania and current Chair of the SADC Organ on Politics, Defence and Security Cooperation who strongly believes that our meeting here today is a clear demonstration of our collective and unwavering commitment towards building a regional block that is peaceful, stable, secure, prosperous and united.



Honourable Ministers
Ladies and Gentlemen


Before I begin my remarks, allow me Your Excellencies, to pay homage to one of the founding fathers of SADC and former President of the Republic of Botswana, H.E. Sir Quett Ketumile Joni Masire, who recently passed away.  President Masire served as the Chairperson of SADC’s predecessor the Southern African Development Coordination Conference, for 16 consecutive years between 1980–1996. I would thus like to propose that we observe a moment of silence in memory of this gallant son of the Region.

Honourable Ministers
Ladies and Gentlemen

Since our last meeting in August 2016, there has been relative peace and stability in the region. This was accompanied by a number of commendable milestones in the political sphere. Among others, the SADC Oversight Committee for the Kingdom of Lesotho was operationalised and deployed to assist the Government of the Kingdom of Lesotho in the reform process aimed at facilitating the realization of lasting peace and political stability in the Kingdom of Lesotho. Since October 2016, the Oversight Committee has undertaken 4 Assessment Missions to the Kingdom of Lesotho. Furthermore, the SADC Electoral Advisory Council (SEAC) deployed two electoral assessment missions to engage stakeholders in Lesotho in order to assess the Kingdom’s preparedness to hold democratic elections.

With SADC support, the Kingdom of Lesotho successfully conducted National Assembly Elections on 3rd June 2017. It is our hope that this will immensely contribute to durable peace, stability and tranquillity in the Kingdom of Lesotho. The deployment of the SEAC and the SADC Electoral Observation Mission (SEOM) adequately covered the electoral process, which greatly contributed to the peaceful elections, leading to a new coalition government in the country. This is indeed commendable.

It is therefore, my singular honour to welcome the new Minister of Foreign Affairs and International Relations of the Kingdom of Lesotho Honourable Lesego Makgothi, and his delegation to this meeting.

Honourable Ministers
Ladies and Gentlemen

With regards to the DRC, a number of Assessment Missions were undertaken. These include the February 2017 Technical Assessment Mission, the March 2017 SEAC Goodwill Mission, the April 2017 SADC Ministerial Committee of the Organ Troika and the Double Troika Force Intervention Brigade Troop Contributing Countries Assessment Missions. These missions greatly assisted in providing the Region’s leadership to preserve and maintain peace and political stability in the DRC.

Let me highlight that in spite of these efforts, the situation in the DRC remains very fragile and complex, calling for a redoubling of efforts from all quarters, in particular from the Congolese leadership and citizens at large, to work together to overcome the political, constitutional, economic, security and humanitarian challenges that the country is facing.  

Honourable Ministers
Ladies and Gentlemen
decisionsCenciesn from ely contribute to lasting peace and stabilty he secretariat to undertake
There has also been notable progress regarding the implementation of your committee’s 2016 decisions such as the commemoration of the Southern Africa Liberation Day; the request from the Union of Comoros and the Republic of Burundi to join SADC; the mechanism to honour the Founding Fathers of SADC, including a proposal to construct a Statue of His Excellency, Julius Kambarage Nyerere, the former President of the United Republic of Tanzania at the African Union Commission. These will be tabled during this meeting for our discussion.

Among others, the meeting will also review progress and consider the SADC Common Position on the implementation of the AU Draft Protocol on the Free Movement of Persons; the SADC Standby Force Command, Control, Communication and Information System Concept; the Design and Layout of the Regional Logistics Depot  as the Executive Secretary indicated in her remarks and the Memorandum of Understanding between SADC and the Russian Federation in the Area of Military and Technical Cooperation, just to mention a few.



Honourable Ministers
Ladies and Gentlemen

Allow me to emphasize the importance of the Regional Logistics Depot. Following the attainment of the Full Operational Capability with the successful conduct of the Exercise AMANI AFRICA in 2015, the ability and credibility of Regional Economic Communities and the AU, in addressing African problems with African solutions will be tested. The construction of the infrastructure required to assist the operations of the SADC Standby Force is therefore very critical. In this regard, SADC must take leadership and be one the first Regional Economic Community to establish a fully functional Logistics Depot. This is particularly so, considering that our region will be on Standby as part of the Africa Standby Roaster, during the period 01 January to 30 June 2019.


Let me also inform you that in line with Article 7 (1) of the SADC Protocol Against Corruption, State Parties undertook to develop and harmonise their policies and domestic legislation for the attainment of the purpose of this Protocol.  Thus, I am pleased to inform you that the inaugural meeting of the SADC Anti-Corruption Subcommittee was held and their recommendations will be considered during this meeting. I urge Member States to continue implementing provisions of the SADC Protocol Against Corruption, and to report progress achieved on an annual basis, with specific reference to the status of domestication.

With regards to the implementation of the UNIVISA, there has been little progress, and its piloting status stalled since 2008, hence the urgent need for the Piloting Group to finalise this.  As you will agree with me, facilitation of movement of persons and goods, is one of the tenets of regional integration and economic development. Therefore, the relaxation of VISA requirements among Member States and ultimately the implementation of the Protocol on the Facilitation of Movement of Persons in the region, is critical for our citizens to enjoy the benefits of regionalism and in so doing contribute to the realisation of the dreams of our founding fathers regarding true and deeper integration. 


Excellencies,
Distinguished Guests,

Before I conclude my remarks, I wish on behalf of the Government and People of the United Republic of Tanzania to express sincere appreciation and gratitude to you Excellencies and the entire SADC Secretariat for the valuable support you rendered to us for the past twelve months as Chair of the SADC Organ. We sincerely thank you so much. Asanteni sana


One of the important things you need to know before I finally now conclude my remarks is that Tanzania is home to some of Africa's most famous national parks and the majestic Mount Kilimanjaro rising above the Serengeti. For those who want to take a break and spend some time soaking up the sun, the beautiful beaches of Zanzibar beckon. Off Pemba and Mafia islands is a whole other kind of natural wonder, one most appreciated by the scuba divers and snorkelers who come here from around the world to experience the coral gardens, colorful fish, and crystal clear waters.If time allows, I invite you to visit them. For the sea lovers the spice islands of Zanzibar are only 70 minutes by boat.

In conclusion allow me to thank you for your kind attention. I wish you fruitful deliberations.

Merci beau coup
Muito Obrigado
Asante Sana.

Makamu wa Rais Mhe. Samia Azindua Ripoti ya Nchi ya APRM

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria kuzindua ripoti ya nchi kuhusu Mpango wa Hiari wa Nchi za Ummoja wa Afrika kujipima kwa vigezo vya Utawala (APRM.), kushoto ni kiongozi wa Jopo la Mchakato huo kwa Tanzania ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Watu Mashuhuri Bi. Brigitte Silvia Mabandla, uzinduzi huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, APRM, na taasisi nyingine za kiserikali. Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam
Sehemu ya wawakilishi wa Nchi mbalimbali na Mashirika ya Kimataifa nchini wakifuatilia kwa makini uzinduzi huo.
Sehemu ya viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki nao wakifuatilia kwa makini uzinduzi huo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya nchi kuhusu Mpango wa Hiari wa Nchi za Umoja wa Afrika kujipima kwa Vigezo vya Utawala (APRM).
Mhe. Samia Suluhu Hassan akionyesha kitabu chenye ripoti ya nchi kuhusu Mpango wa Hiari wa Nchi za Umoja wa Afrika kujipima kwa vigezo vya Utawala (APRM) mara baada ya kuzindua taarifa hiyo.
Bi. Brigitte Silvia Mabandla, naye akizungumza kwenye uzinduzi huo kwa kuishukuru Tanzania kwa kutoa ushirikiano mzuri wa kuhakikisha Ripoti hiyo inakamilika kwa wakati, pia alitumia fursa hiyo kulipongeza Jopo zima la watendaji walioshiriki katika kuiandaa ripoti hiyo kwa  ufanisi wa hali ya juu.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki naye akizungumza katika uzinduzi huo, ambapo pia alitumia fursa hiyo kumkaribisha Bi. Brigitte Silvia Mabandla nchini, pia kuipongeza APRM kwa kufanya kazi nzuri.
Sehemu ya viongozi Mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania pamoja na wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa hapa nchini wakifuatilia kwa makini hotuba mbalimbali zilizokuwa zikiendelea kutolewa.
Profesa Hasa Mlawa naye akielezea namna ripoti hiyo ilivyo kusanywa na kuhakikiwa na viongozi wanachama.
Sehemu ya Wanafunzi wa Chuo cha Diplomasia wakiongozwa na Mkufunzi wao Bw. Jambo (wa tatu kutoka kusoto), nao walishiriki katika uzinduzi wa Ripoti hiyo
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Mindi Kasiga akitoa mwongozo wa ratiba kwenye hafla ya Uzinduzi wa ripoti hiyo.
Hafla ya Uzinduzi ikiendelea.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (wa pili kutoka kulia), Bi. Mabandla (wa pili kutoka kushoto), Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Aziz Mlima (wa pili kutoka kulia) Balozi Ombeni Sefue (wa kwanza kulia ) na Profesa Mlawa (wa kwanza kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wanaoziwakilisha nchi mbalimbali hapa nchini pamoja na wawakilishi wa mashirika ya Kimataifa hapa nchini. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (wa pili kutoka kulia), Bi. Mabandla (wa pili kutoka kushoto), Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Aziz Mlima (wa pili kutoka kulia) Balozi Ombeni Sefue (wa kwanza kulia ) na Profesa Mlawa (wa kwanza kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi kutoka chuo cha Diplomasia

DKT. MAHIGA AFUNGUA MKUTANO MAWAZIRI WA SADC JIJINI DAR ES SALAAM


Wednesday, July 19, 2017

Chungulia Fursa Boda to Boda

Kituo Kikuu cha Mabasi, Dodoma
Bw. Justin Kisoka, Mtumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ambaye amebobea katika masuala ya uchumi akitoa somo namna vijana wa Kitanzania watakavyoweza kuuza bidhaa zao ndani ya soko la Afrika Mashariki lenye nchi sita na idadi ya watu wanaofikia milioni 165. 
Mfanyabiashara akielezwa namna bidhaa zake ambazo amezibeba kichwani atakavyoweza kuziuza katika nchi za Afrika Mashariki na kupata faida kubwa.

Ujumbe wa kutaka vijana na Watanzania kwa ujumla wazinduke ili wanufaike na soko la Afrika Mashariki ulifikishwa kwa njia tofauti ikiwemo sanaa ya maigizo.

Baadhi ya watu waliojitokeza kupata mbinu za kufanya biashara ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki. Hapa ilikuwa Kituo Kikuu cha Mabasi mjini Dodoma.


Gandhi Hall , Mwanza 

Bw. Justin Kisoka akiwa kwenye bustani ya Gandhi Hall mjini Mwanza akitoa somo namna Wanamwanza watakavyoweza kuuza Sato, Sangara na bidhaa nyingine katika soko la Afrika Mashariki.

Wanamwanza acheni woga, vukeni mipaka ya Tanzania kuuza bidhaa zenu, ni baadhi ya maneno aliyokuwa anayatumia Mchumi huyo katika kuwashajihisha vijana wachangamke kuvuka mipaka ya Tanzania kuuza bidhaa zao.

Dada somo limemkolea anapata maelezo zaidi kutoka kwa wataalamu wa Wizara ili shughuli ya kuvuka mipaka ianze mara moja.


Viwanja vya Furahisha, Mwanza
Bw. Abel Maganya, Mtaalamu wa Masuala ya Afrika Mashariki kutoka Wizara ya Mambo ya Nje akitoa somo kwenye viwanja vya  furahisha. 

Serikali za Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zinatimiza majukumu yake kwa kuweka mazingira mazuri ikiwemo sheria, kanuni na miundombimu ili wanajumuiya mfanye biashara katika nchi unayopenda bila bugdha. Msijifungie ndani vukeni mipaka kupeleka bidhaa mbalimbali.

Baadhi ya Wananchi waliojitokeza katika viwanja vya furahisha.

Mzee anasema somo limengia barabara hivyo na  uzee wangu nawahimiza wajukuu zangu kufanya biashara ya kuvuka mipaka. Anafikisha ujumbe wake kwa kushiriki kusakata dance linalohimiza biashara za kuvuka boda.

Tuesday, July 18, 2017

Mkutano wa 19 wa Mawaziri wa SADC ngazi ya Wataalam wafunguliwa

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Organ Dkt. Aziz Mlima akitoa hotuba ya ufungunzi  wa Mkutano wa 19 wa Mawaziri wa SADC kwenye Ushirikiano wa Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama ngazi ya wataalam.
Mkurugenzi mtendaji wa SADC Dkt. Stargomena Tax (wa pili kushoto) akizungumza kwenye mkutano wa 19 wa Mawaziri wa SADC mara baada ya ufunguzi wa ngazi ya wataalam, kulia kwake  ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Organ Dkt. Aziz Mlima, kushoto ni Mkurugenzi wa Organ kwenye masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama Bw. Jorge Cardoso, Mwisho kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Innocent Shiyo, Mkutano huo unafanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 17 - 21 Julai.
Juu na Chini ni wajumbe wakifuatilia kwa makini mkutano huo wa 19 wa Mawaziri wa SADC kwenye ushirikiano wa masuala ya siasa, ulinzi na Usalama ngazi ya wataalam.
Balozi Innocent Shio (wa kwanza kulia), akichangia hoja wakati mkutano ukiendelea, wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Usalama nchini Dkt. Modestus Francis Kipilimba, kushoto kwake ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Mhe. Simon Sirro na anayefuata ni Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Mhe. Valentino Mlowola wakimsikiliza balozi Shiyo

Friday, July 14, 2017

Vijana wahimizwa kuchangamkia fursa katika boda za EAC

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt Augustine Mahiga akiwahutubia vijana kwenye kongamano la kuwahimiza kuchangamkia fursa za biashara katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, hususan mipakani. Kongamano hilo lenye kaulimbiu "Chungulia Fursa Border to Border limeandaliwa kwa ushirikiano kati ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Taasisi ya Sekta Binafsi  na Trade Mark East Afrika ambao ni wafadhili wakuu wa kongamano hilo. Kongamano litafanyika kwa siku 10 katika mikoa ya Morogoro, Dodoma, Mwanza na Arusha.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Mhe. Amina Mohammed akiwasilisha hotuba katika kongamano hilo. Waziri Mohammed alisema lazima vijana wapewe fursa kwa kuwa wao ndio nguzo ya usalama na amani kwenye Mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Aidha, alisema wao ni waanzilishi tu lakini uhai wa Jumuiya unategemea vijana namna watakavyoilinda na kuidumisha jumuiya hiyo.

Waziri Mohammed akiendelea kusoma hotuba yake kwa vijana wanaoshiriki kongamano hilo

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi, Bw. Francis Kiwanga akitoa neno la ukaribisho kwa wageni waalikwa na washiriki wa kongamano la kuhamisha vijana kuchamkia fursa za EAC

Mkurugenzi Mkazi wa East Africa TradeMark, Bw. John Ulanga ambaye taasisi yake ni mdhamini wa kongamano hilo akieleza majukumu ya taasisi hiyo katika kutoa elimu ya mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt Augustine Mahiga (katikati) akizindua moja ya kitabu cha tafiti zilizofanywa na REPOA kuhusu ajira na ushiriki wa Asasi za kijamii katika Jumuiya ya Afrika Mashariki. Wengine kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa TMEA na Mkurugenzi Mtendaji wa
Taasisi ya Sekta Binafsi

Washiriki wa kongamano wakionesha mshikamano ambao wataenda nao katika kuchamkia fursa za EAC

Burdani



Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya awasilisha Ujumbe Maalum
 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt Augustine Mahiga (kulia) akiwa katika mazungumzo na
Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Mhe. Amina Mohammed. Mhe. Mohammed amekuja nchini kwa ziara ya siku moja kwasilisha Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Kenya, Mhe Uhuru Kenyatta kwenda kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt, John Pombe Magufuli. Mawaziri hao wamekubaliana na pendekezo la kuunda Kamati ambayo itaongozwa na wao wenyewe itakayokuwa na jukumu la kushughulikia kwa haraka matatizo ya kibiashara yatakayojitokeza kati ya nchi hizo.

Ujumbe wa Tanzania na Kenya ukiwa katika mazungumzo

Waziri Mahiga akipokea Ujumbe Maalum kwa niaba ya Mhe. Rais Magufuli kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya
Picha ya pamoja

Thursday, July 13, 2017

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufalme wa Lesotho aliwasilisha Ujumbe Maalum kwa Makamu wa Rais

Mhe. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Kulia), Mheshimiwa Lesego Makgothi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Ufalme wa Lesotho (Katikati) kushoto kwake ni Mhe. Dkt. Suzan Kolimba -Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, wanaofuata ni watalaam kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, wakiwa katika mazungumzo baada ya Mhe.Lesego Makgothi kukabidhi ujumbe maalum kutoka kwa Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, katika Ofisi za Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam, tarehe 12 Julai,2017




Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan- Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
( wa pili Kulia), Mheshimiwa Lesego Makgothi wa pili  kushoto, Mhe.Dkt. Suzan Kolimba -Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa kwanza kushoto na Balozi. Innocent Shiyo- Mkurugenzi wa Idara ya Afrika wakiwa katika picha ya pamoja baada ya mazungumzo katika Ofisi za Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam, tarehe 12 Julai,2017