Thursday, July 13, 2017

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufalme wa Lesotho aliwasilisha Ujumbe Maalum kwa Makamu wa Rais

Mhe. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Kulia), Mheshimiwa Lesego Makgothi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Ufalme wa Lesotho (Katikati) kushoto kwake ni Mhe. Dkt. Suzan Kolimba -Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, wanaofuata ni watalaam kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, wakiwa katika mazungumzo baada ya Mhe.Lesego Makgothi kukabidhi ujumbe maalum kutoka kwa Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, katika Ofisi za Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam, tarehe 12 Julai,2017




Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan- Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
( wa pili Kulia), Mheshimiwa Lesego Makgothi wa pili  kushoto, Mhe.Dkt. Suzan Kolimba -Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa kwanza kushoto na Balozi. Innocent Shiyo- Mkurugenzi wa Idara ya Afrika wakiwa katika picha ya pamoja baada ya mazungumzo katika Ofisi za Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam, tarehe 12 Julai,2017

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.